Pamoja na yaliyo tokea lakini Simba atafuzu robo fainali kwa kuongoza kundi

Kwa mpira aliocheza simba jana wakitatua tatizo la ufungaji inawezekana kabisa
 
Akili za kipuuzi hiyo possibility unayowapa thimba as anayechezesha mechi ni mangungu au mohamedi....!!, Vipi Kama wyhdad wakmunga Simba ?, Au vipi Kama Asec akafungwa na Galaxy? Kwamba Simba yeye anauhakika wwkuchukua point tu kwa wapinzani?.
 
Na yanga itakua mwaka nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vichekesho kwa kweli.
 
Hivi kumbe mambo ya alinacha bado yapo..!!
 
Akili za kipuuzi hiyo possibility unayowapa thimba as anayechezesha mechi ni mangungu au mohamedi....!!, Vipi Kama wyhdad wakmunga Simba ?, Au vipi Kama Asec akafungwa na Galaxy? Kwamba Simba yeye anauhakika wwkuchukua point tu kwa wapinzani?.
Bado unabisha ?
 
Asec mimosa 3 jwaneng galaxy 0

Asec ana point 10 mpaka leo hii.

Kuongoza kundi ni ngumu
 
Asec mimosa 3 jwaneng galaxy 0

Asec ana point 10 mpaka leo hii.

Kuongoza kundi ni ngumu
Hapo ndo mwisho mkuu hatopata point nyingine yoyote, mnyama ataongoza kundi
 
Mbona nilisikia mechi ya mwisho simba anamaliza home?
 
Mbona nilisikia mechi ya mwisho simba anamaliza home?
Ni kweli mkuu nilifanya makosa kwenye uandishi ila mechi ya mwisho simba atamaliza nyumbani na Jwaneng Galaxy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…