Pande mbili: Yaani Serikali na CHADEMA, vitafakari Kwa makini, athari zitazotokea, iwapo maandamano hayo yaliyoandaliwa na CHADEMA yatafanyika

Pande mbili: Yaani Serikali na CHADEMA, vitafakari Kwa makini, athari zitazotokea, iwapo maandamano hayo yaliyoandaliwa na CHADEMA yatafanyika

Eh kumbe maandamano yameandaliwa na Chadema, nikajua yameandaliwa na wananchi.

Hakuna maandamano ya kuipinga serikali yanayoanzishwa na chama pinzani yakafanikiwa.
Haswaa ingekuwa ya wananchi hata mm yangenihusu ila ya chadema acha wapigwee tu
 
Kwa hiyo niwasihi wana-CHADEMA nao walizingatie Hilo Kwa umakini mkubwa.
Sijui ulicho andika katika bandiko lako hilo refu; lakini nikiangalia kichwa cha mada na mstari huo wa mwisho naona kama ni mizunguko tu mirefu isiyokuwa na maana yoyote.
Mwenye wajibu ni serikali kuzuia maandamano kwa kuwa wawazi juu ya utekaji na kuuawa watu.
Watoke mbele wawaeleze wananchi kwamba vitendo hivyo siyo vya kiTanzania na kwamba taarifa zote zilizopo kuhusiana na mambo hayo wanawaeleza wananchi waziwazi.
Sasa sijui unawa shauri kitu gani CHADEMA na waTanzania wengine kuhusu ushiriki wa serikali katika kutafuta ufumbuzi wa jambo hili.
 
Turejee kwenye sheria.

Kuadamana na kukusanyika ni haki za msingi kwa kila mtu, hizi ni haki ambazo zimeruuhusiwa kwa mujibu wa sheria za ndani Pamoja na sheria za kimataifa ambazo Tanzania imezisaini.

Miongoni mwa sheria hizo za kimataifa ni:-
Tamko la kimataifa la haki za binadamu la mwaka (1948).

Mkataba wa kiafrika wahaki za binadamu na haki za watu wa mwaka (1981) na

Mkataba wa haki zakisiasa na kiraia wa mwaka (1966)

Kwa mujibu wa sheria za ndani ni Pamoja na
katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania yamwaka (1977) sura ya pili imeeleza wazi kuwa kuandamana ni haki ya msingi ya raia

Chadema wamesema watafanya mandamano ya AMANI na ni haki yao kisheria kama nilivyo eleza hapo mwanzo, jukumu la serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama specifically jeshi la polisi ni kutoa ulinzi kwa wandamanji na kama kuna viashiria vya fujo au uvunjifu wa amani basi wawakamate hao wanaopanga kuleta hizo fujo kwasababu ninamini intelejensia inafanya kazi vizuri

Vinginevyo watoe majibu ya maswali ya Chadema kuhusu kupotea na kuuwawa kwa watu wao, kwa sababu kama serikali ingetoa majibu sambamba na kuwafikisha mahakamani waliohusika na tuhuma izo basi binafsi ninaamini kusingekuwepo hayo maandamano.
Rejea
Katiba yetu ibara ya 20 imetoa haki ya kukusanyika sio tu kwa amani bali mikusanyiko hyo iwe kisheria.
Sheria ya vyama vya siasa ,sheria ya polisi na polisi wasaidizi S43 imeelekeza wazi utaratibu wa kufuata kabla ya kukusanyika kihalali.
Lakini pia kanuni ya adhabu S.74-83 imetoa tafsiri ya mikusanyiko isiyo halali na adhabu zake.
Kama unadhani CDM wanahaki kisheria ya kukusanyika na kuandamana kwa hiyo mihemko ya mitandaoni tukutane hiyo 23 dola itahakikisha mtu amechakaa na kufubaa
 
Hadi sasa inaelekea Kuna mvutano mkubwa Kati ya serikali na CHADEMA, kuhusu maandamano ya amani, yaliyopangwa na CHADEMA tarehe 23 mwezi huu, kama serikali itakuwa haijatoa taarifa yoyote kuhusu kifo Cha kiongozi wao Ali Kibao na haitaeleza walipo viongozi wao wa vijana, akina Deusdedit Soka na wenzake wawili, ifikapo tarehe 21 mwezi huu.

