Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Umetoa tathmin ya Diamond kwa kile unachokionaga kwenye mitandao ya kijamii, na kila ambacho hakioneshi je..?
Hukijui cha Ali kiba kwa sababu hakioneshi hadharani siku ukioneshwa je..?

na hiko unachokiona kwenye mitandao ya kijamii na kuiitra utajiri siku muhusika asipokuwepo kwenye ulimwengu wa kimwili ukiambiwa marehemu hakuwa na mali yoyote na watu wanaomzunguka utazungumza nini..?
 
Ningetamani kelele zote za mashabiki WA king Kiba angalau nao wangetupia hata kagari au nyumba kama alivyosem yule aneishi Jirani ya Kiba. Sijui kakatazwa hata kupiga Picha hilo jumba aliolonalo Kiba
Richest Musicians in Tanzania


Tanzania has very talented musicians, who have dominated the East African music industry for decades. Richest musicians in Tanzania, who include Diamond Platnumz, drive sleek cars, live in posh areas and have invested heavily in real estate, entertainment industry, transport as well as stock market.
Talent pays, and that’s exactly the story about these great musicians. For inspiration and motivation, below we discuss the wealthiest musicians in East Africa.

Diamond Platnumz

Diamond Platnumz is the wealthiest Bongo musician. Starting from nowhere in 2009, the celebrated artiste has accumulated enough to call him wealthy. Today he drives a Ferrari, Jaguar, BMW and any luxury car suitable for Tanzanian roads.

His net worth is in excess of $ 5 million, which puts him at position 2 in East Africa and number 1 in Tanzania.

Diamond never performs at an event before pocketing $ 4000 (Tsh 8 million)

Married to model, Zari Hassan, Diamond makes Tsh 2 million per day from his music and his popular Recording Studio.

Apart from his liquid cash, Diamond owns a house in Dar es Salaam and several apartments in Tanzania.

Ali Kiba

Ali Kiba started his music career in 2000 and is one of the biggest names in Tanzania. The Bongo artiste has released hit after hit, raising his profile in length and breadth. When he enters a club, everybody bows for him, not because he is a king but the fact that he conquers.

Ali Kiba is worth a staggering $ 4 million, and his wealth is rising significantly, thanks to the many shows he performs weekly.

Apart from Music,Ali Kiba has a posh home in Dar es Salaam, he also own acres of land and top of the range cars.

A single performance in a top club earns the musician not less than $3,000

Professor Jay

Joseph Haule, popularly known as Professor Jay, the musician comes third with a total net worth $3.5million.

The legislature started his music career in 1990 and has since dominated the industry. Every singer emulates him and looks up to him for direction-he has nurtured many talents.

Professor Jay has invested heavily in the entertainment industry, real estate and transport business. He owns a posh home in Dar es Salaam, a Range Rover and a host of other cars.

Though currently he is a distant behind Diamond and Ali Kiba, Professor Jay still has a fan base, which comprises of mostly youths above age 30.

Lady Jay Dee

The iron lady in Tanzania’s Bongo industry, Lady Jay Dee has made a mark, rising from rags to riches. Today she is among the wealthiest Bongo musicians.

Jay Dee owns a band by the name Machozi,she owns a Mercedes Benz, Toyota V8 and a several models. Apart from property and cars,she also earns at least $ 1500 from every performance.
 
Habari zenu wana jf

Naombeni uzii huu usichukuliwe kiushabiki bali uchukuliwe kama haki ya kila mtu kutoa ya moyoni pasipo kuvunja sheria

Kwa mda mrefu msanii Alikiba amekuwa yupo kwenye game la mziki na amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake nzuri na kujipatia mashabiki wengi huku wengine wakimuita "KING" wa bongofleva.

Lakini pamoja na umaarufu wake alionao na mashabiki wengi aliojizolea lakini bado Alikiba ni mtu mwenye maisha ya ya chini tu ambayo hayafanani kabisa na umaarufu wake

Tukija upande wa pili wa mwanamuziki Naseeb Abdul ~Diamond Platnumz yeye si wazamani sana kwenye game kama alikiba lakini nayeye ametokea kufanya kazi nzuri na kujizolea mashabiki wengi na umaarufu lakini hajaweza kufikia record ya The king himself Alikiba

Lakini ukija kwenye maswala ya maendeleo ambayo ndio kipimo cha kazi anayofanya msanii utagundua kuwa Diamond platnumz amejizolea utajiri wa kutisha zaidi ya King himself Alikiba.

