Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Toa pumba zako,Hapo mkali ni Diamond platnamz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa pumba zako,Hapo mkali ni Diamond platnamz
Yap thats trueKila mzuiki una mtu wake mashuhuri, kwenyr rege bob hawezi sahaulika, kwenye pop michael hawezi sahaulika, kwenye hip hop 2pac hawezi sahaulika, ukisema nani maarufu lazima ujue kila mtu ana zama zake hapo, bob alikuwa maarufu sana hata akiwa marehemu jina lake lilivuma sawa na michael alipokuwa mzima, bob alipendwa sana na kizazi fulani na jamii fulani....mziki wa bob unasikilizwa sana kuliko mziki wa michael kwa sasa....
Hahaha waambiee mkuuNamheshimu sn Bob marley lkn Michael hafananishwi na takataka yoyote kwenye music...
Hahahaha acha ujinga wwAcheni kumvunjia Bob heshima kumlinganisha na choko huyu....
Bob ni kati philosophers waliowahi ishi duniani...
Messages ktk nyimbo zake ni lectures...
Acheni masihara kabisa...
Michael michael hahahaKumfananisha Bob na ujinga ni crime aisee!
Arifu vipi bhana!?!?
Michael Jackson ile ilikuwa namba nyingine. Alikubalika na mabara yote na races zote. Nilibahatika kuingia show yake moja du... ilikuwa ni balaa! Bob Marley naye japo alikuwa maarufu lakini hawezi kumfikia Michael. Ukiangalia kada kama za wazungu wengi walikuwa hawamhusudu kihivyo. Jaribu ku-google ''list of best musicians of all time'' uone majibu kutoka platform za kila aina.Michael michael hahaha
Hahaha waambie hao hahahaMichael Jackson ile ilikuwa namba nyingine. Alikubalika na mabara yote na races zote. Nilibahatika kuingia show yake moja du... ilikuwa ni balaa! Bob Marley naye japo alikuwa maarufu lakini hawezi kumfikia Michael. Ukiangalia kada kama za wazungu wengi walikuwa hawamhusudu kihivyo. Jaribu ku-google ''list of best musicians of all time'' uone majibu kutoka platform za kila aina.
daaaahh wewe Jamaa unavuta bangi sio bure ...waambie ndugu zako wakuwahishe rehab... utadata aiseeeKuna watu Tanzania hapa ukiwatajia Michael Jackson hawajawahi hata kusikia lakini Bob Marley hata vijijini watu wanamjua!...Michael kiukweli alikuwa kipenzi cha wazungu zaidi ndo wakamualibu hadi sura akawa kama nyani ili afanane nao!
[emoji23][emoji23][emoji23]daaaahh wewe Jamaa unavuta bangi sio bure ...waambie ndugu zako wakuwahishe rehab... utadata aiseee
Woyooooopigeni makelele fanyeni mjuavyo muwezavyo...."" lakini record kubwa zote za kimataifa "" zinazohusu industry ya music duniani...zina milikiwa na Michael ..."" na muheshimu mnooo Bob ...kutokana ma mchango wake mkubwa aliouacha duniani kuhusu kuleta mapinduzi yakifikira katika Jamii ya watu weusi.."" lakini Michael Jackson nimiongoni mwa watu walioweza kuwaunganisha watu wote duniani "" iwe mchina .Muhindi.mwarabu." mweusi." mzungu." etc.......Michael ndio msanii wa kwanza mweusi duniani ..kuleta mapinduzi ya kufanya media zilizokuwa hazichezi music ya watu weusi zianze kucheza nyimbo zao ......."" ana kila rec..nzuri na ya ubora ambayo mpaka sasa haijawahi kufikiwa ... documentary za show zake tu nikielelezo tosha...mpaka leo hii hkuna msanii ""ambaye" alikuwa anajaza watu katika show zake "" na kutoa performance Kali ..kama MJ..nahakuna msanii aliyekuwa na mvuto duniani kama MJ.. nampaka leo hii hajatokea bado "" ..mj aliwafnya wasanii wenzake wenyewe wawe wana copy nyimbo zake " na kuzirudia..wengine wakiiga mpak style ya uvaaji na uchezaji katik video zao,. ......endleeni kupinga
JaaaacksoooooonLadies and gentlemen the best entertainer of world is Michael Jackson.
MJ alikua entertainer mzuri lakini linapo kuja swala la mziki Bob is trillion of miles ahead.Michael michael hahaha
Acha ujinga...Jaaaacksoooooon
Well said brother....MJ alikua entertainer mzuri lakini linapo kuja swala la mziki Bob is trillion of miles ahead.
MJ kabla huja mlinganisha na Bob ina takiwa awe bora zaidi ya akina Lionel Rich.
Hahaha mbona povuuLet me declare kwamba ni shabiki wa MJ
Lakini Ogopa sana mtu ambae hatumii nguvu kuwa star...anatumia tu kipaji chake naturally
Bob marley angetumia nguvu alizotumia MJ sijui ingekuwaje
Nini mkuuAcha ujinga...
Umeanzisha uzi...ungetuacha tutoe maoni...
Sasa kuna maana gani kuanzisha uzi ilhali ushachagua upande.
NASISITIZA...
MWACHENI BOB AITWE BOB.....
Nothing compares to him.