Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Kijana kukaa chini kudiscuss maisha ya vijana wenzio ambao huwafikii kwa lolote ni dalili ya kukata tamaa.....
songa mbele kijana bado muda unao au kama vipi jiunge na mimi huku kwenye ukonda wa daladala mbona na sie tuna zichanga tu hizo chenjiiii..... usikate tamaaa bro.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Kwanza kabisa maendeleo ya kiuchumi si kipimo cha uzuri wa sanaa ya msanii.

Sanaa haipimwi kwa hela.

Naona unaoanisha maendeleo ya kiuchumi ya msanii na uzuri wa sanaa yake.

Msanii anaweza kuwa mzuri zaidi katika sanaa yake lakini hajui kusimamia haki zake na hivyo akawa na mikataba mibaya itakayomfanya awe masikini.

Na msanii mwingine anaweza kuwa si mzuri sana katika sanaa, lakini akawa anajua kusimamia haki zake katika mikataba na hivyo kuwa tajiri.

Kwa hiyo umelinganisha uchumi na sanaa katika namna ambayo haina ulinganifu.

Sent from my Kimulimuli
 
Nani Kakuambia Diamond Karanga Ni Za Domo?? Huyo Domo Kapewa Kazi Ya Kupromote Soko Tu Kumbuka Hizo Karanga Zilikuwepo Toka Mwaka Juzi Na Zilikuwa Za Rangi Ya Blue
Sasa ww ndo umesema hivo lakini hao wenye kampuni mbona hawasemi karanga ni zao ila matangazo kapewa diamond mbona ni kawaida kupewa tangazo...hiyo kampuni wanaficha nn? Na ww umejuaje? Karanga kuwepo sokoni kwa kipindi kilichopita haina maan mikataba ya uzalishaji na umilikishi kubadilika....lazma uwe na fact na point za kutosha hiyo sio sabab ya msngi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfalme wa bongo fleva ni dully sykes,nyie madogo mlioanza kufuatilia muziki juzi ndo mnadanganywa eti ali ni king,pili muziki ili ukulipe lazima uwe na akili ya biashara na menejimenti nzuri kitu ambacho mwenzetu hana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unatoa kazi nzuri alafu uchumi wako ni mbovu ni heri uache sanaa tu masna utakuwa unafanya kazi kujaza maji kwenye chujio
 
Acha uwongo mombasa kaishi lini? Mpaka tiket ya Msa anatumiwa na joho, amekaa kipindi hiki cha Kampeni tu, hapo ndio ujue mwanamuziki wako alivyo mdogo, kaenda mombasa mwezi mzima anamfanyia Kampeni Gavana wa msa, Hivi Diamond wangeweza kumlipa pesa ya mwezi mzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa uzi rekebisha kauli sio kweli kwamba alikiba kamzidi umaarufu diamond,.....hakuna msanii maarufu zaidi wa tz kama domo...tukija hata kwene mashabiki nadhan domo anao wengi zaidi hasa nje ya mipaka ukizingatia alikiba hajaweka mizizi sana nje ya Africa ila anamashabiki zaidi tz na nairobi kenya..,.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hhhhhhhhhh
 
Alikiba anapambanishwa na Diamond????au Diamond anapambana na Kiba??????
Ok basi sawa wanapambanishwa lkn kumbuka ni katika muziki siyo maisha binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ali masikini kwa kigezo kipi?

Kwann heading umemtaja Ali maelezo yote ni ya Diamond?

Kwann umeonyesha mali anazomiliki Diamond na za Ali hujaonyesha?

Naomba kujua umefikiri kwa kutumia Akili au Hisia?
bora umeona nilichokiona japo kwa kuchelewa.
 
Kama unatoa kazi nzuri alafu uchumi wako ni mbovu ni heri uache sanaa tu masna utakuwa unafanya kazi kujaza maji kwenye chujio
Ushawahi kusikia msemo "art for the sake of art" ?

Huo msimamo wako ni wa kiuchumi zaidi, na haubadili ukweli kwamba msanii mzuri anaweza kufa masikini wakati asiye mzuri akatajirika.

Kwa hiyo tunapopima sanaa, kupima kwa mafanikio ya kiuchumi ni kigezo potofu.

Msanii anaweza kutajirika kwa kuuza unga chinichini.Sisemi Diamind anafanya hivyo, nasema ukitumia uchumi kama kigezo, unaweza kusifia sanaa kwa sababu mtu kauza unga.



Sent from my Kimulimuli
 
Nikweli ila ujue kwa uhalisia tukizungumzia swala la pesa kwene mitandao diamond ndio anaongoza na ndo maan youtube walitoa top ten yao diamond alimpiku mbali sana kiba,....na jarbu kuangalia nyimbo zao zote utaona ni nani ana views wengi zaidi utagundua ni diamond,...dili za matangazo diamond ana matangazo mengi na makubwa zaidi ya Alikiba,......tukija kwene show nadhani hapa hamna ubishi hata tusilizungumzie maan uyo domo uko nje kapiga show nyingi sana na Africa nzima kwa ujumla kulinganisha na alikiba...ukicheki kwa jicho la mbali sehemu anazopita kiba ni zile diamond kashazipitia mara mbili yake uko nyuma.....lifestyle ya kujionyesha na kutojionesha ni mtu mwenyewe....lakini tukiwafananisha zaidi kwa kazi zao kimziki hivo havifichiki maan yuotube kila mtu anaona,matangazo tunaona,shows tunaona na tuzo zinaonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…