Pancakes

Pancakes

Thanx mamito kwa darsa.

Sasa hapa tunatumia pan ya aina gani? Ya chila au ya chapati za maji?

Ya chila ndio nzuri zaidi....ila kama ya chapati una brush mafuta kdg sana ili zisigande..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ya chila ndio nzuri zaidi....ila kama ya chapati una brush mafuta kdg sana ili zisigande..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Okee. Mi yangu ya chapati iko vizuri. Sema pana sana
 

Attachments

  • 1387548201431.jpg
    1387548201431.jpg
    13.7 KB · Views: 116
Make your pancakes using a wonder egg that has natural food nutrients and multi health benefits - Quail eggs
 
Mahitaji....

1)unga wa ngano kikombe 1
2)baking powder 1teaspoon
3)sukari 2 tablespoon..
4)maziwa kikombe 1
5)yai 2
6)chumvi 1/4 teaspoon
7)siagi iliyoyayushwa 2 tablespoon au vegetable oil...

Namna ya kutaarisha.

1)changanya unga,sukari,chumvi,baking powder na weka pembeni

2)kwenye bakuli jengine weka mayai,maziwa,siagi au vegetable oil....changanya vizuri

3)mimina mchanganyiko wa maziwa katika unga...changanya vizuri hadi kupata uji mzito


4)weka pan yako jikoni moto kiasi....then weka mafuta kidogo sana ili pancakes sizigande..

5)chukua upawa chota mchanganyiko na mimina taratibu kwenye pan acha yenyewe itawanyike...

6)subiria hadi ukiona pancake inatoa mapovu juu then geuza...fanya hivo hadi kumaliza


7)pancake tayari kwa kuliwa....waweza mimina asali juu yake kwa ladha nzuri zaidi...

yumyum...kesho ntaamka nayo hii..
 
Shukraan.....karibu sana..
Ubuyu wa babu issa😱😱😱😱😱😱😱😱😱

A.alaykm, vp wajionaje na hali?
Jana Sunday nimepika pan cakes, kids wamezipenda sana sana. MashAllah.

Mimi pia nimezipenda sana.

To be honest sikuwahi kula, ndio kwanza jana nimekula.

They r so sweet, thanx darling.

Na chickens nuggets na rojo la ukwaju pia wamependa, Two past Sundays nimewapikia. Thank u habibty, jazakallahu lkheir.

Ubuyu wa babu issa wautaka kweli? Una mda gani hujaula?
 
A.alaykm, vp wajionaje na hali?
Jana Sunday nimepika pan cakes, kids wamezipenda sana sana. MashAllah.

Mimi pia nimezipenda sana.

To be honest sikuwahi kula, ndio kwanza jana nimekula.

They r so sweet, thanx darling.

Na chickens nuggets na rojo la ukwaju pia wamependa, Two past Sundays nimewapikia. Thank u habibty, jazakallahu lkheir.

Ubuyu wa babu issa wautaka kweli? Una mda gani hujaula?


U welcome habibty....

Nimeletewa mwingi wote nimekula siku moja hadi meno yameuma😱😱😱😱😱😱😱
 
Msaada kwa wapishi mbalimbali wa cake. Nimeona kwenye tv cake yenye picha ya mtu je hii inatengenezajwe ? Asante.
 
Msaada kwa wapishi mbalimbali wa cake. Nimeona kwenye tv cake yenye picha ya mtu je hii inatengenezajwe ? Asante.

kwanza keki ile hupikwa kawaida ndio hupambwa

Cc mimi49

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Fakhrina asante kwa darasa dada.. Nimejaribu nimeona urahisi sana kuandaa yani muda ni mfupi sana. Ila zilitokea na vijitundu kwa upande wa juu. Chini it was so smooth je nimekosea nini. halafu sikuweka mafuta kabisa ..i want to try it again this weekend ... Ni tamuu
 
Back
Top Bottom