Kutokana na kazi ya mziki Diamond platnumz ameweza kujipatia utajiri mkubwa ikiwemo kuachia mijengo mingi ya maana hapa town na mengine South Africa. Diamond amefunguka zaidi kwa kuanzisha biashara zake za Chibu perfume na Diamond karanga ambazo zinafanya vizuri nzuri sokoni bila kusahau mikataba yake ya matangazo na makampuni makubwa wakati king Kiba hana biashara ya maana wala maendeleo yoyote kumzidi Naseeb
1b6a914765dee10191206877f27f3872.jpg

baf5eac734a10fe7a1c795f1258ae853.jpg

b78bdcea38f9fd2b03a2e54e403d5d2b.jpg

dd124671bdcf3d7cdf0e1120c15cafce.jpg


Diamond platnumz amejenga ofisi yake ya kisasa na kufungua studio yake ya wasafi records ambayo inahusika kutengeneza ngoma zote za wasafi na wasanii wengine kutoka nnje kitu ambacho Alikiba hadi leo hana ofisi wala studio yake binafsi
9b5bab3186e9b0ab5b1ec5a21fbd0ab0.jpg

5aba10ffde33e51db20eafe3807c4f89.jpg

a5eefc9f96dbbd47fefa3f02627c4c3f.jpg

0b191687eb9d1141279775010bc4e08f.jpg


Diamond ameanzisha Label yake mwenyewe ya Wasafi records ambayo inawasimamia wasanii wakali kama Rich mavoko,Harmonize,Rayvanny,lavalava na mtandao wa wasafi.com ambao anauza nyimbo zake na za wasanii wengine online. Label ya wasafi imekuwa ni chanzo kikubwa cha kupiga mkwanja mrefu kwa Diamond platnumz hadi ilifika kipindi TRA wakamkadiria kodi hadi swala hilo likatinga bungeni

Huku Diamond platnumz ni msanii pekee anaeilipa kodi kubwa serikali kuliko msanii yeyote hapa tz, Akiwapiku wasanii wengi wakongwe na wapya ambao wamekuwa wakimchukia lakini wengi wao hata mlango wa TRA hawaujui nikimaanisha wanaendesha kazi zao kiujanja ujanja lakini Diamond platnumz ameonyesha mfano kwa kuilipa kodi serikali kwa kazi zake zote
81226d28e38578c6244eb8ea6449258c.jpg


Wakati upande wa pili wa Alikiba yeye bado amesainiwa na Sony music na hana label yake mwenyewe wala wasanii anaowasimamia,Na wala sina uhakika kama anailipa kodi serikali kama anavyofanya Platnumz

Diamond platnumz ameweza kutoa ajira kwa
~Mameneja 2
~Madancer 5
~producer 1
~Bodyguard 1
~Photographer 1
~Mtu wa IT 1
~Mbunifu 1
~Muhasibu 1
~wasanii chini ya label yake 5
Jumla 19

eab9b5e89f9bc0fee68573deed497799.jpg

Ukipiga hesabu hapo Diamond platnumz anaspend zaidi ya 100 millions kwa ajili ya kulipa mishahara tu kwa crew yake au wafanyakazi wa label yake ya wasafi kwa kila mwezi huku mshahara mkubwa ukienda kwa wasanii walio chini ya lebel yake kulingana na mikataba yao

Ukija upande wa pili wa alikiba yeye ni mwajiriwa tu wa sonny music hamlipi mtu mshahara lakini maisha yake hayafanani kabisa na misifa anayopewa na mashabiki wake Mwisho wa siku utagundua kuwa alikiba anaambulia sifa tu kutoka kwa mashabiki zake mitandaoni kakini Diamond ni real money maker nikimaanisha mashabiki wanaompaka sifa Alikiba mchana ndio hao hao Wanaomtajirisha Diamond platnumz wenyewe

Na wapo watakaokuja kusema hapa kuwa alikiba sio mtu wa show off lakini msema ukweli ni mpenzi wa mungu pesa na maisha aliyokuwa nayo Alikiba hata aizidishe mara 10 hamfikii Diamond platnumz japo watu hao hao wanampaka mafuta mwa mgongo wa chupa alikiba kwa sifa ndio hao hao wanaomtajirisha Platnumz

mziki duniani kote sasa hivi ni pesa ndio mpango mzima lakini najiuliza mziki wa alikiba ni wa kuingiza pesa kutokana na kazi nzuri au ni mziki wa sifa mbona hana maendeleo yoyote?

