PANAMA machaguzi ni mawili tu ni akubali Panama Canal irudi chini ya usimamizi wa Marekani au avamiwe, Trump kazi kaanza

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Panama wana machaguzi mawili tu kukubali ama kukataa na kila chaguzi lina matokeo yake hasi ama chanya.




Maoni ya mdau
 
Reactions: K11
Halafu Russia wakichukua Crimea watu wanabana pua, Israel akichukua Judea watu wanabana pua Tanganyika wakiichukua Zanzibar watu wanabana pua moroco wakichukua west sahara watu wana bana pua, iran akichukua kisiwa kile cha UAE watu wanabana pua. Hii dunia ni ubabe ubaben. Ndio maisha
 
Changamoto kila mahali hii dunia haitaki kujitilia huruma
 
Rwanda Akiipiga Congo Kupitia M23 Watu Wanabana Pua
 
China akichukua jimbo lake la Taiwan wanadai ni uvamizi
 
Trump alijibu hawezi jisumbua kuihakikishia usalama Taiwan wanapaswa wao kulipia gharama hiyo
Na leo kaipiga tarriffs canada na mexico kwa 25% na canada wamejibu pia.
Ulaya sijui kairoga. Kwa mambo yalivyo ni bora Ulaya ijiweke karibu na china kuliko Marekani maana hata wao hawajui nini kitawakuta. Ni bora wawahi watafte mbinu mbadala ikiwemo kuanza kutumia mifumo mpya ya malipo maana hakuna picha wataacha ona.
 
China akichukua jimbo lake la Taiwan wanadai ni uvamizi
Na hapo huwezi kusikia UN wanaongea. Ingekuwa nchi nyingine pale aliposema tu kuwa anataka kuinunua Greenland ila pia hajaweka pembeni uvamini wa kijeshi, hii kauli angeitoa China au Russia ulaya na marekani wangepiga kelele mpaka basi.
Korea kusini naye ajipange, na japan pia waanze kuwekeza kwenye silaha na ulinzi.
Ndani ya miaka 5 geopolitics and economy inabadilika kwa kasi ya 5G.
Kuna nchi kibao zitaanza kutafuta allies wengine hasa China maana kwa sasa Marekani si reliable tena.
 
France imesema itawasaidia Denmark kuilinda Greenland dhidi ya U.S incase kikinuka anytime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…