Pamoja na ukuta mrefu na JWTZ kulinda Mererani, nani bado wanaiba madini yetu?

Pamoja na ukuta mrefu na JWTZ kulinda Mererani, nani bado wanaiba madini yetu?

Nimemsikia jana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema kua madini yanatoroshewa chini na wakikamatwa wanakimbilia kuonyesha jiwe kubwa la madini, najiuliza pamoja na security yote hii ni kina nani waliendelea kutuibia madini yetu?

Maana yake ule ukuta hauna maana zaidi ya kupoteza fedha la walipa kodi kugharamia kuujenga ukuta huo. Imetumika nguvu badala ya akili kulinda yale madini na kututia hasara kubwa nb ila sababu. Hili jambo limeshangaza na kama kuna watu wanapinga hili yawezekana nao ni wapigaji.

Suala liingine la kuuliza, ni kwanini wakati wa utawala wa JPM hawakusema kabisa madini yanaendelea kutoroshwa na badala yake walibaki kusifia kua pato la madini limeongeza na maripoti yao.

Nani anaiba Madini yetu Mererani?
Kwanini ule ukuta usiende chini zaidi kupita hayo matundu ya mahandaki
 
Nimemsikia jana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema kua madini yanatoroshewa chini na wakikamatwa wanakimbilia kuonyesha jiwe kubwa la madini, najiuliza pamoja na security yote hii ni kina nani waliendelea kutuibia madini yetu?

Maana yake ule ukuta hauna maana zaidi ya kupoteza fedha la walipa kodi kugharamia kuujenga ukuta huo. Imetumika nguvu badala ya akili kulinda yale madini na kututia hasara kubwa nb ila sababu. Hili jambo limeshangaza na kama kuna watu wanapinga hili yawezekana nao ni wapigaji.

Suala liingine la kuuliza, ni kwanini wakati wa utawala wa JPM hawakusema kabisa madini yanaendelea kutoroshwa na badala yake walibaki kusifia kua pato la madini limeongeza na maripoti yao.

Nani anaiba Madini yetu Mererani?
Hivi askari coplo au sagenti mnamlipa mshahara wa laki 5 kwa mwezi alafu kwa siku apewe milioni 200 au 100 au 50 tuu aachie mzigo upite atakataa?hata kama ni mimi nakataaje kwa mfano
 
Through
1) Mikataba
2) kupitia palepale getini - Unaiba mawe 20 unawaachia wengine (walinzi etc) mawe matatu.
 
Mtu ana manyota mpaka anaelemewa halafu hana hata senti mfukoni kwanini asiwe mwizi, majeshi na watumishi wa umma wamebakwa sana kwa miaka hii mitano iliyopita
 
Ninyi mna amini kabisa ukuta ndio unaweza kuzuia madini kupitishwa? kwani madini ni gari kusema ukifunga geti haliwezi kupita?

Tujifunze hata kwa private entities kama GGM kule kuna ulinzi mkali sio wa kawaida, na security checks za kutosha, bado wakuu wakijipanga vizuri wanapiga mzigo hapa na pale (japo kwa uchache)

Labda atusaidie 24/7 kinachofanyika huko mererani ni kipi, eti tweenty4seven hebu tupe habari za huko basi, kina nani wanafanya haya?
 
Mauzo kabla ya ukuta na baada ya ukuta yakoje?

Ninyi mna amini kabisa ukuta ndio unaweza kuzuia madini kupitishwa? kwani madini ni gari kusema ukifunga geti haliwezi kupita?

Tujifunze hata kwa private entities kama GGM kule kuna ulinzi mkali sio wa kawaida, na security checks za kutosha, bado wakuu wakijipanga vizuri wanapiga mzigo hapa na pale (japo kwa uchache)

Labda atusaidie 24/7 kinachofanyika huko mererani ni kipi, eti tweenty4seven hebu tupe habari za huko basi, kina nani wanafanya haya?
 
Nimemsikia jana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema kua madini yanatoroshewa chini na wakikamatwa wanakimbilia kuonyesha jiwe kubwa la madini, najiuliza pamoja na security yote hii ni kina nani waliendelea kutuibia madini yetu?

Maana yake ule ukuta hauna maana zaidi ya kupoteza fedha la walipa kodi kugharamia kuujenga ukuta huo. Imetumika nguvu badala ya akili kulinda yale madini na kututia hasara kubwa nb ila sababu. Hili jambo limeshangaza na kama kuna watu wanapinga hili yawezekana nao ni wapigaji.

Suala liingine la kuuliza, ni kwanini wakati wa utawala wa JPM hawakusema kabisa madini yanaendelea kutoroshwa na badala yake walibaki kusifia kua pato la madini limeongeza na maripoti yao.

Nani anaiba Madini yetu Mererani?
Ivi yule morel alichimba na kupata kweli yale madini au zilikuwa sarakasi tu za yule mzee??
 
KAMA JIWE ANGEAMBIWA KUWA INGAWA ALITUMIA GHARAMA NYINGI KUJENGA UKUTA NA KUTOA SIFA NYINGI KWA JESHI KWA KULINDA MIGODI YA TANZANITE LAKINI MADINI BADO YALIKUWA YANAIBIWA ANGEONEKANA MJINGA NA HILO LISINGEMPENDEZA MPENDA SIFA YULE!!! ANGEWAKA MOTO!!
Alipigwa mchana kweupeeeeee
 
Madini yetu yanaibwa na watu wawili (1) yule aliyekuwa DC Arumeru kisha akawa RC Kiteto na sasa ni mbunge wa Misungwi Alexander Mnyetio. Huyu ni mpwa wa marehemu Magufuli na Magufuli alikuwa anajuwa. (2) Waziri wa madini Dotto Biteko ambaye asili yake Ni Burundi
Kwa pamoja ndiyo walitaka kugawana kitalu C wakati marehemu yuko ventilators
View attachment 1745475View attachment 1745474
Ndiyo maana Sukuma Gang wamepanic mbaya
 
Unajua hii ni kashfa kubwa sana inayohitaji uchunguzi wa kipekee. Aliposema vile camera ikawaonyesha wakuu wa vyombo vya UU, wamevimbisha sura kweli kweli.

Nadhani katika mambo yote mabaya yaliyosemwa mpaka sasa katika hizi wiki mbili kuhusu utawala wa mwendazake, hii inashika nafasi ya kwanza au ya pili.
 
Kikubwa walijenga kuzuia nini?

Na ukuta huo una security level ipi?

Na ukuta huo unalindwa na watu wenye utaalam wa aina gani?.
Itoshe tu kusema biashara ya madini ina fake nyingi huwezi kulinda kwa kufoka foka kama mwehu
 
Back
Top Bottom