Pamoja na safari nyingi za JK lakini tulikula bata

Pamoja na safari nyingi za JK lakini tulikula bata

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
JK alisafiri kila leo, alijenga Shule nyingi za Kata, aliajiri Watumishi wengi kila mwaka, alipandisha Mishahara na pia alilipa hadi Watumishi hewa bila TOZO, kitaa Maisha yalikuwa mazuri dola 1 ilikuwa 1,600 tu.

7AFB90F9-B49A-49CD-BEA8-37C1E0682B07.jpeg
 
JK alisafiri kila leo, Alijenga Shule nyingi za Kata, Aliajiri Watumishi wengi kila mwaka, alipandisha Mishahara na pia alilipa hadi Watumishi hewa bila TOZO, Kitaa Maisha yalikuwa mazuri dola 1 ilikuwa 1,600 tu.

View attachment 2342821
Alilifanyia nini taifa letu kwenye upande wa kukuza uchumi na kutokomeza umaskini?
 
Tulitaka kiongozi bora kuliko huyu, lakini wanaokuja wanafanya tutamani kumpata hata kama huyu tu.
 
JK alisafiri kila leo, Alijenga Shule nyingi za Kata, Aliajiri Watumishi wengi kila mwaka, alipandisha Mishahara na pia alilipa hadi Watumishi hewa bila TOZO, Kitaa Maisha yalikuwa mazuri dola 1 ilikuwa 1,600 tu.

View attachment 2342821
agombee tena na lowassa awemo, tubadili katiba. hawa wa siku hizi tunaona chengachenga mno
 
Kuna jitu lilikuwa linajifungia lkn maisha yakawa balaa. Likashindwa kuongeza hata mishahara.
 
Rais fisadi kuliko wote, nchi ikawa dampo la madawa ya kulevya, mikataba ya kijingajinga, nk. Tunauheshimu urais, lakini siyo yeye.
 
Back
Top Bottom