Kwa hali ninayoiona kutokana na hotuba iliyotolewa na Rais Samia, katika sherehe za kuadhimisha miaka 60, tangu Jeshi hilo lianzishwe, dalili ni finyu sana kufikiwa muafaka wa suala Hilo.

Rais Samia alitoa msimamo wa serikali yake kuwa, haiwezi kuelekezwa Cha kufanya na mabalozi wa nchi za nje, viongozi wa vyama vya upinzani hapa nchini na viongozi mbalimbali wa dini, walioiomba serikali, iunde Tume huru ya kuchunguza Kwa visa hivyo vya kutekana na baadhi ya wahanga hao kuuliwa.

Ingawa Kila upande unavutia upande wake, Kwa upande wa serikali, ukionya vikali kuwa maandamano hayo imeyapiga marufuku, wakati chama Cha CHADEMA kikidai kuwa maandamano hayo yapo pale pale, kama yaliyopangwa, Kwa sababu serikali haijatoa majibu Kwa masuala iliyoyauliza.

Ni wazi kuwa kutokana na mtifuano huo mkali, nchi yetu ipo njia panda ya kuelekea Kwenye machafuko ya umwagikaji wa damu, iwapo CHADEMA watatekeleza kuingia Kwenye maandamano hayo kama walivyopanga.

Nianze Kwa upande wa serikali, ni lazima itafakari Kwa makini kuyapiga marufuku maandamano hayo ya amani yaliyoratibiwa na CHADEMA, kuhusu athari itakazozipata iwapo itatekeleza azma yao ya kuyavunja maandamano hayo, hata kama ni Kwa kutumia nguvu.

Kwanza, ni jambo inalosikitisha na linaloonyesha wazi kuwa serikali hii, imepuuza, madai yote ya CHADEMA, Jumuia ya Kimataifa, viongozi wakuu wa dini mbalimbali, pomoja na wanaharakati mbalimbali, waliotaka serikali iunde Tume huru ya uchunguzi, Ili ibainike wahusika wa vitendo hivyo viovu.

Ifahamike pia kuwa Jumuia ya kimataifa itakuwa macho, kuangalia matokeo ya maandamano hayo, Kwa kuwa na wao ni miongoni waliotoa wito Kwa serikali hii Ili iunde Tume huru ya uchunguzi.

Kwa maana hiyo, iwapo maafa yatatokea Kwenye maandamano hayo, watatoa ripoti Kwenye nchi zao na hivyo picha ya nchi yetu kimataifa, itakuwa imeharibika mno na ipo hatari, misaada na mikopo mbalimbali ambayo nchi yetu imekuwa ikipata kutoka Kwenye nchi hizo, itakuwa ndiyo mwisho wa kuipata!

Nije Kwa upande wa CHADEMA, ingawa wao Wana haki zote za kuandaa maandamano hayo ya amani, kutokana na wao kuona kuwa hawatendewi haki na hata Katiba ya nchi yetu inaruhusu kifanyika Kwa maandamano hayo na njia pekee, wanayoona wao iliyosalia ni kufanya maandamano hayo ya amani.

Hata hivyo naomba pia kuwatahafharisha CHADEMA kuwa na wao wanapaswa kutafakari Kwa makini, kama maandamano hayo yafanyike au laa, Kwa kuwa serikali hii imeshatangaza kibabe bila kutumia sheria yoyote ya kuyafuta maandamano hayo, sasa ukizingatia kuwa askari hao watakuja Kwa nia ya kupambana na waandamaji hao, ni dhahiri maafa yanaweza kutokea.

Kwa hiyo niwasihi wana-CHADEMA nao walizingatie Hilo Kwa umakini mkubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Damu ikimwagika ipo mikononi mwa mbowe!
 
..tatizo letu ni kujiaminisha kwamba maandamano ya wapinzani yakifanyika, response ya Polisi lazima itakuwa kuumiza, na kuuwa waandamanaji. Ni sawa na kuaminini kwamba wapinzani wanastahili kuumizwa au kuuwawa na Polisi. Wapinzani wakiumizwa au kuuwawa jamii haipati mshtuko unaostahili pale binadamu anapouwawa.
 
