Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kama walikuwa wanajuwa hivyo Kwa nini kocha wa madada hakusafiri na timu?Nakubaliana na wewe lakini wangeweka wazi . Inawezekana walijua kocha wa Simba Queen ndio atatumika kama kocha mkuu kwenye mechi hiyo tu kwasababu ya vyeti lakini Mgunda ndio kaimu kocha mkuu kipindi cha mpito.