Pamoja na mziki wao kuwa tofauti je kati ya Michael Jackson na Bob Marley nani alikubalika zaidi ulimwenguni

Good analysis.
 
Kuna watu Tanzania hapa ukiwatajia Michael Jackson hawajawahi hata kusikia lakini Bob Marley hata vijijini watu wanamjua!...Michael kiukweli alikuwa kipenzi cha wazungu zaidi ndo wakamualibu hadi sura akawa kama nyani ili afanane nao!
 
Kuna watu Tanzania hapa ukiwatajia Michael Jackson hawajawahi hata kusikia lakini Bob Marley hata vijijini watu wanamjua!...Michael kiukweli alikuwa kipenzi cha wazungu zaidi ndo wakamualibu hadi sura akawa kama nyani ili afanane nao!
Sawa
 
hakuna aliyemzidi mwenzie. Bob alikuwa maarufu halikadhalika Mike. Nani asiyewajua? Hata waliowakuta wameshakufa wanawajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…