Pamoja na umri mkubwa mwenzenu mteja

Pamoja na umri mkubwa mwenzenu mteja

Salaam wana jukwaa
Jamani mwenzenu nina tatizo linalonisumbua ni zaidi ya mteja wa unga na hili tatizo limeshaniletea matatizo na aibu kama mara kibao mpaka nyumbani na mke wangu

Mimi uteja wangu ni kunusa chupi za kike yaani ,nikiingia uwani kwa mtu nafanya mbinu yeyote mpaka nitoke nayo au niinuse palepale juu ya kamba kuna siku balaa lilinikuta nikaitia mfuko wa nyuma ghalfa nikasikia mwenyewe anauliza nikajaribu kutoka mle ndani kwa kasi

Nikamsikia kuna mama alikuwa amekaa ukumbini akisema wee baba huo mfuko wa nyuma kuna chupi inaning'inia nikairudisha kwa aibu wakaapa kwa tabia niliofanya wanaenda mwambia mke wangu niliomba msamaha wakaridhia,kule nyumbani kuna sehemu nimeziweka kama sitoki kuna siku wife ameamua kufanya usafi sehemu zote ghafla anaikuta rasketi nzima imejaa chupi akaniuliza haya mwenzetu na hii biashara ya chupi umeanza lini aibu nilijibalaguza kuwa kuna jamaa yangu ndio alikuja kuzihifadhi pale ili siku ya pili aende akauze lakini sijamuona karibuni wiki

Sasa ndugu zanguni aibu ni nyingi na kila nikijaribu kuacha siwezi
Na mimi nataka kutoka kwenye hili janga
Inaelekea ndo starehe yako hiyo kamanda,angalia usije ombwa na yako inuswe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] khaa dunia inamambo
 
Salaam wana jukwaa
Jamani mwenzenu nina tatizo linalonisumbua ni zaidi ya mteja wa unga na hili tatizo limeshaniletea matatizo na aibu kama mara kibao mpaka nyumbani na mke wangu

Mimi uteja wangu ni kunusa chupi za kike yaani ,nikiingia uwani kwa mtu nafanya mbinu yeyote mpaka nitoke nayo au niinuse palepale juu ya kamba kuna siku balaa lilinikuta nikaitia mfuko wa nyuma ghalfa nikasikia mwenyewe anauliza nikajaribu kutoka mle ndani kwa kasi

Nikamsikia kuna mama alikuwa amekaa ukumbini akisema wee baba huo mfuko wa nyuma kuna chupi inaning'inia nikairudisha kwa aibu wakaapa kwa tabia niliofanya wanaenda mwambia mke wangu niliomba msamaha wakaridhia,kule nyumbani kuna sehemu nimeziweka kama sitoki kuna siku wife ameamua kufanya usafi sehemu zote ghafla anaikuta rasketi nzima imejaa chupi akaniuliza haya mwenzetu na hii biashara ya chupi umeanza lini aibu nilijibalaguza kuwa kuna jamaa yangu ndio alikuja kuzihifadhi pale ili siku ya pili aende akauze lakini sijamuona karibuni wiki

Sasa ndugu zanguni aibu ni nyingi na kila nikijaribu kuacha siwezi
Na mimi nataka kutoka kwenye hili janga


Nenda nyumbani kwa Kajala, nasikia yeye akizifua zake anaweka barazani ili watu wazione.
 
Salaam wana jukwaa
Jamani mwenzenu nina tatizo linalonisumbua ni zaidi ya mteja wa unga na hili tatizo limeshaniletea matatizo na aibu kama mara kibao mpaka nyumbani na mke wangu

Mimi uteja wangu ni kunusa chupi za kike yaani ,nikiingia uwani kwa mtu nafanya mbinu yeyote mpaka nitoke nayo au niinuse palepale juu ya kamba kuna siku balaa lilinikuta nikaitia mfuko wa nyuma ghalfa nikasikia mwenyewe anauliza nikajaribu kutoka mle ndani kwa kasi

Nikamsikia kuna mama alikuwa amekaa ukumbini akisema wee baba huo mfuko wa nyuma kuna chupi inaning'inia nikairudisha kwa aibu wakaapa kwa tabia niliofanya wanaenda mwambia mke wangu niliomba msamaha wakaridhia,kule nyumbani kuna sehemu nimeziweka kama sitoki kuna siku wife ameamua kufanya usafi sehemu zote ghafla anaikuta rasketi nzima imejaa chupi akaniuliza haya mwenzetu na hii biashara ya chupi umeanza lini aibu nilijibalaguza kuwa kuna jamaa yangu ndio alikuja kuzihifadhi pale ili siku ya pili aende akauze lakini sijamuona karibuni wiki

Sasa ndugu zanguni aibu ni nyingi na kila nikijaribu kuacha siwezi
Na mimi nataka kutoka kwenye hili janga
Mental disorder onana na Bingwa wa magonjwa ya akili Mkuu, pole sana kwa Fedheha
 
Kuna mawili...

1. Nenda ukaombewe!!! Ni pepo hilo
2. Nenda hospitali kitengo cha magonjwa ya akili... Unahitaji msaada mkuu. Sio tabia ya kawaida ata kidogo
 
Hebu eleza kwanza kuhusu Harufu ipi inakuvutia zaidi kati ile yenye perfume au ile ya mkojo mkojo kwenye chupi?
Kwani huwa ni harufu flani ya kiasili ya mvaaji chupi hata ikipigwa pafyum inajitenga
 
Back
Top Bottom