Hadi sasa inaelekea Kuna mvutano mkubwa Kati ya serikali na CHADEMA, kuhusu maandamano ya amani, yaliyopangwa na CHADEMA tarehe 23 mwezi huu, kama serikali itakuwa haijatoa taarifa yoyote kuhusu kifo Cha kiongozi wao Ali Kibao na haitaeleza walipo viongozi wao wa vijana, akina Deusdedit Soka na wenzake wawili, ifikapo tarehe 21 mwezi huu.

Kwa hali ninayoiona kutokana na hotuba iliyotolewa na Rais Samia, katika sherehe za kuadhimisha miaka 60, tangu Jeshi hilo lianzishwe, dalili ni finyu sana kufikiwa muafaka wa suala Hilo.

Rais Samia alitoa msimamo wa serikali yake kuwa, haiwezi kuelekezwa Cha kufanya na mabalozi wa nchi za nje, viongozi wa vyama vya upinzani hapa nchini na viongozi mbalimbali wa dini, walioiomba serikali, iunde Tume huru ya kuchunguza Kwa visa hivyo vya kutekana na baadhi ya wahanga hao kuuliwa.

Ingawa Kila upande unavutia upande wake, Kwa upande wa serikali, ukionya vikali kuwa maandamano hayo imeyapiga marufuku, wakati chama Cha CHADEMA kikidai kuwa maandamano hayo yapo pale pale, kama yaliyopangwa, Kwa sababu serikali haijatoa majibu Kwa masuala iliyoyauliza.

Ni wazi kuwa kutokana na mtifuano huo mkali, nchi yetu ipo njia panda ya kuelekea Kwenye machafuko ya umwagikaji wa damu, iwapo CHADEMA watatekeleza kuingia Kwenye maandamano hayo kama walivyopanga.

Nianze Kwa upande wa serikali, ni lazima itafakari Kwa makini kuyapiga marufuku maandamano hayo ya amani yaliyoratibiwa na CHADEMA, kuhusu athari itakazozipata iwapo itatekeleza azma yao ya kuyavunja maandamano hayo, hata kama ni Kwa kutumia nguvu.

Kwanza, ni jambo inalosikitisha na linaloonyesha wazi kuwa serikali hii, imepuuza, madai yote ya CHADEMA, Jumuia ya Kimataifa, viongozi wakuu wa dini mbalimbali, pomoja na wanaharakati mbalimbali, waliotaka serikali iunde Tume huru ya uchunguzi, Ili ibainike wahusika wa vitendo hivyo viovu.

Ifahamike pia kuwa Jumuia ya kimataifa itakuwa macho, kuangalia matokeo ya maandamano hayo, Kwa kuwa na wao ni miongoni waliotoa wito Kwa serikali hii Ili iunde Tume huru ya uchunguzi.

Kwa maana hiyo, iwapo maafa yatatokea Kwenye maandamano hayo, watatoa ripoti Kwenye nchi zao na hivyo picha ya nchi yetu kimataifa, itakuwa imeharibika mno na ipo hatari, misaada na mikopo mbalimbali ambayo nchi yetu imekuwa ikipata kutoka Kwenye nchi hizo, itakuwa ndiyo mwisho wa kuipata!

Nije Kwa upande wa CHADEMA, ingawa wao Wana haki zote za kuandaa maandamano hayo ya amani, kutokana na wao kuona kuwa hawatendewi haki na hata Katiba ya nchi yetu inaruhusu kifanyika Kwa maandamano hayo na njia pekee, wanayoona wao iliyosalia ni kufanya maandamano hayo ya amani.

Hata hivyo naomba pia kuwatahafharisha CHADEMA kuwa na wao wanapaswa kutafakari Kwa makini, kama maandamano hayo yafanyike au laa, Kwa kuwa serikali hii imeshatangaza kibabe bila kutumia sheria yoyote ya kuyafuta maandamano hayo, sasa ukizingatia kuwa askari hao watakuja Kwa nia ya kupambana na waandamaji hao, ni dhahiri maafa yanaweza kutokea.