*~Mtotmtamu
Fact tupu!!!Mkuu umesahau na madem wakali D akitafuna ka kibakulifisi ndio kanakuja kuzengea wakati simba ashaa kula minofu!
 
Umetoa tathmin ya Diamond kwa kile unachokionaga kwenye mitandao ya kijamii, na kila ambacho hakioneshi je..?
Hukijui cha Ali kiba kwa sababu hakioneshi hadharani siku ukioneshwa je..?

na hiko unachokiona kwenye mitandao ya kijamii na kuiitra utajiri siku muhusika asipokuwepo kwenye ulimwengu wa kimwili ukiambiwa marehemu hakuwa na mali yoyote na watu wanaomzunguka utazungumza nini..?
Mkuu mimi namfahamu kiba zaidi yako nimeshaishi karibu na kwao kariakoo na pia nafahamu kuwa amepanga tabata na kule kunduchi pia alikuwa amepanga sasa tupost mali za kupanga?
 
Diamond na kiba muwashindanishe kwenye kuimba tuu ilaa sio kwenye Mafanikio ..
Diamond kafanikiwa yeye na hadi watu wanomzunguka kuanziaa family..hdii marafikiii zake. .
hivi wakuu nyiee team kiba hamuoni jamaa alivyobadilis maisha ya kina harmonize na Ray van na hata akina iyobo.
Pia kiba kaajiliwa rockstar mana ake ni kwamba anaweza fukuzwa "any time t" lakini diamond yeye ni C.E.O wa label kubwaa Africa WCB ..
Mnasema oooh Perfume ya kusaga na karanga sio zake .sawa tumekubali sio zake
lakini jee hapati millions of Money kwenye hizo project ambapo hata huyo boss wenu hamfikii. .
Endorsement vipii. ..*?
DIAMOND kawa endorsed na makampuni mengi mno ambayo yanampa Mpungaa wa kutosha. .
huyo boss wenu ..vipi. .??
hata tangazo la chupii. .???

Nokia ya Torch
 
Waambie mkuu alikiba ana utajiri wa sifa tu lakini pesa hana

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanampaisha tu...just imagine uwe na nyumba na gari ya maana uache kuwa on the spotlight tz hii ya wakuda??? Hata kama hataki, kwa popularity alionayo the moment ameinunua tu mapaparazi wangesambaza taarifa! Kiba maskini bana, asijifanye eti hapendi ku floss...hana vya kuringia kama alivyonavyo mwenzie!
 
Diamond na kiba muwashindanishe kwenye kuimba tuu ilaa sio kwenye Mafanikio ..
Diamond kafanikiwa yeye na hadi watu wanomzunguka kuanziaa family..hdii marafikiii zake. .
hivi wakuu nyiee team kiba hamuoni jamaa alivyobadilis maisha ya kina harmonize na Ray van na hata akina iyobo.
Pia kiba kaajiliwa rockstar mana ake ni kwamba anaweza fukuzwa "any time t" lakini diamond yeye ni C.E.O wa label kubwaa Africa WCB ..
Mnasema oooh Perfume ya kusaga na karanga sio zake .sawa tumekubali sio zake
lakini jee hapati millions of Money kwenye hizo project ambapo hata huyo boss wenu hamfikii. .
Endorsement vipii. ..*?
DIAMOND kawa endorsed na makampuni mengi mno ambayo yanampa Mpungaa wa kutosha. .
huyo boss wenu ..vipi. .??
hata tangazo la chupii. .???

Nokia ya Torch
Alafu sio mbinafsi kabisa yani kupitia yeye ameinua familia yake muangalie esmaplatnumz na queendarlin na romyjons alivyowainua kwa kuwatengenezea hali ya kujitegemea
 
Alafu sio mbinafsi kabisa yani kupitia yeye ameinua familia yake muangalie esmaplatnumz na queendarlin na romyjons alivyowainua kwa kuwatengenezea hali ya kujitegemea
Yeah Mkuu na hiyo ndo real definition ya Mafanikio. ..

