Pamoja na miundombinu bora ya Ethiopia, bado Wananchi ni masikini. Watanzania tujitafakari

Pamoja na miundombinu bora ya Ethiopia, bado Wananchi ni masikini. Watanzania tujitafakari

Najua gunzi linakutekenya ndio maana unawaza kichupi chupi
Bado nakutafutia bikini itayo kutoa chicha.
Screenshot_2020-10-01-08-03-31-1.jpg
 
Hakuna uwezekano wa maendeleo ya watu bila vitu vitu kisha watu

Mfano barabara ni muhimu sana Ila watu kama wataitumia vyema
 
Tukiona wakimbizi na wahamiaji haramu toka nchi ya Ethiopia kila Leo hayo ndo madhara ya Sera za kuweka vipaumbele kwenye vitu kuliko watu.
Nipo ishara ya wananchi kukosa maendeleo yao na serekali kutumia fedha nyingi kwenye miondombinu na kusahau HALI na maendeleo ya watu wao.

Sera ya miondombinu kuimalika ni sawa, ila isiumize wananchi wako. Huu ukata kw a taifa nzima kwa wananchi walio wengi ni ishara hiyo ya Sera kama za Ethiopia. Wa Ethiopia wanahangaika sana na maisha, wanalandalanda kila kona ya bara la Africa kutafuta maisha bora.

Serekali ya ccm imesahau maisha ya wananchi wamekumbatia vitu. Barabara, ndege, reli, meli na mengine yao.
Wameshindwa kubalance ndo maana watu wameona bora ccm iondoke aje mwingine atakae balance maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu.

Wananchi wanataka mzungungo wa hela mzuri ili biashara ziwe zinafanyika vizuri na watu kuishi vizuri.
Kingine, serekali iache tabia ya kuanzisha miradi mikubwa kila leo ambayo hutumia fedha nyingi.
Huu tunadanganywa kwamba ni miradi yenye kutumia fedha ya ndani, ambao ni uongo, huku deni la taifa linakua.

Kwanini makusanyo mazuri, lakini HALI ngumu ya watu. Kukosa mipangilio ya miradi. Tamaa yakutaka kufanya kila kitu kwa wakati mmoja.

ULAYA NA MAREKANI HATA CHINA HAZIKUJENGWA KWA MIAKA MITANO AU KUMI. CCM JUWENI HILO! ACHENI KUUMIZA WATU.

VIONGOZI WAO HAWAUMI NA HALI NGUMU ILIYOPO WAO WANAONA SAWA TUU, MAANA HELA KWAO IPO NJENJE MPAKA WANAGAWA BARABARANI.

Kama tayari tunamsikia kwenye kampeni zake anasema ataendelea kununua ndege, na kujenga reli, na mengine yakwake nje ya bajeti. KAZI kwenu ccm! Ila tumewachoka.
 
Tuliwaambia mapema , Maghufuli ana nguvu kubwa Sana , kushake ameshake Sawa ila kumnockout sio kazi rahisi ..... Lakn vichwa vigumu ngojera kibao , ...na namshaur Lissu asipumzike kupiga kampeni atafanya kosa kubwa la kiufundi , aende Tu non stop....any break means disaster , kimbunga cha JPM ni torrential
 
Kila kona ya nchi yetu, watanzania wanafurahia kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na Mheshimiwa Rais Magufuli katika sekta ya elimu ikiwemo kutoa elimu bila malipo kwa shule za msingi na sekondari Mpaka mwezi Februari 2020, serikali iligharamia malipo hayo kwa shilingi trilioni 1.01 ikiwa inatoa wastanin wa bilioni 23 kila mwezi kulipia elimu hiyo kwa watoto maskini wa wa Kitanzania.

Mbali na kutoa elimu bure, serikali ya Mhe Rais Magufuli imeongeza idadi ya shule za msingi kutoka 16,899 mwaka 2015 hadi 17,804 mwaka huu; na shule za sekondari kutoka 4,708 mwaka 2015 hadi shule 5,330 mwaka 2020. Vilevile, serikali mekarabati shule kongwe za sekondari 73 kati ya 89. Shule hzo sasa ni nzuri san ana ukarabati kwa shule zilizosalia unaendelea.

Katika kuboresha mazingira mazuri ya masomo kwa Watoto wetu, serikali imejenga mabweni 253 na vyumba vya maabara ya 227. Aidha, serikali ya JPM metoa vifaa kwenye maabara zipatazo 2,956 na imepunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la uhaba wa madawati, ambapo idadi yake imeongezeka kutoka madawati 3,024,311 mwaka 2015 hadi kufikia 8,095,207; sawa na ongezeko la zaidi ya asilimia 200.

