kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Pamoja na safari za nje kuongezeka kwa kasi na kuvunja rekodi ya nchi ambayo rais wake hufanya safari sana still mafuta yanazidi kupanda
Pamoja na hii serikali kujipendekeza kwa waarab kupita maelezo na kutembelea uarabuni kila mwezi lakini mafuta hayajashuka
The more kuzurura the more pain to Tanzanians....Halafu mnasema anaupiga mwingi
Safari za nje zimeleta tija gani?
Mbona mafuta hayajashuka?
Pamoja na hii serikali kujipendekeza kwa waarab kupita maelezo na kutembelea uarabuni kila mwezi lakini mafuta hayajashuka
The more kuzurura the more pain to Tanzanians....Halafu mnasema anaupiga mwingi
Safari za nje zimeleta tija gani?
Mbona mafuta hayajashuka?