Nokia ya Torch
 
Hapo angalia na upande wa diamond wanawake wote anaowazengea teyari walishakuwaga wazazi.

-Ndumilakuwili-
Kwahiyo kama mwenzake kala na yeye lazma azegee?Kama sio kutembelea nyota za watu ni nini?Kweli mabakuli mabakuli tu!
 
Habari zenu wana jf

Naombeni uzii huu usichukuliwe kiushabiki bali uchukuliwe kama haki ya kila mtu kutoa ya moyoni pasipo kuvunja sheria

Kwa mda mrefu msanii Alikiba amekuwa yupo kwenye game la mziki na amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake nzuri na kujipatia mashabiki wengi huku wengine wakimuita "KING" wa bongofleva.

Lakini pamoja na umaarufu wake alionao na mashabiki wengi aliojizolea lakini bado Alikiba ni mtu mwenye maisha ya ya chini tu ambayo hayafanani kabisa na umaarufu wake

Tukija upande wa pili wa mwanamuziki Naseeb Abdul ~Diamond Platnumz yeye si wazamani sana kwenye game kama alikiba lakini nayeye ametokea kufanya kazi nzuri na kujizolea mashabiki wengi na umaarufu lakini hajaweza kufikia record ya The king himself Alikiba

Lakini ukija kwenye maswala ya maendeleo ambayo ndio kipimo cha kazi anayofanya msanii utagundua kuwa Diamond platnumz amejizolea utajiri wa kutisha zaidi ya King himself Alikiba.

Kutokana na kazi ya mziki Diamond platnumz ameweza kujipatia utajiri mkubwa ikiwemo kuachia mijengo mingi ya maana hapa town na mengine South Africa. Diamond amefunguka zaidi kwa kuanzisha biashara zake za Chibu perfume na Diamond karanga ambazo zinafanya vizuri nzuri sokoni bila kusahau mikataba yake ya matangazo na makampuni makubwa wakati king Kiba hana biashara ya maana wala maendeleo yoyote kumzidi Naseeb
1b6a914765dee10191206877f27f3872.jpg

baf5eac734a10fe7a1c795f1258ae853.jpg

b78bdcea38f9fd2b03a2e54e403d5d2b.jpg

dd124671bdcf3d7cdf0e1120c15cafce.jpg


Diamond platnumz amejenga ofisi yake ya kisasa na kufungua studio yake ya wasafi records ambayo inahusika kutengeneza ngoma zote za wasafi na wasanii wengine kutoka nnje kitu ambacho Alikiba hadi leo hana ofisi wala studio yake binafsi
9b5bab3186e9b0ab5b1ec5a21fbd0ab0.jpg

5aba10ffde33e51db20eafe3807c4f89.jpg

a5eefc9f96dbbd47fefa3f02627c4c3f.jpg

0b191687eb9d1141279775010bc4e08f.jpg


Diamond ameanzisha Label yake mwenyewe ya Wasafi records ambayo inawasimamia wasanii wakali kama Rich mavoko,Harmonize,Rayvanny,lavalava na mtandao wa wasafi.com ambao anauza nyimbo zake na za wasanii wengine online. Label ya wasafi imekuwa ni chanzo kikubwa cha kupiga mkwanja mrefu kwa Diamond platnumz hadi ilifika kipindi TRA wakamkadiria kodi hadi swala hilo likatinga bungeni

Huku Diamond platnumz ni msanii pekee anaeilipa kodi kubwa serikali kuliko msanii yeyote hapa tz, Akiwapiku wasanii wengi wakongwe na wapya ambao wamekuwa wakimchukia lakini wengi wao hata mlango wa TRA hawaujui nikimaanisha wanaendesha kazi zao kiujanja ujanja lakini Diamond platnumz ameonyesha mfano kwa kuilipa kodi serikali kwa kazi zake zote
81226d28e38578c6244eb8ea6449258c.jpg


Wakati upande wa pili wa Alikiba yeye bado amesainiwa na Sony music na hana label yake mwenyewe wala wasanii anaowasimamia,Na wala sina uhakika kama anailipa kodi serikali kama anavyofanya Platnumz

