Pamoja na miundombinu bora ya Ethiopia, bado Wananchi ni masikini. Watanzania tujitafakari

Pamoja na miundombinu bora ya Ethiopia, bado Wananchi ni masikini. Watanzania tujitafakari

Superleta

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
575
Reaction score
655
Jamani ni kweli tunafata nyayo za Ethiopia? Nauliza maana ni kama tunaanza kufanana ndege, mareli, umeme miradi, mbona kama tunafanana nao tu halafu wao pia hawatoagi ajira na serikali inadhibiti kila kitu.

Halafu wao wanaangalia maendeleo ya vitu kama sisi tu tumeanza kufanana nao.

Naogopa kwamba yakitukuta kama ya Waethiopia walivyo na maisha magumu wanakimbia nchi kila siku, hakuna ajira na watumishi kule hawajapanda madaraja jamaa mmoja nachat nae mwithiopia alibahatika kupata nafasi ya ajira ana degree mshahara dola 60 kwa mwezi na hakuna cha kupanda madaraja.

Tanzania itafanana na Ethiopia, nahofia sana.
 
Nawashangaa sana washamba wenzangu wa CCM ambao kila siku ooh sijui tumejenga reli, sijui ooh kuna bwawa kubwa la umeme, sijui madaraja mara elimu bure.

Ushamba ni kitu kibaya sana, muwe na exposure mtembee mjionee duniani kuna nini, acheni kupiga kelele kudanganya Watanzania kwa hadaa zenu.

Hivi Afrika kuna nchi yenye miundombinu bora ya reli na barabara kama Ethiopia? Hivi hii Dar Es Salaam yetu inaweza kufikia hata nusu ya linavyopendeza jiji la Adis Ababa? Mnajuwa ni limi Ethiopia walijenga SGR na ubora wao ukoje? Mnajua raia wa Ethiopia Elimu yao kuanzia msingi hadi chuo kikuu wanapataje? Mnajua kua Ethiopia ndio nchi pekee Afrika yenye mandege mengi ya Abiria?

VIPO KUHUSU MAENDELEO NA UMASKINI ETHIOPIA?
Pamoja na mambo mazuri serikali ya Ethiopia bado kuna vuguvugu la kutaka kupinduana kwa watawala wa nchi hiyo. Ndiyo nchi inayoongozwa Afrika kwa Raia wake kukimbia kwenda mataifa mengine kwenda kutafuta ajira. Acheni kudanganyana maendeleo ya vitu hayajawahi kubadili maisha ya wananchi hata siku moja.

MABADILIKO SASA KIDOGO YANAREJEA ETHIOPIA
Ni baada ya kujiuzulu kwa Waziri Mkuu mpya wa zamani wa nchi hiyo na kuingia kwa waziri mpya mkuu Abiy Ahmed ambaye amekuja na mfumo tofauti kuendesha taifa hilo angalau kwa kusikiliza raia wanataka nini.
 
Watu hawaelewi tu lazima uanze na watu then maitaji yao yataleta vitu...Ethiopia Addis Ababa ni bonge LA jiji lenye Barabara za kila aina, chini kwa chini, flyovers, SGR, uwanja was ndege bora kabisa madege zaidi ya 150.. Nina marafiki wa kiethiopia pia nimeishi sana Addis hakuna RAIA anayeipenda nchi yao hali ni mbaya mnoo..
 
Watu hawaelewi tu lazima uanze na watu then maitaji yao yataleta vitu...Ethiopia Addis Ababa ni bonge LA jiji lenye Barabara za kila aina, chini kwa chini, flyovers, SGR, uwanja was ndege bora kabisa madege zaidi ya 150.. Nina marafiki wa kiethiopia pia nimeishi sana Addis hakuna RAIA anayeipenda nchi yao hali ni mbaya mnoo..
Nataka nikang'oe mhabeshi aje kunipikia injela[emoji5][emoji5]
 
Watu hawaelewi tu lazima uanze na watu then maitaji yao yataleta vitu...Ethiopia Addis Ababa ni bonge LA jiji lenye Barabara za kila aina, chini kwa chini, flyovers, SGR, uwanja was ndege bora kabisa madege zaidi ya 150.. Nina marafiki wa kiethiopia pia nimeishi sana Addis hakuna RAIA anayeipenda nchi yao hali ni mbaya mnoo..
Ni wajinga pekee ndio wanaofanya toka. Kwetu sisi werevu ni kawaida sana
 
Nawashangaa sana washamba wenzangu wa CCM ambao kila siku ooh sijui tumejenga reli, sijui ooh kuna bwawa kubwa la umeme, sijui madaraja mara elimu bure.

Ushamba ni kitu kibaya sana, muwe na exposure mtembee mjionee duniani kuna nini, acheni kupiga kelele kudanganya Watanzania kwa hadaa zenu.
Halafu huwa najisikia aibu sana ushamba wa aina hii wanapoupeleka kule Jukwaa la Kenya!!

Yaani seriously watu eti wanaenda kuwatambia Wakenya kwa ajili ya Flyover!!! Yaani hadi wanatupa taabu sie wengine ambao tunataka kuitetea nchi yetu dhidi ya nchi zingine lakini unakuta hoja zenyewe eti "flyovers"!!!
 
Watu hawaelewi tu lazima uanze na watu then maitaji yao yataleta vitu...Ethiopia Addis Ababa ni bonge LA jiji lenye Barabara za kila aina, chini kwa chini, flyovers, SGR, uwanja was ndege bora kabisa madege zaidi ya 150.. Nina marafiki wa kiethiopia pia nimeishi sana Addis hakuna RAIA anayeipenda nchi yao hali ni mbaya mnoo..
Umesahau kuongeza na "Mademu wakali kwa kuzaliwa"
 
Back
Top Bottom