ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Sie waafrika cjui tumerogwa na nani yaani pamoja na Timu Ya France kusheheni Waafrika wengi huko Russia nimeshangaa siku ya fainali waafrika wengi hasa hapa Dar walikuwa wakishabikia Croatia timu yenye idadi kubwa ya weupe
Hivi kwa nini waafrika hatujikubali?
Hivi kwa nini waafrika hatujikubali?