Ni udhaifu sana kiongozi kutumia madaraka ya kisheria kutimiza haja zake bila kujali hisia za wananchi. Mabadiliko ndani ya Tanesco yalikuwa muhimu lakini siyo kwa aina hii ya watu wapya ndani ya shirika. Waziri Januari ameleta tena watu wale wale ambao waliiliza nchi hii kwa wizi. Siyo kwamba hafahamu, ni kiburi kwamba watanifanya nini? Kwa maana nyingine tumerudi kwenye wizi wa wazi kwa imani kwamba ni zamu yao kuiba wengine pia itafika zamu yao, lakini ni baada ya miaka 7 ijayo.
Angalia watakaoiendesha Tanesco
Mafuru Tanesco- Mtu ambaye inasemekena alifanikisha GSM kusomba pesa za NBC kununulia magari ya mizigo bila kulipa deni.
Mchechu –Aliyejinufaisha badala ya kuinufaisha NHC.
Majaar –mdanganyifu wa kisheria, Tanesco ikaingia matatani hadi leo. Kubwa zaidi, imekuwaje wote hawa kukubali uteuzi huo wakati wakijua umma wa kitanzania hauna imani nao?
Hata kama walisingiziwa, je, hawana busara za kujiondoa?
Kama tumeamua kurudi ktk siasa dhaifu kiasi hiki, basi kumbe tuna wanasiasa ambao hawawezi kuwahudumia wa-TZ. Uchungu ni kuona kwamba huyu Januari ndo timu mpya aliyoiamini rais Samia.
Mageuzi aliyoyafanya kwa haraka kiasi hiki, ni ishara kwamba ndo lengo la yeye kuteuliwa tena kushika wadhifa huo.
Angalia watakaoiendesha Tanesco
Mafuru Tanesco- Mtu ambaye inasemekena alifanikisha GSM kusomba pesa za NBC kununulia magari ya mizigo bila kulipa deni.
Mchechu –Aliyejinufaisha badala ya kuinufaisha NHC.
Majaar –mdanganyifu wa kisheria, Tanesco ikaingia matatani hadi leo. Kubwa zaidi, imekuwaje wote hawa kukubali uteuzi huo wakati wakijua umma wa kitanzania hauna imani nao?
Hata kama walisingiziwa, je, hawana busara za kujiondoa?
Kama tumeamua kurudi ktk siasa dhaifu kiasi hiki, basi kumbe tuna wanasiasa ambao hawawezi kuwahudumia wa-TZ. Uchungu ni kuona kwamba huyu Januari ndo timu mpya aliyoiamini rais Samia.
Mageuzi aliyoyafanya kwa haraka kiasi hiki, ni ishara kwamba ndo lengo la yeye kuteuliwa tena kushika wadhifa huo.