Pamoja na Simba sc kuongoza ligi lakini Yanga wana nafasi kubwa ya kuwa bingwa

Pamoja na Simba sc kuongoza ligi lakini Yanga wana nafasi kubwa ya kuwa bingwa

Watu walivimbisha macho wakisubiri nivae boxer niende kwa mama mkwe na boxer tupu... Maana niliweka ahadi nikajiapiza msimu ulipoanza na Simba akiwa kashika Kasian, nikasema kwamba endapo Simba atachukua ubingwa, nitaenda kwa mama Mkwe mchana kweupe nikiwa na boxer.... Nilijua Yanga hainiangushagi hata! Sasa mikia ikawa wanahesabia siku ya kunisindikiza kwa mama mkwe nikiwa nimevaa boxer... Imekula kwao..
Duuh, mkuu lakini siku ingine usifanye hivyo mpira na wenyewe unadunda. Ila all in alla Yanga ndo habari ya Kariakoo
 
Nawajua hawa jamaa, mikele tu, hawachezi mpira

Simba ni timu ya hovyo

Hahahahaha mkuu umeua hawa watu wana moyo kama mchungaji wa zimbabwe aliyetembea juu ya maji akaliwa na mamba.

Hatimaye shehe Yahya amepata mrithi wake. Utabiri umetimia mkuu kweli namba huwa hazidanganyi.

teh teh teh
Hatimaye Ligi imeisha na niliyoyawaza kwa sauti yametimia. Yanga kawa bingwa kwa mara ya tatu mfulululizo. Hivyo basi niwapongeze tu mashabiki wote (ikiwemo mimi mwenyewe) wa AROSTO FC aka watoto wa jangwani kwa ubingwa.

Pia nichukue nafasi hii kuwatakia kila la heri wazee wa mchangani ambao sasa wanabadilika kuwa wazee wa mezani international...Kujipanga sio kitu kibaya, mwakani pia ligi kuu ipo......Ushahuri tu jitahidini kucheza mpira uwanjani mambo ya mezani waachieni watu wa pool table.....Jitahidini mkomae na Mbao japo tupishane huko angani.

Niwashukuru wote tuliokutana hapa katika uzi huu na pia tusameheane kama tulikwazana na kupishana kauli.

YANGA IMARA, DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
 
Hatimaye Ligi imeisha na niliyoyawaza kwa sauti yametimia. Yanga kawa bingwa kwa mara ya tatu mfulululizo. Hivyo basi niwapongeze tu mashabiki wote (ikiwemo mimi mwenyewe) wa AROSTO FC aka watoto wa jangwani kwa ubingwa.

Pia nichukue nafasi hii kuwatakia kila la heri wazee wa mchangani ambao sasa wanabadilika kuwa wazee wa mezani international...Kujipanga sio kitu kibaya, mwakani pia ligi kuu ipo......Ushahuri tu jitahidini kucheza mpira uwanjani mambo ya mezani waachieni watu wa pool table.....Jitahidini mkomae na Mbao japo tupishane huko angani.

Niwashukuru wote tuliokutana hapa katika uzi huu na pia tusameheane kama tulikwazana na kupishana kauli.

YANGA IMARA, DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
Usiwape matumaini yasiyokuwepo. Mipango ya Yanga ni kuchukua ubingwa mara 5 mfululizo ndio tupumzike mara moja ili Azam Ice Cream naye achukue ili asikate tamaa ya kufadhili ligi. Baada ya hapo tunapiga miaka mi5 mingine.
 
Usiwape matumaini yasiyokuwepo. Mipango ya Yanga ni kuchukua ubingwa mara 5 mfululizo ndio tupumzike mara moja ili Azam Ice Cream naye achukue ili asikate tamaa ya kufadhili ligi. Baada ya hapo tunapiga miaka mi5 mingine.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] braza una roho ngumu wewe......na wenyewe watu hao ujue.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] braza una roho ngumu wewe......na wenyewe watu hao ujue.
Wana mdomo sana jirani zetu. We subiri mwanzo wa msimu uone wanavyocheza mpira magazetini, ukisoma headlines unaweza ukakimbia nchi:
KWA SIMBA HII, YANGA MTAKOMA
SIMBA NG'ALU NG'ALU
SIMBA YASHUSHA KIFAA: JANGWANI WAINGIWA MCHECHETO
KOCHA OMOG ATANGAZA UBINGWA KABLA YA MSIMU KUANZA
YANGA WAJIANDAE KUPIGWA 5 ZINGINE
KWA USAJILI HUU NANI WA KUIZUIA SIMBA...