Utawala wa Mheshimiwa Rais Magufuli pia umeongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kutoka shilingi bilioni 348.7 mwaka 2014/2015 hadi shilingi bilioni 450 mwaka wa Fedha 2019/2020

Kutokana na hatua hizo, uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la kwanza umeongozeka maradufu kutoka wastani wa wanafunzi milioni 1 mwaka 2015 26 hadi kufikia milioni 1.6 hivi sasa. Aidha, idadi ya wanafunzi wa kidato cha I – IV imeongezeka kutoka 1,648,359 mwaka 2015 hadi 2,185,037. Idadi ya wanafunzi wa VETA imeongezeka kutoka 117,067 mwaka 2015 hadi 226,767 mwaka 2020; na idadi ya wanafunzi wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDC) imeongezeka kutoka 6,693 mwaka 2016/17 hadi 9,736 mwaka 2018/19.

Kwa upande wa vyuo vikuu, idadi ya wanafunzi wanaojiunga mwaka wa kwanza imeongezeka kutoka 65,064 mwaka 2015 hadi 87,813 mwaka 2020; na wenye kupata mikopo wameongezeka kutoka 98,300 mwaka 2014/2015 hadi 130,883 mwaka 2019/2020. (Takwimu zote ni kwa mujibu wa hotuba ya Mhe Rais Magufuli wakati wa kufunga Bunge tarehe 16 Juni 2020)

Ubora wa elimu pia umeongezeka sana kutoka na uwekezaji wa elimu uliofanywa na Serikali ya JPM. Mwezi Agosti mwaka huu tulishuhudia katika matokeo ya mtihani wa kidato cha Sita, katika shule 10 bora kitaifa, shule za Serikali zilikuwa 8 na shule mbili tu za watu binafsi. Na katika shule hizo 8 za serikali shule 3 ni za kata ambazo ni Kasimiri, Mwandeti na Dareda . Shule kongwe za serikali katika orodha hiyo ya kumi bora zilikuwa ni Mzumbe, Shule ya wasichana Tabora, shule ya wavulana Tabora, Iiliboru na Kibaha.

Viva Mheshimiwa Rais Magufuli. Watanzania tunakwenda kukuchagua kwa kura nyingi Oktoba 28 ili tuendelee kupata elimu bila malipo na mikopo ya masomo vyuo vikuu tena inayotolewa kwa wakati bila kusubiri kwanza migomo. Tunakwenda kukuchagua ili shule za serikali ziendelee kung’aa katika ubora. Tukikupa miaka mitano mingine tutashuhudia watanzania wakipendelea zaidi watoto wao wasome shule za serikali kuliko shule binafsi kama ilivyokuwa zamani. Tutakuchagua wewe mwana maendeleo. Watanzania wapenda maendeleo tumchague Rais Magufuli.
 
🤨😑🤨😑😑😏😏😏😗😗🤔🤔
 
Mbaguzi huyo, jeuri huyu mpaka kasusiwa kampeni na wakongwe.

Hoja imetolewa, majimbo ya upinzani ambayo anasema hatapeleka maendeleo, asikusanye na kodi huko.
 
Mbaguzi huyo, jeuri huyu mpaka kasusiwa kampeni na wakongwe.

Hoja imetolewa, majimbo ya upinzani ambayo anasema hatapeleka maendeleo, asikusanye na kodi huko.
 
Sema unamuhitaji. Sisi wengine hatumuhitaji huyo mchoyo na mbinafsi.
 
Wewe unajua historia ya ethiopia na hari yake mazingira ,nenda katafute alafu urudi hiyo hoja.
Vita ya Eritrea na Ethiopia ilasha isha kitambo. Soma hoja, Ethiopia ina miondombinu safi na bora kuliko Tanzania wamejenga reli ya SGR, sana ndege nyingi, barabara nzuri kuliko na mengine mengi kuliko Tanzania, lakini wananchi wao wana HALI mbaya kimaisha. Hili ndilo tatizo la kuweka mbele zaidi kipaumbela cha vitu kuliko maendeleo ya watu. Ndo maana wa Ethiopians wanakimbia nchi yao licha ya miradi mikubwa walio nayo.
Inavyo onekana nika hata hiyo miradi inawanufaisha wachache mno.
 
Naona WAPINZANI wamelishikia Bango jambo hili. Naomba niseme kwamba, they are just trying to Politicize this issue of Ethiopians Flow

Kuna Documentary moja niliipitia inasema, "Apart from war and political violence, ecological degradation, famine, and poverty are historically among the major causes of migration in Ethiopia"

Wanachokikimbia wale jamaa ni NJAA na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE. Kwa asilimia kubwa mambo hayo ndo sababu.

Tz hatuna vitu ivyo. Hvo, naisihi serikali ya CCM kukazia hapahapa. Miundombinu yakutosha ijengwe ili soon tule bata.

Uzi umeishaaaa..!!
 
Naona WAPINZANI wamelishikia Bango jambo hili. Naomba niseme kwamba, they are just trying to Politicize this issue of Ethiopians Flow

Kuna Documentary moja niliipitia inasema, "Apart from war and political violence, ecological degradation, famine, and poverty are historically among the major causes of migration in Ethiopia"

Wanachokikimbia wale jamaa ni NJAA na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE. Kwa asilimia kubwa mambo hayo ndo sababu.