Kwa hiyo niwasihi wana-CHADEMA nao walizingatie Hilo Kwa umakini mkubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Positive and negative impact
 
Hadi sasa inaelekea Kuna mvutano mkubwa Kati ya serikali na CHADEMA, kuhusu maandamano ya amani, yaliyopangwa na CHADEMA tarehe 23 mwezi huu, kama serikali itakuwa haijatoa taarifa yoyote kuhusu kifo Cha kiongozi wao Ali Kibao na haitaeleza walipo viongozi wao wa vijana, akina Deusdedit Soka na wenzake wawili, ifikapo tarehe 21 mwezi huu.

Kwa hali ninayoiona kutokana na hotuba iliyotolewa na Rais Samia, katika sherehe za kuadhimisha miaka 60, tangu Jeshi hilo lianzishwe, dalili ni finyu sana kufikiwa muafaka wa suala Hilo.

Rais Samia alitoa msimamo wa serikali yake kuwa, haiwezi kuelekezwa Cha kufanya na mabalozi wa nchi za nje, viongozi wa vyama vya upinzani hapa nchini na viongozi mbalimbali wa dini, walioiomba serikali, iunde Tume huru ya kuchunguza Kwa visa hivyo vya kutekana na baadhi ya wahanga hao kuuliwa.

Ingawa Kila upande unavutia upande wake, Kwa upande wa serikali, ukionya vikali kuwa maandamano hayo imeyapiga marufuku, wakati chama Cha CHADEMA kikidai kuwa maandamano hayo yapo pale pale, kama yaliyopangwa, Kwa sababu serikali haijatoa majibu Kwa masuala iliyoyauliza.

Ni wazi kuwa kutokana na mtifuano huo mkali, nchi yetu ipo njia panda ya kuelekea Kwenye machafuko ya umwagikaji wa damu, iwapo CHADEMA watatekeleza kuingia Kwenye maandamano hayo kama walivyopanga.

Nianze Kwa upande wa serikali, ni lazima itafakari Kwa makini kuyapiga marufuku maandamano hayo ya amani yaliyoratibiwa na CHADEMA, kuhusu athari itakazozipata iwapo itatekeleza azma yao ya kuyavunja maandamano hayo, hata kama ni Kwa kutumia nguvu.

Kwanza, ni jambo inalosikitisha na linaloonyesha wazi kuwa serikali hii, imepuuza, madai yote ya CHADEMA, Jumuia ya Kimataifa, viongozi wakuu wa dini mbalimbali, pomoja na wanaharakati mbalimbali, waliotaka serikali iunde Tume huru ya uchunguzi, Ili ibainike wahusika wa vitendo hivyo viovu.

Ifahamike pia kuwa Jumuia ya kimataifa itakuwa macho, kuangalia matokeo ya maandamano hayo, Kwa kuwa na wao ni miongoni waliotoa wito Kwa serikali hii Ili iunde Tume huru ya uchunguzi.

Kwa maana hiyo, iwapo maafa yatatokea Kwenye maandamano hayo, watatoa ripoti Kwenye nchi zao na hivyo picha ya nchi yetu kimataifa, itakuwa imeharibika mno na ipo hatari, misaada na mikopo mbalimbali ambayo nchi yetu imekuwa ikipata kutoka Kwenye nchi hizo, itakuwa ndiyo mwisho wa kuipata!

Nije Kwa upande wa CHADEMA, ingawa wao Wana haki zote za kuandaa maandamano hayo ya amani, kutokana na wao kuona kuwa hawatendewi haki na hata Katiba ya nchi yetu inaruhusu kifanyika Kwa maandamano hayo na njia pekee, wanayoona wao iliyosalia ni kufanya maandamano hayo ya amani.

Hata hivyo naomba pia kuwatahafharisha CHADEMA kuwa na wao wanapaswa kutafakari Kwa makini, kama maandamano hayo yafanyike au laa, Kwa kuwa serikali hii imeshatangaza kibabe bila kutumia sheria yoyote ya kuyafuta maandamano hayo, sasa ukizingatia kuwa askari hao watakuja Kwa nia ya kupambana na waandamaji hao, ni dhahiri maafa yanaweza kutokea.