Usifikiri nawaonea mkuu

 
Wana mdomo sana jirani zetu. We subiri mwanzo wa msimu uone wanavyocheza mpira magazetini, ukisoma headlines unaweza ukakimbia nchi:
KWA SIMBA HII, YANGA MTAKOMA
SIMBA NG'ALU NG'ALU
SIMBA YASHUSHA KIFAA: JANGWANI WAINGIWA MCHECHETO
KOCHA OMOG ATANGAZA UBINGWA KABLA YA MSIMU KUANZA
YANGA WAJIANDAE KUPIGWA 5 ZINGINE
KWA USAJILI HUU NANI WA KUIZUIA SIMBA...

Usifikiri nawaonea mkuu


[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee mkuu I feel u sasa nini unamaanisha nilikua sijawahi kuiona hii video. Huyu Manara wallah si mzima.
 
Hatimaye Ligi imeisha na niliyoyawaza kwa sauti yametimia. Yanga kawa bingwa kwa mara ya tatu mfulululizo. Hivyo basi niwapongeze tu mashabiki wote (ikiwemo mimi mwenyewe) wa AROSTO FC aka watoto wa jangwani kwa ubingwa.

Pia nichukue nafasi hii kuwatakia kila la heri wazee wa mchangani ambao sasa wanabadilika kuwa wazee wa mezani international...Kujipanga sio kitu kibaya, mwakani pia ligi kuu ipo......Ushahuri tu jitahidini kucheza mpira uwanjani mambo ya mezani waachieni watu wa pool table.....Jitahidini mkomae na Mbao japo tupishane huko angani.

Niwashukuru wote tuliokutana hapa katika uzi huu na pia tusameheane kama tulikwazana na kupishana kauli.

YANGA IMARA, DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
Mkuu waambie tu ukweli kuwa ubingwa watausikia Jangwani kila msimu............mbona unawaone huruma
 
Simba hawawezi chukua hili kombe tena kwakua wanayo laana ya kula rambirambi ya mafisango,nahisi wenga nae sijui alikula ya nani.So wengine waliokula nao wajiandae laaana yake ni mbaya sanaaaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee mkuu I feel u sasa nini unamaanisha nilikua sijawahi kuiona hii video. Huyu Manara wallah si mzima.
Sasa sio Manara peke yake, hiyo ni tradition ya klabu. We subiri kidogo tu usajili uanze, utakumbuka maneno yangu. Halafu kuna kitu hawa mikia hawajui au pengine wanapenda kujidanganya. Leo nitawaambia wananchi kwa nini Simba ni timu ya hovyo

Simba inasifiwa sana na magazeti ya udaku 'eti inaiwakilisha vizuri Tanzania nje ya nchi', kinyume chake, ni Yanga pekee ndio timu ya Tanzania iliyowahi kwenda kwa watu, ikakinukisha na kurudi na NDOO home. Na si mara moja, ni mara 2.

Simba huyu koko, aliyesifiwa na magazeti ya hovyo, hana historia ya kupanda ndege na kombe. Ni kweli amechukua Kagame (Afrika Mashariki na Kati) mara 6 dhidi ya 5 za Yanga, lakini kama ilivyo asili ya mnyama yeyote 'koko' mambo hayo kayafanyia nyumbani.

Mkuu k_dizle , Simba wanachochea kuvunjika kwa muungano ili tu Zanzibar iwe nchi na wao wahesabike kuwa wamevuka mipaka na kombe. Ikumbukwe kuwa wameshabeba Kagame na Kombe la Maulid huko visiwani. Kombe la Maulid ni lile ambalo Yanga hupeleka kikosi cha pili.

Tunavyoongea

b9af5177ef17542320ef37922f7eacfe.jpg
huyu Bwana Mkubwa ambaye ni wakili wa Simba, yupo kizuizini Zurich kwa kuingia Uswis bila Visa. Safari yake huko ni kwenda kudai UBINGWA kufuatia kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Kagera Sugar kukataa kutanguka kwa albadili za masaa 72.

Simba ni timu ya hovyo.
 
Wana mdomo sana jirani zetu. We subiri mwanzo wa msimu uone wanavyocheza mpira magazetini, ukisoma headlines unaweza ukakimbia nchi:
KWA SIMBA HII, YANGA MTAKOMA
SIMBA NG'ALU NG'ALU
SIMBA YASHUSHA KIFAA: JANGWANI WAINGIWA MCHECHETO
KOCHA OMOG ATANGAZA UBINGWA KABLA YA MSIMU KUANZA
YANGA WAJIANDAE KUPIGWA 5 ZINGINE
KWA USAJILI HUU NANI WA KUIZUIA SIMBA...

Usifikiri nawaonea mkuu


Mungu mwache aitwe Mungu tu.... Huyu jamaa kapunguzwa kitu flani, hayuko sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom