mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Watanzania wangedeki road zote na mitaro ushamba wa kipumbavuHawapigi rangi siku ya wageni
Yaan kulaghai watu
Nyuma ya pazia ni wachafu hatariiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wangedeki road zote na mitaro ushamba wa kipumbavuHawapigi rangi siku ya wageni
Wapuuzi sana hawa kazi kukalia umbea tuHii tabia ipo sana
Mtu umefiwa washenz wanakuja kukuchunguza mbwa kabsaa hawa wapumbavu
Ndio maana yake,kuna kipindi alikuja sijui Bush yule, lami zilipigwa deki kwa mitambo maalum mpaka tukashangaaHawapigi rangi siku ya wageni
Mpaka Manzese nakumbuka [emoji23]Ndio maana yake,kuna kipindi alikuja sijui Bush yule, lami zilipigwa deki kwa mitambo maalum mpaka tukashangaa
Sasa hiyo sehemu ni ya mwaka 1500 huko mpaka leoIngekuwa Afrika kiongozi amefariki wangepiga rangi, barabara kama zina mashimo yanafukiwa lakini huu MSIBA viongozi wetu wa AFRIKA watakuwa wamefundishwa mengi si kufanya UKARABATI KISA AMEFARIKI KIONGOZI MKUBWA ila ikiwemo kupanda DALADALA pia.
Hawana makuu, ndio maana mabwenyenye wetu walipanda school bus😂Sasa hiyo sehemu ni ya mwaka 1500 huko mpaka leo
Wenzetu sehemu zao za historia zinabakia kama zilivyo
Wakati huku sehemu zetu za kumbukumbuku tunazivunjaaa
Unafikiri vizazi wanaachiwa nn kuja kujuwa
Ova
Kwa hiyo ndio kwamba tunawazidi kiuchumi au?View attachment 2361897Tazama namna ukuta ulivochoka bomba zomepasuka zinavuja
Ni kweliSasa hiyo sehemu ni ya mwaka 1500 huko mpaka leo
Wenzetu sehemu zao za historia zinabakia kama zilivyo
Wakati huku sehemu zetu za kumbukumbuku tunazivunjaaa
Unafikiri vizazi wanaachiwa nn kuja kujuwa
Ova