Pande mbili: Yaani Serikali na CHADEMA, vitafakari Kwa makini, athari zitazotokea, iwapo maandamano hayo yaliyoandaliwa na CHADEMA yatafanyika

Kitendo cha cdm kuogopa kuandamana ni kurusu kuendelea kufanyiwa unyama na vyombo vya dola kwa faida ya ccm. No gain without pain. Bila mauaji cdm wasitegemee mabadiliko yoyote.
CDM wakizuiliwa kuandamana kama bado Wana ustaarabu waende mahakamani kupata tafsiri ya Kisheria.

Wasikubali. Wasirudi nyuma! Walete vurugu na wauaji ni wale wenye bunduki!
 
Demokrasi Tanzania inazidi kuzama safari hii kinara wa yote haya ni Mama Samia.
 
Acha uoga wa kishamba , maandamano ni ya amani ,hamna kitakachoharibika ,hiyo nguvu inayotumia kudoubt maandamano ingetumia kuwaponda serikali na vikosi vyao vya mauaji dhidi ya wanachadema .
Chadema wanatimiza haki yao ya kikatiba
 
Hayupo mtanzania mwenye akili timamu anayefurahishwa na kutekwa na kupotea kwa ndugu zetu
Vyombo vya ulinzi na usalama vimetoa tahadhari na kupiga marufuku kufanyika kwa maandamano hayo kwani taarifa za kiintelijensia zinaonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani.
Kupitia katazo na zuio hilo nilitegemea utii wa sheria pasipo kushurutishwa lakni isivyo kawaida bado wanang’ang’ania na kuendelea kuhamasisha maandamano hayo je huon ni dhahiri kua kuna lengo baya mbeleni?
Lakini ikumbukwe uchunguzi mzito unaendelea kufanyika juu ya tukio hilo na kwa taarifa zisizo rasmi inaonekana ni inside job . kuhamasisha maandamano n njia moja wapo ya kutoa wapelelez kwenye focus na kuamsha hisia tofauti
Kwa upeo wangu ingekua ni busara kama report ingetoka ya uchunguzi ndipo waipinge Lakin wanashinikiza vitu vifanyike underpressure .
Tukubaliane kua ni jukumu letu kulinda amani tuliyonayo kwa nguvu zetu zote. Tuendelee kuviamini na kutoa ushirikiano kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…