Kwa hiyo niwasihi wana-CHADEMA nao walizingatie Hilo Kwa umakini mkubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Kipindi hiki kinachoendea uchaguzi huwa ni kipindi kigumu sana kwa vyama vya upinzani vyenye nguvu. Mimi niwashauri CDM, mda huu watapata Maumivu mengi na hasara kubwa sana kama watajiingiza kwenye Maandamano au mvutano na POLISI. Hivi Sasa humu nchini kuna vyama vikuu viwili tu vya siasa ambaavyo vinagombana ni CDM na Dola, CCM kimekaa pembeni kimya kikisubiri mda tu wakukabidhiwa ushindi wao wa Mezani. Mimi nishauri CDM wasitumie nguvu nyingi mda huu kwani chama wanacho shindana nacho ambacho ni Dola kina silaa wao bado hawana hata fimbo wataumia, Chakufanya wawe wapole waendelee kuhamasisha wananchi waendelee kujiandikisha wakichokozwa wasijibu mapigo nguvu zote wazielekeze kwenye uchaguzi. Wajitahidi kuwalinda wanachama wao na watia nia wao wauchaguzi waserilkali za mtaa. Uchaguzi hautakuwa Raisi kwani mgimbea mwenzao anabunduki wajiandae kisaikolojia vhochote kinaweza tokea kama Rais alivyo waambia Jeshi la wananchi. Wakiona Mbungi nzito waachie wananchi waamue wenyewe. Wasihamasishe chochote, kwani hii nchi ikipasuka hakuna mtu atakuwa salama.
 
Rejea
Katiba yetu ibara ya 20 imetoa haki ya kukusanyika sio tu kwa amani bali mikusanyiko hyo iwe kisheria.
Sheria ya vyama vya siasa ,sheria ya polisi na polisi wasaidizi S43 imeelekeza wazi utaratibu wa kufuata kabla ya kukusanyika kihalali.
Lakini pia kanuni ya adhabu S.74-83 imetoa tafsiri ya mikusanyiko isiyo halali na adhabu zake.
Kama unadhani CDM wanahaki kisheria ya kukusanyika na kuandamana kwa hiyo mihemko ya mitandaoni tukutane hiyo 23 dola itahakikisha mtu amechakaa na kufubaa
Umesema katiba yetu imetoa haki ya makusanyiko/maandamano ya amani.

Kwamba utaratibu unapaswa kufuatwa (utaratibu unaoelekezwa na katiba ni pamoja na kutoa taarifa/zingatia neno kutoa taarifa juu ya uwepo wa maandamano)

je, unawezaje kusema chadema hawana haki ya kufanya maandamano yao ikiwa sheria inawaruhusu kufanya hivyo ?

unavyosema “dola itaacha mtu kachaka na kufubaa,,. je, kazi ya dola ni kulinda usalama wa raia na mali zao pindi maandamano yanapo fanyika au kazi yao ni kuchakaza waandamanaji walio jitanabaisha kupaza sauti zao kwa amani?

Au wewe ni kada unaefurahishwa na maovu yanayoendelea ikiwepo kutekwa na kuuwawa kwa watanzania wenzetu?
 
Hivi unaongea openly, kuwa Mbowe naye mtampoteza!

Nyinyi mkiongea, mnaona sawa, Ila Chadema wakitaka kufanya maandamano ya amani, kutaka kujua watu wao waliotekwa wako wapi, ndiyo mnatoa mkwara wa aina hiyo kuwa hata huyo Mbowe naye mtamteka!😭

Hakika tunatawaliwa ni watu ambao wanafurahia kumwaga damu ya raia wasio na hatia
Kuna vijana wajinga sana wanatumika kutisha na kutukana humu bila hata hoja
 
Hadi sasa inaelekea Kuna mvutano mkubwa Kati ya serikali na CHADEMA, kuhusu maandamano ya amani, yaliyopangwa na CHADEMA tarehe 23 mwezi huu, kama serikali itakuwa haijatoa taarifa yoyote kuhusu kifo Cha kiongozi wao Ali Kibao na haitaeleza walipo viongozi wao wa vijana, akina Deusdedit Soka na wenzake wawili, ifikapo tarehe 21 mwezi huu.