Diamond platnumz ameweza kutoa ajira kwa
~Mameneja 2
~Madancer 5
~producer 1
~Bodyguard 1
~Photographer 1
~Mtu wa IT 1
~Mbunifu 1
~Muhasibu 1
~wasanii chini ya label yake 5
Jumla 19

eab9b5e89f9bc0fee68573deed497799.jpg

Ukipiga hesabu hapo Diamond platnumz anaspend zaidi ya 100 millions kwa ajili ya kulipa mishahara tu kwa crew yake au wafanyakazi wa label yake ya wasafi kwa kila mwezi huku mshahara mkubwa ukienda kwa wasanii walio chini ya lebel yake kulingana na mikataba yao

Ukija upande wa pili wa alikiba yeye ni mwajiriwa tu wa sonny music hamlipi mtu mshahara lakini maisha yake hayafanani kabisa na misifa anayopewa na mashabiki wake Mwisho wa siku utagundua kuwa alikiba anaambulia sifa tu kutoka kwa mashabiki zake mitandaoni kakini Diamond ni real money maker nikimaanisha mashabiki wanaompaka sifa Alikiba mchana ndio hao hao Wanaomtajirisha Diamond platnumz wenyewe

Na wapo watakaokuja kusema hapa kuwa alikiba sio mtu wa show off lakini msema ukweli ni mpenzi wa mungu pesa na maisha aliyokuwa nayo Alikiba hata aizidishe mara 10 hamfikii Diamond platnumz japo watu hao hao wanampaka mafuta mwa mgongo wa chupa alikiba kwa sifa ndio hao hao wanaomtajirisha Platnumz

mziki duniani kote sasa hivi ni pesa ndio mpango mzima lakini najiuliza mziki wa alikiba ni wa kuingiza pesa kutokana na kazi nzuri au ni mziki wa sifa mbona hana maendeleo yoyote?

*~Mtotmtamu

Labda tu udefine maana ya umaskini
 
jamani mafanikio sio lazima uwe mtu wa show off kila mtu na tabia yake diamond na ali kiba wote wasaani wazuri na wana mafanikio mfano tunaamini bila ya forbes kusema utajiri wa dewji hakuna mtu angeamini hilo jamani mlishawahi kwenda kwao dewji singida mimi nilichoka lakini ndio tajiri mwenye networth ya $1.4 billions
mfano gwajima juzi amenunua private jet gulfstream G450 ambayo serikali ilishindwa gharama zake kipindi cha kikwete ikabidi uuzwe sasa huyu tajiri wa Tanzania hata private jet hana anatumia commercial airlines mtu yoyote anioneshe nyumba ya dewji ya au gari au private jet kwenye picha
my concern is sio lazima kuweka maisha yako kwenye media saaana same applied to ali kiba kila mtu na hulka yake
my regards
 
Uchunguzi wako umelalia upande mmoja bila kujua watu tuna hulka tofauti,sio kila mtu anapenda kuanika yake hadharani.
Diamond ni mtu wa social networks ambapo sio kosa ndio maisha yake tupo wengi tu ambao siku moja pekee tunaweza piga picha hata hamsini ila kuna watu ambao anaweza maliza wiki hajapiga picha na sio kosa. Ninachoon hapo hilo ndio suala mali za Diamond tunazifahamu ila za Kiba hapana
Kwa akili zako unafikiri Kiba ndiye atakua analipa kodi kubwa TRA kama Diamond sindio?

Kiba ana studio ila hajionyeshi sindio?

Kiba ana lebel yake mwenyewe ila hajionyeshi sindio?

Kiba anamiliki mijengo ila hajonyeshi sindio?

Kiba ana MANDINGA na aliteleza kuimba kwenye seduce me kwa bahati mbaya,kuliko Diamond sindio?

Acheni utani bhana,tuwe realistic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili zako unafikiri Kiba ndiye atakua analipa kodi kubwa TRA kama Diamond sindio?

Kiba ana studio ila hajionyeshi sindio?

Kiba ana lebel yake mwenyewe ila hajionyeshi sindio?

Kiba anamiliki mijengo ila hajonyeshi sindio?

Kiba ana MANDINGA na aliteleza kuimba kwenye seduce me kwa bahati mbaya,kuliko Diamond sindio?

Acheni utani bhana,tuwe realistic.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie mkuu
 
Back
Top Bottom