Nionavyo mimi:
1) Naendelea kusikiliza na kusoma wanayosema baadhi ya vijana wa chama cha siasa, aina ya kauli wanazotumia dhidi yao wenyewe, inasikitisha sana.
Hakuna sababu ya kufanya hivyo. Kuna haja ya kufanya "harmonisation" au "coexistence of the two sides".
2) Kwa upande mwingine, ni mawazo yanayoleta fikira mpya. Kwa hiyo, kuna: thesis + antithesis=synthesis.
3) Je, wewe unasemaje?
1) Naendelea kusikiliza na kusoma wanayosema baadhi ya vijana wa chama cha siasa, aina ya kauli wanazotumia dhidi yao wenyewe, inasikitisha sana.
Hakuna sababu ya kufanya hivyo. Kuna haja ya kufanya "harmonisation" au "coexistence of the two sides".
2) Kwa upande mwingine, ni mawazo yanayoleta fikira mpya. Kwa hiyo, kuna: thesis + antithesis=synthesis.
3) Je, wewe unasemaje?