kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
KITIMOTO weweWengi wa wafanyabiashara wamegoma nchi nzima na moja ya ajenda yao ni ukaguzi wa risiti za EFD zisitishwe mara moja. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na asilimia 95 ya wafanyabiashara wa nchi hii hawatoi risiti halali.
Pale unaponunua bidhaa ukiomba risiti toka kwa mfanyabiashara ni mgogoro na utaambiwa mashine ni mbovu ooh nikupe risiti iliyo na upungufu wa fedha uliyotoa n.k. Ukikomaa watakuona wewe siyo mtu wa kawaida. Kwa nini ninyi wafanyabiashara hamtaki kutoa risiti halali kwa bidhaa aliyonunua mteja?
Maduka machache yanayotoa risiti halali ni kama ALAF na maduka yanayosimamiwa na wazungu. Wahindi ndo wamekuwa wajanja kupitiliza na mara anakudanganya nikikuuzia bei hii sitakupa risiti kwa sababu tayari nimekupunguzia kumbe ni upuuzi mtupu.
Ndugu zangu nchi inajengwa na wananchi wenyewe, TOENI RISITI YA EFD na wananchi DAINI RISITI HALALI YA EFD.
Kodi ilipwe na sio kuliwa na mafisadiAnayepinga kulipa kodi huyo ni kiazi hatufai katika nchi hii
Unafanya kazi TRA ?Wengi wa wafanyabiashara wamegoma nchi nzima na moja ya ajenda yao ni ukaguzi wa risiti za EFD zisitishwe mara moja. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na asilimia 95 ya wafanyabiashara wa nchi hii hawatoi risiti halali.
Pale unaponunua bidhaa ukiomba risiti toka kwa mfanyabiashara ni mgogoro na utaambiwa mashine ni mbovu ooh nikupe risiti iliyo na upungufu wa fedha uliyotoa n.k. Ukikomaa watakuona wewe siyo mtu wa kawaida. Kwa nini ninyi wafanyabiashara hamtaki kutoa risiti halali kwa bidhaa aliyonunua mteja?
Maduka machache yanayotoa risiti halali ni kama ALAF na maduka yanayosimamiwa na wazungu. Wahindi ndo wamekuwa wajanja kupitiliza na mara anakudanganya nikikuuzia bei hii sitakupa risiti kwa sababu tayari nimekupunguzia kumbe ni upuuzi mtupu.
Ndugu zangu nchi inajengwa na wananchi wenyewe, TOENI RISITI YA EFD na wananchi DAINI RISITI HALALI YA EFD.
Kabisa lo
Kwanini hawatoi risiti Halali? ushawahi kujiuliza Hilo swali?Wengi wa wafanyabiashara wamegoma nchi nzima na moja ya ajenda yao ni ukaguzi wa risiti za EFD zisitishwe mara moja. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na asilimia 95 ya wafanyabiashara wa nchi hii hawatoi risiti halali.
Pale unaponunua bidhaa ukiomba risiti toka kwa mfanyabiashara ni mgogoro na utaambiwa mashine ni mbovu ooh nikupe risiti iliyo na upungufu wa fedha uliyotoa n.k. Ukikomaa watakuona wewe siyo mtu wa kawaida. Kwa nini ninyi wafanyabiashara hamtaki kutoa risiti halali kwa bidhaa aliyonunua mteja?
Maduka machache yanayotoa risiti halali ni kama ALAF na maduka yanayosimamiwa na wazungu. Wahindi ndo wamekuwa wajanja kupitiliza na mara anakudanganya nikikuuzia bei hii sitakupa risiti kwa sababu tayari nimekupunguzia kumbe ni upuuzi mtupu.
Ndugu zangu nchi inajengwa na wananchi wenyewe, TOENI RISITI YA EFD na wananchi DAINI RISITI HALALI YA EFD.
Sawa kiazi mbatatašAnayepinga kulipa kodi huyo ni kiazi hatufai katika nchi hii
Hawawezi kutoa risiti kwa sababu wananunua bidhaa bila documents yoyote (magendo&michongo),vitu vinavyozalishwa ndani ndio wanatoa receipts maana ni rahisi kudai returns na documents zipoWengi wa wafanyabiashara wamegoma nchi nzima na moja ya ajenda yao ni ukaguzi wa risiti za EFD zisitishwe mara moja. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na asilimia 95 ya wafanyabiashara wa nchi hii hawatoi risiti halali.
Pale unaponunua bidhaa ukiomba risiti toka kwa mfanyabiashara ni mgogoro na utaambiwa mashine ni mbovu ooh nikupe risiti iliyo na upungufu wa fedha uliyotoa n.k. Ukikomaa watakuona wewe siyo mtu wa kawaida. Kwa nini ninyi wafanyabiashara hamtaki kutoa risiti halali kwa bidhaa aliyonunua mteja?
Maduka machache yanayotoa risiti halali ni kama ALAF na maduka yanayosimamiwa na wazungu. Wahindi ndo wamekuwa wajanja kupitiliza na mara anakudanganya nikikuuzia bei hii sitakupa risiti kwa sababu tayari nimekupunguzia kumbe ni upuuzi mtupu.
Ndugu zangu nchi inajengwa na wananchi wenyewe, TOENI RISITI YA EFD na wananchi DAINI RISITI HALALI YA EFD.