Tz hatuna vitu ivyo. Hvo, naisihi serikali ya CCM kukazia hapahapa. Miundombinu yakutosha ijengwe ili soon tule bata.

Uzi umeishaaaa..!!
Vita vya wenyewe kwa wenyewe....kuna watu wanatamani ije TZ hii kitu!
 
Jamani ni kweli tunafata nyayo za Ethiopia? Nauliza maana ni kama tunaanza kufanana ndege, mareli, umeme miradi, mbona kama tunafanana nao tu halafu wao pia hawatoagi ajira na serikali inadhibiti kila kitu.

Halafu wao wanaangalia maendeleo ya vitu kama sisi tu tumeanza kufanana nao.

Naogopa kwamba yakitukuta kama ya Waethiopia walivyo na maisha magumu wanakimbia nchi kila siku, hakuna ajira na watumishi kule hawajapanda madaraja jamaa mmoja nachat nae mwithiopia alibahatika kupata nafasi ya ajira ana degree mshahara dola 60 kwa mwezi na hakuna cha kupanda madaraja.

Tanzania itafanana na Ethiopia, nahofia sana.
Naona WAPINZANI wamelishikia Bango jambo hili. Naomba niseme kwamba, they are just trying to Politicize this issue of Ethiopians Flow

Kuna Documentary moja niliipitia inasema, "Apart from war and political violence, ecological degradation, famine, and poverty are historically among the major causes of migration in Ethiopia"

Wanachokikimbia wale jamaa ni NJAA na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE. Kwa asilimia kubwa mambo hayo ndo sababu.

Tz hatuna vitu ivyo. Hvo, naisihi serikali ya CCM kukazia hapahapa. Miundombinu yakutosha ijengwe ili soon tule bata.

Uzi umeishaaaa..!!
Wewe ni mjinga,sasa kama ndege,flyovers,SGR na Hydro power ni maendeleo kama mnavyowaaminisha watanzania ,imekuwaje Ethiopia wana njaa hadi kukimbia nchi yao? Maana kama ni ndege wana ndege 125 za ukubwa tofauti,wana bwawa kubwa la umeme,wana SGR inayofanya kazi as we speak,sasa njaa yao inatoka wapi? Kuhusu Vita ya wenyewe kwa wenyewe,hivi Ethiopia vita ya wenyewe kwa wenyewe inapiganwa maeneo gani? Please help me to understand
 
Nawashangaa sana washamba wenzangu wa CCM ambao kila siku ooh sijui tumejenga reli, sijui ooh kuna bwawa kubwa la umeme, sijui madaraja mara elimu bure.

Ushamba ni kitu kibaya sana, muwe na exposure mtembee mjionee duniani kuna nini, acheni kupiga kelele kudanganya Watanzania kwa hadaa zenu.

Hivi Afrika kuna nchi yenye miundombinu bora ya reli na barabara kama Ethiopia? Hivi hii Dar Es Salaam yetu inaweza kufikia hata nusu ya linavyopendeza jiji la Adis Ababa? Mnajuwa ni limi Ethiopia walijenga SGR na ubora wao ukoje? Mnajua raia wa Ethiopia Elimu yao kuanzia msingi hadi chuo kikuu wanapataje? Mnajua kua Ethiopia ndio nchi pekee Afrika yenye mandege mengi ya Abiria?

VIPO KUHUSU MAENDELEO NA UMASKINI ETHIOPIA?
Pamoja na mambo mazuri serikali ya Ethiopia bado kuna vuguvugu la kutaka kupinduana kwa watawala wa nchi hiyo. Ndiyo nchi inayoongozwa Afrika kwa Raia wake kukimbia kwenda mataifa mengine kwenda kutafuta ajira. Acheni kudanganyana maendeleo ya vitu hayajawahi kubadili maisha ya wananchi hata siku moja.

MABADILIKO SASA KIDOGO YANAREJEA ETHIOPIA
Ni baada ya kujiuzulu kwa Waziri Mkuu mpya wa zamani wa nchi hiyo na kuingia kwa waziri mpya mkuu Abiy Ahmed ambaye amekuja na mfumo tofauti kuendesha taifa hilo angalau kwa kusikiliza raia wanataka nini.
Tatizo kubwa la Magu ni ukosefu wa exposure to the extent that amekuwa mshamba wa kiwango cha juu mno na ameambukiza upuuzi huu kwa watanzania walio wengi kwa kuwa tu ni masikini
 
Nadhani nchi ambayo tunakamata waharamiaji kwa wingi ni Ethiopia!
Hata muephiopia kuja Tanzania kutembea kihalali anatakiwa kutoa taarifa three weeks before safari yake,lakini pia waethiopia below 40 years of age hawaruhusiwi kuingia USA
 
Back
Top Bottom