Pamoja na ukongwe wa CCM, Januari Makamba ametuonesha udhaifu wa mfumo wa utawala

Jamani tuache uongo,mwenye ushahudi auweke sio tuhuma za kupuuzi kama hizi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Tuseme hakuna ushahidi. Je, kuna sababu ya kurudisha watu kwenye nafasi ya shirika watu wale wale? Mafuru alikuwa kwenye BRN, nini cha maana alichofanya? Most of these are as useless as Kapo. Kwani hakuna wa-TZ wa maana nchi hii. Unaamini hata wewe huna matumizi kuliko hao watu wa Januari?
 
Sawa wateteteeni tu, baada ya miaka 2 mtalamba matapishi yenu.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Hii ya sasa ina matobo (loop holes) nyingi, ndiyo maana hata anayeivunja katiba hiyo hiyo inamlinda... Hivi mfano una katiba ambapo majaji hawateuliwi na mkuu wa muhimili mwingine, kama tulivyoona Kenya ambapo majaji wameitupilia mbali BBI ya Kenyata, unadhani haya mambo yataendelea?
 
Statement ya kusema Tanesco ianze kujiendesha kibiashara Ni neno Pana Sana ndani yake Kuna mikataba ya kibiashara mipya itaingia ambayo itazalisha kesi za kulipa mabilioni, matatizo ya kutengeneza tatizo ili solution ipatikane kwa wizi wa fedha is back. ..pia hao watu ni technically ya mtu kujinuafaishia na kujenga mtandao na Mambo ya future presidency

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Asantè!
 
Kumuweka tu Maajar ambae aliisaidia Dowans kuwaliza Tanesco ni Jambo la ajabu sana.
Bado najiuliza ina maana viongozi wetu hawana kumbukumbu?
Hao viongozi ndio walikuwa nyuma yake sasa kama ulikuwa hujui
 
Kuna uhaba wa watu wa maana ndiyo maana ameweka hao unaosema ni wezi.
 
Halafu kuna mtu anathubutu kukwambia katiba mpya itatusaidia nini.. Yaani iwepo katiba mpya inayoruhusu kiongozi kushtakiwa akiwa madarakani au baada ya madaraka halafu wizi wa kiwango cha kutisha hivi uendelee
kuwepo!!!?

Katiba mpya ya wananchi iruhusu watu kujiorganise na kumfungulia kiongozi mashtaka, akishinda kwa kuhonga zinafuata rufaa, hata hao majaji itafika muda watajisikia aibu.

Sasa hivi viongozi wana viburi sababu wanajua hamna cha kuwafanya ndio maana mtu anaamka anawaambia mkitaka mhamie burundi, tuhamie burundi hii nchi ni ya babu yake?
 
Mmmh! Kwa upande wa Kenya Majaji wanapatikanaje mkuu?
 
Katiba mpya itaweka miiko kwa watawala kuwa juu ya sheria kama ilivyo sasa. Hii katiba ya sasa ilitengenezwa mahsusi kwa ajili ya kuifanya ccm kuwa chama dola, na makada wake kuwa juu ya kila kitu.
Kwani hii iliyopo haina miiko? Tatizo sio Katiba per se bali kasumba ya muda mrefu miongoni mwa Watanzania kutoheshimu sheria. Mtu asiyeheshimu ndoa yake hawezi kuheshimu sheria za nchi. It is that simple!
 
mlishindwa kumwambia baba yenu mzalendo alete katiba mpya Sasa mnahaha tu , sukuma gang, mlijua tunaishi milele . Katiba mpya ni muhimu iwe kwa chama tawala , upinzani na wananchi
 
Kama tanesco walikua na wansheria dhaifu angefanyeje
Umekuja kutetea kuwa Tanesco walikuwa na wanasheria dhaifu, hujui kuwa Maajar nae pia alikuwa mwanasheria wa Tanesco? Alikuwa anakula pande zote mbili
 
Umekuja kutetea kuwa Tanesco walikuwa na wanasheria dhaifu, hujui kuwa Maajar nae pia alikuwa mwanasheria wa Tanesco? Alikuwa anakula pande zote mbili
Huyu mama alikuwa hadi balazo marekani , mara mwenyekiti wa vodacom huko hakutosheka tu mpaka leo anataka madaraka
 
Akina Chenge waliiba nchi hii kwa kisingizio cha ignorance ya kuandika mikataba. Sasa ameingia waziri ambaye anaamini ana akili wakati akijua kuna watu wanamzidi uwezo mbali sana. He is not even at a half knowledge!
Ni miaka michache ijayo mtu kama Januari atakuwa kwenye kitabu cha cost of acting stupid.

Anajifanya mtu wa twitter, lakini he is believing in his hopelessness!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…