Realboynicky
Senior Member
- Mar 31, 2023
- 156
- 296
Wanalipiza kisasi kwa mwenda zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama maji yapo Kwa nini yasitoke? Si mumesema Kila nyumba Ina maji Sasa kelele za nini?Mabomba Chato Magufuli aliweka hadi vijijini. Waliopo sasa ndo wanapuyanga tu maji yanatoka kwa mawenge!
Sikukubaliana na tabia zake za ukatili lakini yule mwamba kwenye kazi hakuwa, na hana mfano hasa kwa nchi hii kama si Afrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
samia ingekuwa kazimkazi angepeleka maji.Mdau mmoja kanipigia simu.
Wiki na ushee sasa Chato maji hayapatikani.
Ziwa lipo karibu kabisa kama km 1 tu.
Mbunge na mkuu wa Wilaya hawana msaada .
Huu ni uzembe mkubwa sana.
Mdau mmoja kanipigia simu.
Wiki na ushee sasa Chato maji hayapatikani.
Ziwa lipo karibu kabisa kama km 1 tu.
Mbunge na mkuu wa Wilaya hawana msaada .
Huu ni uzembe mkubwa sana
Salute mkuu, wapumbavu hawa wanawashwa mno na yanayotokea middle east ,kuliko tatizo la maji salama hapa Unango,LindiNa vita ni wanavichambua kwelikweli! Utafikiri wapo frontline kule Kiev na Donetsk, wanakuchambulia silaha zote, wanajua habari za uongo na za ukweli ni zipi wanajua hadi siri za US na Russia ambazo hata Biden na Putin na watu wao hawajui!. Kwenye mambo ya msingi yanayowagusa moja kwa moja ndo unakutana na matusi matupu! Aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly mkuu, why tuna uhuru na ujuaji mwingi ya nje kuliko ya kwetu wenyewe?,T1 yetu pale Mikumi imejengwa hardly 6mths ago,sasa imeshakua mashimo matupu (ule mlima wa kushukia mikumi ukitokea iringa)Hatutaweza kuendelea
Yani Tanzania hakuna hata kimoja tunafanya kwa ufanisi, na hakuna anayejali. Mwanza iliyo ziwani kukosa maji ni ujinga wa hali ya juu sana. Hii ni nchi ya ajabu sanaSi bora hata hapo chato ni kijijini, mwanza pamoja na kuwa jiji maji yanatoka kwa shida sana, hata siku tatu zinakata maji hakuna! Dar (kinondoni) mchana huu nakinga maji hayatoki sijui ni kote, na joto lote hili nimeamua kupuyanga mitaani bila hata kuoga! Linchi la ajabu sana hili!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chato ishapitwa na wakatiMdau mmoja kanipigia simu.
Wiki na ushee sasa Chato maji hayapatikani.
Ziwa lipo karibu kabisa kama km 1 tu.
Mbunge na mkuu wa Wilaya hawana msaada .
Huu ni uzembe mkubwa sana.
Nchi imejikita kwenye posho zaidi mkuuMdau mmoja kanipigia simu.
Wiki na ushee sasa Chato maji hayapatikani.
Ziwa lipo karibu kabisa kama km 1 tu.
Mbunge na mkuu wa Wilaya hawana msaada .
Huu ni uzembe mkubwa sana.
Tuna viongozi wa hovyoYani Tanzania hakuna hata kimoja tunafanya kwa ufanisi, na hakuna anayejali. Mwanza iliyo ziwani kukosa maji ni ujinga wa hali ya juu sana. Hii ni nchi ya ajabu sana
Eti na wewe ni Jf expert memberKwani mkuu wa wilaya na mbunge ndiyo wenye fungu la huduma ya maji?
Hivi watanzania ni lini akili zenu zitafunguka? Mbunge ni mwakilishi tu wa wananchi ktk Jimbo lake. Na mkuu wa wilaya ni msimamizi tu wa shughuli zinazofanywa ktk wilaya yake.
Huu upumbavu wa kufikiri kazi ya kujenga miundombinu na kutoa huduma ktk Jimbo ni ya mbunge mnautoa wapi??
Bukoba mwanza kigoma dar rudewa hizi sehemu zote maji yanazuiya watu kuvuka lakini wakazi wa maeneo hayo hawana maji ccm hoyeeeMdau mmoja kanipigia simu.
Wiki na ushee sasa Chato maji hayapatikani.
Ziwa lipo karibu kabisa kama km 1 tu.
Mbunge na mkuu wa Wilaya hawana msaada .
Huu ni uzembe mkubwa sana.
Kabla hujajiuliza hilo swali ungejiuliza kwanini hydropower hawatumii ziwa bali wanakinga mto?Hivi hata umeme tunatarajia maji ya mvua yajaze mito wakati ziwa limejaa maji ya kutosha ambayo hayawezinkuisha kwani hakuna jinsi ya kuyatengenezea mfumo ili yatengeneze hydro electric power kutumia ziwa Victoria au lake Tanganyika?
Issue ni maji baridi , unaweza kuyatoa na kutengenezea slopeKabla hujajiuliza hilo swali ungejiuliza kwanini hydropower hawatumii ziwa bali wanakinga mto?
SawaIssue ni maji baridi , unaweza kuyatoa na kutengenezea slope