Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wapo tena wana titles, shida mwalimu wa sokaHii timu ina viongozi kweli?
mwalimu shida yake iko wapi shida yule bibi yenuViongozi wapo tena wana titles, shida mwalimu wa soka
Tuliambiwa simba imeeachana na Zoran, so walischana bila ya kuwa na mpango mbadala?Tatizo hapa ni kuondoka kwa kocha mzungu tukiwa karibu kabisa na mechi ya kimataifa, haya maamuzi wanayofanya Simba SC kwasasa siwalaumu, hawakuwa na muda wa kutosha kujiandaa ili kumpata kocha anayefaa, wavumiliwe tu, hawakuwa na muda wa kutosha kupitia CV.
Nakubaliana na wewe lakini wangeweka wazi . Inawezekana walijua kocha wa Simba Queen ndio atatumika kama kocha mkuu kwenye mechi hiyo tu kwasababu ya vyeti lakini Mgunda ndio kaimu kocha mkuu kipindi cha mpito.Tatizo hapa ni kuondoka kwa kocha mzungu tukiwa karibu kabisa na mechi ya kimataifa, haya maamuzi wanayofanya Simba SC kwasasa siwalaumu, hawakuwa na muda wa kutosha kujiandaa ili kumpata kocha anayefaa, wavumiliwe tu, hawakuwa na muda wa kutosha kupitia CV.