Kwa hali ninayoiona kutokana na hotuba iliyotolewa na Rais Samia, katika sherehe za kuadhimisha miaka 60, tangu Jeshi hilo lianzishwe, dalili ni finyu sana kufikiwa muafaka wa suala Hilo.

Rais Samia alitoa msimamo wa serikali yake kuwa, haiwezi kuelekezwa Cha kufanya na mabalozi wa nchi za nje, viongozi wa vyama vya upinzani hapa nchini na viongozi mbalimbali wa dini, walioiomba serikali, iunde Tume huru ya kuchunguza Kwa visa hivyo vya kutekana na baadhi ya wahanga hao kuuliwa.

Ingawa Kila upande unavutia upande wake, Kwa upande wa serikali, ukionya vikali kuwa maandamano hayo imeyapiga marufuku, wakati chama Cha CHADEMA kikidai kuwa maandamano hayo yapo pale pale, kama yaliyopangwa, Kwa sababu serikali haijatoa majibu Kwa masuala iliyoyauliza.

Ni wazi kuwa kutokana na mtifuano huo mkali, nchi yetu ipo njia panda ya kuelekea Kwenye machafuko ya umwagikaji wa damu, iwapo CHADEMA watatekeleza kuingia Kwenye maandamano hayo kama walivyopanga.

Nianze Kwa upande wa serikali, ni lazima itafakari Kwa makini kuyapiga marufuku maandamano hayo ya amani yaliyoratibiwa na CHADEMA, kuhusu athari itakazozipata iwapo itatekeleza azma yao ya kuyavunja maandamano hayo, hata kama ni Kwa kutumia nguvu.

Kwanza, ni jambo inalosikitisha na linaloonyesha wazi kuwa serikali hii, imepuuza, madai yote ya CHADEMA, Jumuia ya Kimataifa, viongozi wakuu wa dini mbalimbali, pomoja na wanaharakati mbalimbali, waliotaka serikali iunde Tume huru ya uchunguzi, Ili ibainike wahusika wa vitendo hivyo viovu.

Ifahamike pia kuwa Jumuia ya kimataifa itakuwa macho, kuangalia matokeo ya maandamano hayo, Kwa kuwa na wao ni miongoni waliotoa wito Kwa serikali hii Ili iunde Tume huru ya uchunguzi.

Kwa maana hiyo, iwapo maafa yatatokea Kwenye maandamano hayo, watatoa ripoti Kwenye nchi zao na hivyo picha ya nchi yetu kimataifa, itakuwa imeharibika mno na ipo hatari, misaada na mikopo mbalimbali ambayo nchi yetu imekuwa ikipata kutoka Kwenye nchi hizo, itakuwa ndiyo mwisho wa kuipata!

Nije Kwa upande wa CHADEMA, ingawa wao Wana haki zote za kuandaa maandamano hayo ya amani, kutokana na wao kuona kuwa hawatendewi haki na hata Katiba ya nchi yetu inaruhusu kifanyika Kwa maandamano hayo na njia pekee, wanayoona wao iliyosalia ni kufanya maandamano hayo ya amani.

Hata hivyo naomba pia kuwatahafharisha CHADEMA kuwa na wao wanapaswa kutafakari Kwa makini, kama maandamano hayo yafanyike au laa, Kwa kuwa serikali hii imeshatangaza kibabe bila kutumia sheria yoyote ya kuyafuta maandamano hayo, sasa ukizingatia kuwa askari hao watakuja Kwa nia ya kupambana na waandamaji hao, ni dhahiri maafa yanaweza kutokea.

Kwa hiyo niwasihi wana-CHADEMA nao walizingatie Hilo Kwa umakini mkubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Kwani polisi wakiwalinda waandamanaji wakaandamana kwa amani kuna shida gani?
 
Turejee kwenye sheria.

Kuadamana na kukusanyika ni haki za msingi kwa kila mtu, hizi ni haki ambazo zimeruuhusiwa kwa mujibu wa sheria za ndani Pamoja na sheria za kimataifa ambazo Tanzania imezisaini.

