Pamoja na Mbeya City FC kuturahisishia Mahesabu ambayo sikuyategemea, bado naendelea Kusisitiza Simba SC atakuwa Bingwa tena kwa mara ya 5

Pamoja na Mbeya City FC kuturahisishia Mahesabu ambayo sikuyategemea, bado naendelea Kusisitiza Simba SC atakuwa Bingwa tena kwa mara ya 5

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ KoloWizard njoeni mpite huku mpate faraja
 
Najua baada ya Sare ya Leo piga ua kuelekea Mechi yao ya Kumaliza mzunguko wa Kwanza GSM watahonga kadri wawezavyo ili Yanga SC amfunge Mtibwa Sugar FC Wiki ijayo ili apunguze Presha kwa Mashabiki wake.

Na kibaya zaidi Mtibwa Sugar FC wana Golikipa ambaye ni mwana Yanga SC lia lia na anaichukia sana Simba SC Shabaan Kado hivyo najua nae kuna Goli zuri tu kwa Makusudi atawazawadia Yanga SC.

Hata hivyo pamoja na Yanga SC kuwa katika nafasi nzuri ya Kumfunga Mtibwa Sugar FC nitoe Kwanza pongezi zangu nyingi kwa Mbeya City FC kwa Kuwabana na Kumpunguza Alama ( Points ) Mbili hivyo Kuturahisishia Kazi mapema Simba SC kuliko ambavyo tulitarajia.

Kwa Mkakati Maalum (wa Kimafia) nina uhakika katika Mzunguko wa Pili Yanga SC atapoteza ( ataacha ) Alama kwa Timu zifuatazo ambazo naziamini na ndipo Simba SC itapitia humo humo mpaka kuwa Bingwa tena kwa mara ya Tano ( 5 ) safari hii ikiitwa NBC Premier League 2021 / 2022...

Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC

Jumla Yanga SC anaenda Kupoteza (Kuacha) Alama (Points) 17 katika Mzunguko wa Pili ( wa lala Salama ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Kuanzia Mechi ya Juzi ya Simba SC na Prisons FC na ya Kesho dhidi ya Mbeya Kwanza FC na Mechi zote za Mzunguko wa Pili ( wa mwisho ) mnaodhani Simba SC ama itafungwa au hata kutoka Sare tena mmekosea kwani hivi Wazee wa Fitina, Hila na Umafia tumesharejea Kundini na sasa ni mwendo wa Kushinda tu Mechi zetu zote Kudadadeki.
Mpaka sasa hivi umetelekeza uzi sijui umejichimbia wapi mzee, bahasha ya kaki ya gsm imewanunua mpaka mmeuza mechi kwa yanga aisee🀣🀣🀣🀣 kweli njaa mbaya kama manunuzi yameanzia kwa babra mpaka wachezaji basi mnayo hali mbaya sana maana siku izi ndo slogan yanga akishinda mnakimbilia amenunua mechi mnaona aibu kukubali ubora wa yanga mtaendelea kuteseka na yanga anabeba makombe yoteee msimu huu na wamestahili kubeba
 
Mpaka sasa hivi umetelekeza uzi sijui umejichimbia wapi mzee, bahasha ya kaki ya gsm imewanunua mpaka mmeuza mechi kwa yanga aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli njaa mbaya kama manunuzi yameanzia kwa babra mpaka wachezaji basi mnayo hali mbaya sana maana siku izi ndo slogan yanga akishinda mnakimbilia amenunua mechi mnaona aibu kukubali ubora wa yanga mtaendelea kuteseka na yanga anabeba makombe yoteee msimu huu na wamestahili kubeba
Tusibweteke ndugu FA bado hatujachukua mpr una mambo ya ajabu tunaweza shangazwa
 
Najua baada ya Sare ya Leo piga ua kuelekea Mechi yao ya Kumaliza mzunguko wa Kwanza GSM watahonga kadri wawezavyo ili Yanga SC amfunge Mtibwa Sugar FC Wiki ijayo ili apunguze Presha kwa Mashabiki wake.

Na kibaya zaidi Mtibwa Sugar FC wana Golikipa ambaye ni mwana Yanga SC lia lia na anaichukia sana Simba SC Shabaan Kado hivyo najua nae kuna Goli zuri tu kwa Makusudi atawazawadia Yanga SC.

Hata hivyo pamoja na Yanga SC kuwa katika nafasi nzuri ya Kumfunga Mtibwa Sugar FC nitoe Kwanza pongezi zangu nyingi kwa Mbeya City FC kwa Kuwabana na Kumpunguza Alama ( Points ) Mbili hivyo Kuturahisishia Kazi mapema Simba SC kuliko ambavyo tulitarajia.

Kwa Mkakati Maalum (wa Kimafia) nina uhakika katika Mzunguko wa Pili Yanga SC atapoteza ( ataacha ) Alama kwa Timu zifuatazo ambazo naziamini na ndipo Simba SC itapitia humo humo mpaka kuwa Bingwa tena kwa mara ya Tano ( 5 ) safari hii ikiitwa NBC Premier League 2021 / 2022...

Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC

Jumla Yanga SC anaenda Kupoteza (Kuacha) Alama (Points) 17 katika Mzunguko wa Pili ( wa lala Salama ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Kuanzia Mechi ya Juzi ya Simba SC na Prisons FC na ya Kesho dhidi ya Mbeya Kwanza FC na Mechi zote za Mzunguko wa Pili ( wa mwisho ) mnaodhani Simba SC ama itafungwa au hata kutoka Sare tena mmekosea kwani hivi Wazee wa Fitina, Hila na Umafia tumesharejea Kundini na sasa ni mwendo wa Kushinda tu Mechi zetu zote Kudadadeki.
Hebu andika upya Uzi mwingine badala ya huu
 
Tusibweteke ndugu FA bado hatujachukua mpr una mambo ya ajabu tunaweza shangazwa
Kazi ya kumuondoa makolo tushaimaliza ubingwa ata akichukua coast au Azam ni poa tu ilimradi tushawavua ubingwa wazee wa tunguri na ngebe zao tumezikata na tumeweka heshima mjini na lengo lilikuwa wasiambulie chochote msimu huu na tumefanikiwa Sasa wakabebe vikombe vya kahawa vipo vingi tu
 
Najua baada ya Sare ya Leo piga ua kuelekea Mechi yao ya Kumaliza mzunguko wa Kwanza GSM watahonga kadri wawezavyo ili Yanga SC amfunge Mtibwa Sugar FC Wiki ijayo ili apunguze Presha kwa Mashabiki wake.

Na kibaya zaidi Mtibwa Sugar FC wana Golikipa ambaye ni mwana Yanga SC lia lia na anaichukia sana Simba SC Shabaan Kado hivyo najua nae kuna Goli zuri tu kwa Makusudi atawazawadia Yanga SC.

Hata hivyo pamoja na Yanga SC kuwa katika nafasi nzuri ya Kumfunga Mtibwa Sugar FC nitoe Kwanza pongezi zangu nyingi kwa Mbeya City FC kwa Kuwabana na Kumpunguza Alama ( Points ) Mbili hivyo Kuturahisishia Kazi mapema Simba SC kuliko ambavyo tulitarajia.

Kwa Mkakati Maalum (wa Kimafia) nina uhakika katika Mzunguko wa Pili Yanga SC atapoteza ( ataacha ) Alama kwa Timu zifuatazo ambazo naziamini na ndipo Simba SC itapitia humo humo mpaka kuwa Bingwa tena kwa mara ya Tano ( 5 ) safari hii ikiitwa NBC Premier League 2021 / 2022...

Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC

Jumla Yanga SC anaenda Kupoteza (Kuacha) Alama (Points) 17 katika Mzunguko wa Pili ( wa lala Salama ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Kuanzia Mechi ya Juzi ya Simba SC na Prisons FC na ya Kesho dhidi ya Mbeya Kwanza FC na Mechi zote za Mzunguko wa Pili ( wa mwisho ) mnaodhani Simba SC ama itafungwa au hata kutoka Sare tena mmekosea kwani hivi Wazee wa Fitina, Hila na Umafia tumesharejea Kundini na sasa ni mwendo wa Kushinda tu Mechi zetu zote Kudadadeki.
Hizi ndo zinaitwa za Alinacha.Vikombe vyote vikapasukaaaaa
 
Najua baada ya Sare ya Leo piga ua kuelekea Mechi yao ya Kumaliza mzunguko wa Kwanza GSM watahonga kadri wawezavyo ili Yanga SC amfunge Mtibwa Sugar FC Wiki ijayo ili apunguze Presha kwa Mashabiki wake.

Na kibaya zaidi Mtibwa Sugar FC wana Golikipa ambaye ni mwana Yanga SC lia lia na anaichukia sana Simba SC Shabaan Kado hivyo najua nae kuna Goli zuri tu kwa Makusudi atawazawadia Yanga SC.

Hata hivyo pamoja na Yanga SC kuwa katika nafasi nzuri ya Kumfunga Mtibwa Sugar FC nitoe Kwanza pongezi zangu nyingi kwa Mbeya City FC kwa Kuwabana na Kumpunguza Alama ( Points ) Mbili hivyo Kuturahisishia Kazi mapema Simba SC kuliko ambavyo tulitarajia.

Kwa Mkakati Maalum (wa Kimafia) nina uhakika katika Mzunguko wa Pili Yanga SC atapoteza ( ataacha ) Alama kwa Timu zifuatazo ambazo naziamini na ndipo Simba SC itapitia humo humo mpaka kuwa Bingwa tena kwa mara ya Tano ( 5 ) safari hii ikiitwa NBC Premier League 2021 / 2022...

Simba SC atamfunga Yanga SC

Azam FC atamfunga Yanga SC

KMC FC atamfunga Yanga SC

Namungo FC atatoka Sare na Yanga SC

Mtibwa Sugar FC atatoka Sare na Yanga SC

Mbeya City FC atatoka Sare na Yanga SC

Biashara United FC atatoka Sare na Yanga SC

Jumla Yanga SC anaenda Kupoteza (Kuacha) Alama (Points) 17 katika Mzunguko wa Pili ( wa lala Salama ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Kuanzia Mechi ya Juzi ya Simba SC na Prisons FC na ya Kesho dhidi ya Mbeya Kwanza FC na Mechi zote za Mzunguko wa Pili ( wa mwisho ) mnaodhani Simba SC ama itafungwa au hata kutoka Sare tena mmekosea kwani hivi Wazee wa Fitina, Hila na Umafia tumesharejea Kundini na sasa ni mwendo wa Kushinda tu Mechi zetu zote Kudadadeki.
GENTAMYCINE
 
Back
Top Bottom