Pamoja na mgomo wa wafanyabiashara, mimi nasimama upande wa TRA

Pamoja na mgomo wa wafanyabiashara, mimi nasimama upande wa TRA

Wafanyabiashara Walipe KODI, waache Janja janja....!

Mbona Watumishi Wanamakato Kibao ya Kodi mbali mbali... !

Gross Salary ya Mtumishi inakatwa mpaka take home inabakia kiduchu na Hawagomi....!
Take home huwa inabaki kati ya 50% na 67%.... na Watu hawalalamiki.....

Kodi ndio inayoendesha nchi hata Marekani watu hawasusii Kodi
 
Wengi wa wafanyabiashara wamegoma nchi nzima na moja ya ajenda yao ni ukaguzi wa risiti za EFD zisitishwe mara moja. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na asilimia 95 ya wafanyabiashara wa nchi hii hawatoi risiti halali.

Pale unaponunua bidhaa ukiomba risiti toka kwa mfanyabiashara ni mgogoro na utaambiwa mashine ni mbovu ooh nikupe risiti iliyo na upungufu wa fedha uliyotoa n.k. Ukikomaa watakuona wewe siyo mtu wa kawaida. Kwa nini ninyi wafanyabiashara hamtaki kutoa risiti halali kwa bidhaa aliyonunua mteja?

Maduka machache yanayotoa risiti halali ni kama ALAF na maduka yanayosimamiwa na wazungu. Wahindi ndo wamekuwa wajanja kupitiliza na mara anakudanganya nikikuuzia bei hii sitakupa risiti kwa sababu tayari nimekupunguzia kumbe ni upuuzi mtupu.

Ndugu zangu nchi inajengwa na wananchi wenyewe, TOENI RISITI YA EFD na wananchi DAINI RISITI HALALI YA EFD.
KITIMOTO wewe
 
Tatizo la wafanyabiashara wa Tanzania ambao wanashiriki mgomo hawajui wanataka nini, hawajui kwanini wanagoma.

Wafanyabiashara wetu ni kama ile jinsia ya "xx chromosomes" haijuagi inataka nini.

Niko upande wa TRA.
 
Kodi itozwe mara moja tu mzigo ukiingia bandarini na sio hii ya bandarini Kodi kariakoo Kodi ukinunua kariakoo ukileta mikoani kodi tena.
Mzigo mmoja kutozwa kodi zaidi ya mara tatu uoni kwa TRA wanapingana na sheria ya Kodi na ni kuibia wananchi.
 
Tanzania chini ya CCM sio salama kwa kufanya biashara yoyote. Biashara zinaweza kufanyika vyema siku CCM watakapoondoka madarakani
 
Wengi wa wafanyabiashara wamegoma nchi nzima na moja ya ajenda yao ni ukaguzi wa risiti za EFD zisitishwe mara moja. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na asilimia 95 ya wafanyabiashara wa nchi hii hawatoi risiti halali.

Pale unaponunua bidhaa ukiomba risiti toka kwa mfanyabiashara ni mgogoro na utaambiwa mashine ni mbovu ooh nikupe risiti iliyo na upungufu wa fedha uliyotoa n.k. Ukikomaa watakuona wewe siyo mtu wa kawaida. Kwa nini ninyi wafanyabiashara hamtaki kutoa risiti halali kwa bidhaa aliyonunua mteja?

Maduka machache yanayotoa risiti halali ni kama ALAF na maduka yanayosimamiwa na wazungu. Wahindi ndo wamekuwa wajanja kupitiliza na mara anakudanganya nikikuuzia bei hii sitakupa risiti kwa sababu tayari nimekupunguzia kumbe ni upuuzi mtupu.

Ndugu zangu nchi inajengwa na wananchi wenyewe, TOENI RISITI YA EFD na wananchi DAINI RISITI HALALI YA EFD.
Unafanya kazi TRA ?
 
Wengi wa wafanyabiashara wamegoma nchi nzima na moja ya ajenda yao ni ukaguzi wa risiti za EFD zisitishwe mara moja. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na asilimia 95 ya wafanyabiashara wa nchi hii hawatoi risiti halali.

Pale unaponunua bidhaa ukiomba risiti toka kwa mfanyabiashara ni mgogoro na utaambiwa mashine ni mbovu ooh nikupe risiti iliyo na upungufu wa fedha uliyotoa n.k. Ukikomaa watakuona wewe siyo mtu wa kawaida. Kwa nini ninyi wafanyabiashara hamtaki kutoa risiti halali kwa bidhaa aliyonunua mteja?

Maduka machache yanayotoa risiti halali ni kama ALAF na maduka yanayosimamiwa na wazungu. Wahindi ndo wamekuwa wajanja kupitiliza na mara anakudanganya nikikuuzia bei hii sitakupa risiti kwa sababu tayari nimekupunguzia kumbe ni upuuzi mtupu.

Ndugu zangu nchi inajengwa na wananchi wenyewe, TOENI RISITI YA EFD na wananchi DAINI RISITI HALALI YA EFD.
Kwanini hawatoi risiti Halali? ushawahi kujiuliza Hilo swali?
 
Wengi wa wafanyabiashara wamegoma nchi nzima na moja ya ajenda yao ni ukaguzi wa risiti za EFD zisitishwe mara moja. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na asilimia 95 ya wafanyabiashara wa nchi hii hawatoi risiti halali.

Pale unaponunua bidhaa ukiomba risiti toka kwa mfanyabiashara ni mgogoro na utaambiwa mashine ni mbovu ooh nikupe risiti iliyo na upungufu wa fedha uliyotoa n.k. Ukikomaa watakuona wewe siyo mtu wa kawaida. Kwa nini ninyi wafanyabiashara hamtaki kutoa risiti halali kwa bidhaa aliyonunua mteja?

Maduka machache yanayotoa risiti halali ni kama ALAF na maduka yanayosimamiwa na wazungu. Wahindi ndo wamekuwa wajanja kupitiliza na mara anakudanganya nikikuuzia bei hii sitakupa risiti kwa sababu tayari nimekupunguzia kumbe ni upuuzi mtupu.

Ndugu zangu nchi inajengwa na wananchi wenyewe, TOENI RISITI YA EFD na wananchi DAINI RISITI HALALI YA EFD.
Hawawezi kutoa risiti kwa sababu wananunua bidhaa bila documents yoyote (magendo&michongo),vitu vinavyozalishwa ndani ndio wanatoa receipts maana ni rahisi kudai returns na documents zipo
 
Back
Top Bottom