Miongoni mwa sheria hizo za kimataifa ni:-
Tamko la kimataifa la haki za binadamu la mwaka (1948).

Mkataba wa kiafrika wahaki za binadamu na haki za watu wa mwaka (1981) na

Mkataba wa haki zakisiasa na kiraia wa mwaka (1966)

Kwa mujibu wa sheria za ndani ni Pamoja na
katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania yamwaka (1977) sura ya pili imeeleza wazi kuwa kuandamana ni haki ya msingi ya raia

Chadema wamesema watafanya mandamano ya AMANI na ni haki yao kisheria kama nilivyo eleza hapo mwanzo, jukumu la serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama specifically jeshi la polisi ni kutoa ulinzi kwa wandamanji na kama kuna viashiria vya fujo au uvunjifu wa amani basi wawakamate hao wanaopanga kuleta hizo fujo kwasababu ninamini intelejensia inafanya kazi vizuri

Vinginevyo watoe majibu ya maswali ya Chadema kuhusu kupotea na kuuwawa kwa watu wao, kwa sababu kama serikali ingetoa majibu sambamba na kuwafikisha mahakamani waliohusika na tuhuma izo basi binafsi ninaamini kusingekuwepo hayo maandamano.
Watu wanaandamana bila silaha yoyote wala fujo yoyote na ni kwa mujibu wa Sheria na Katiba kuna tatizo gani hapo ndugu zangu. Au basi walioshindwa kuzuia mauaji ya wananchi wajiuzulu kama uungwana wa kujutia hali iliyotokea hapo napo kuna shida gani ndugu zangu. Mungu mbarike Rais wetu na Mungu ibariki Tanzania.
 
..Chadema wamesisitiza maandamano ni ya amani.

..Kama Polisi wana taarifa za mtu / kikundi kinachotaka kufanya vurugu basi wawakamate hao, na sio kuzuia maandamano yote.
Maandamano ni halali kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Rejea Ibara ya 20 ya Katiba ya mwaka 1977. Rejea pia kifungu cha 11 (4) na (5) cha sheria ya vyama vya siasa.
Kimsingi watu wana haki ya kukusanyika pamoja, kutoa maoni na kuandamana.

Huo ndo msingi wa Sheria na utawala Bora kwenye Katiba na Sheria zetu!
Haya masuala ya Malkia au machawa kutaka matakwa yao ndo yawe Sheria ni kinyume kabisa na misingi iliyopo!

Polisi wao wajibu wao ni kupokea Taarifa ya mikusanyiko au maandamano kutoka kwa waratibu kisha watoe sababu zenye mantiki kuridhia ama kukataa. Uamuzi ambao pia unaweza kupingwa mahakamani!

Kupiga marufuku maandamano kwa sababu zozote za kumlinda Malkia na machawa wake ni kukandamiza haki za raia!

Kama bibi yake Lucas Mwashambwa na jingalao wanaupiga mwingi kwanini polisi watumike kupiga marufuku maandamano ya amani?

Mtayapiga marufuku Hadi lini? Au mnataka wasiwe wanawapa taarifa yenye kusudio la kuandamana?
 
Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
 
Hadi sasa inaelekea Kuna mvutano mkubwa Kati ya serikali na CHADEMA, kuhusu maandamano ya amani, yaliyopangwa na CHADEMA tarehe 23 mwezi huu, kama serikali itakuwa haijatoa taarifa yoyote kuhusu kifo Cha kiongozi wao Ali Kibao na haitaeleza walipo viongozi wao wa vijana, akina Deusdedit Soka na wenzake wawili, ifikapo tarehe 21 mwezi huu.

Kwa hali ninayoiona kutokana na hotuba iliyotolewa na Rais Samia, katika sherehe za kuadhimisha miaka 60, tangu Jeshi hilo lianzishwe, dalili ni finyu sana kufikiwa muafaka wa suala Hilo.

Rais Samia alitoa msimamo wa serikali yake kuwa, haiwezi kuelekezwa Cha kufanya na mabalozi wa nchi za nje, viongozi wa vyama vya upinzani hapa nchini na viongozi mbalimbali wa dini, walioiomba serikali, iunde Tume huru ya kuchunguza Kwa visa hivyo vya kutekana na baadhi ya wahanga hao kuuliwa.

Ingawa Kila upande unavutia upande wake, Kwa upande wa serikali, ukionya vikali kuwa maandamano hayo imeyapiga marufuku, wakati chama Cha CHADEMA kikidai kuwa maandamano hayo yapo pale pale, kama yaliyopangwa, Kwa sababu serikali haijatoa majibu Kwa masuala iliyoyauliza.

Ni wazi kuwa kutokana na mtifuano huo mkali, nchi yetu ipo njia panda ya kuelekea Kwenye machafuko ya umwagikaji wa damu, iwapo CHADEMA watatekeleza kuingia Kwenye maandamano hayo kama walivyopanga.

Nianze Kwa upande wa serikali, ni lazima itafakari Kwa makini kuyapiga marufuku maandamano hayo ya amani yaliyoratibiwa na CHADEMA, kuhusu athari itakazozipata iwapo itatekeleza azma yao ya kuyavunja maandamano hayo, hata kama ni Kwa kutumia nguvu.

Kwanza, ni jambo inalosikitisha na linaloonyesha wazi kuwa serikali hii, imepuuza, madai yote ya CHADEMA, Jumuia ya Kimataifa, viongozi wakuu wa dini mbalimbali, pomoja na wanaharakati mbalimbali, waliotaka serikali iunde Tume huru ya uchunguzi, Ili ibainike wahusika wa vitendo hivyo viovu.

Ifahamike pia kuwa Jumuia ya kimataifa itakuwa macho, kuangalia matokeo ya maandamano hayo, Kwa kuwa na wao ni miongoni waliotoa wito Kwa serikali hii Ili iunde Tume huru ya uchunguzi.

Kwa maana hiyo, iwapo maafa yatatokea Kwenye maandamano hayo, watatoa ripoti Kwenye nchi zao na hivyo picha ya nchi yetu kimataifa, itakuwa imeharibika mno na ipo hatari, misaada na mikopo mbalimbali ambayo nchi yetu imekuwa ikipata kutoka Kwenye nchi hizo, itakuwa ndiyo mwisho wa kuipata!

Nije Kwa upande wa CHADEMA, ingawa wao Wana haki zote za kuandaa maandamano hayo ya amani, kutokana na wao kuona kuwa hawatendewi haki na hata Katiba ya nchi yetu inaruhusu kifanyika Kwa maandamano hayo na njia pekee, wanayoona wao iliyosalia ni kufanya maandamano hayo ya amani.

Hata hivyo naomba pia kuwatahafharisha CHADEMA kuwa na wao wanapaswa kutafakari Kwa makini, kama maandamano hayo yafanyike au laa, Kwa kuwa serikali hii imeshatangaza kibabe bila kutumia sheria yoyote ya kuyafuta maandamano hayo, sasa ukizingatia kuwa askari hao watakuja Kwa nia ya kupambana na waandamaji hao, ni dhahiri maafa yanaweza kutokea.

Kwa hiyo niwasihi wana-CHADEMA nao walizingatie Hilo Kwa umakini mkubwa.

Mungu ibariki Tanzania
Kitendo cha cdm kuogopa kuandamana ni kurusu kuendelea kufanyiwa unyama na vyombo vya dola kwa faida ya ccm. No gain without pain. Bila mauaji cdm wasitegemee mabadiliko yoyote.
 
Watu wanaandamana bila silaha yoyote wala fujo yoyote na ni kwa mujibu wa Sheria na Katiba kuna tatizo gani hapo ndugu zangu. Au basi walioshindwa kuzuia mauaji ya wananchi wajiuzulu kama uungwana wa kujutia hali iliyotokea hapo napo kuna shida gani ndugu zangu. Mungu mbarike Rais wetu na Mungu ibariki Tanzania.
Hayo maandamano wanataka wafanye wao tu... yaani ni ruksa wao waandamane nchi nzima kumpongeza Malkia chura kiziwi. Na si vinginevyo!

Ila Wewe subiri.... Siku zaja ambapo maandamano ya kuwapinga yataibuka ghafla kila pembe ya nchi!

It is just a matter of time. Tanzania si kisiwa!
 
Back
Top Bottom