Pandu Kificho: Spika mwenye hekima iliyopindukia...

Elimu ya darasani ni nyenzo ya mzungu tu kuendesha mambo haina uhusiano na akili kichwani, hekima na busara
 
Prove it. Kwani yeye si wa CCM?

Sasa wewe kwani kuwa ccm ni nini? Mbona wapo ndani ya ccm wanachama wenye kujali maslahi ya nchi, ya chama yanafuata. Siyo wote wana akili kama Mwigulu na Kificho ni mmoja wao! Learn to think and analyse issues independently, comrade!
 
Kwa vigezo gani na kwa muda gani. Unawezaje kumpima mtu kwa siku na wala sio mwezi ukilinganisha na Spika Pius Msekwa miaka 10, Sita miaka mitano, Mkinda miaka 31/2

A bright day is signalled by early morning prompts! Hekima haitetereki ukianza nayo na huyu, hata hivyo, ni Speaker wa baraza la wawakilishi kwa miaka mingi tu na hatujawahi kusikia akifanya madudu yanayofanywa na ma- Speaker ya ccm huku Tanganyika. The Tanganyikan Speakers should now learn how to run the august house from Kificho
 
huko chuo kikuu alipataje?
Uliza kwanza Matokeo ya Form six ya Mwenyekiti na Katibu wako ilikuaje wakashindwa kwenda Chuo Kikuu mpaka Katibu akapitia kwenye Certificate na Mwenyekiti mpaka leo yupo yupo hata ku reset kaogopa.
 
dah! Umemaliza?
 
Sio yeye tu katiba bunge hili wazanzibar walio wengi wanajenga hoja kwa busara, hata ukiwasikiliza ni watu wenye busara ukiachia mtu kama Jussa.
 
Sio yeye tu, ukiwaangalia wazanzibar wengi kwenye hili bunge ni watu wanaojenga hoja kwa umakini na ni wajumbe wanaotumia busara sana. Ukweli huu lazima sisi wabara tuukubali.
 
Kutokusikia si kigezo pekee cha ubora, usiposikia kuwa kuna mto misispi hakuwezi kuufuta huo mto kwenye ramani, madudu ya maspika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania haiwezi pia kuwa ngazi a kupandia spika Pandu wa Baraza la wawakilishi
 
kidogo nikueke sawa mkuu, Zanzibar kurekebisha katiba yao, walijua dhahiri kwamb wanavunja katiba ya Jamhuri ya Muungano, bali cha muhimu kwao ni kuinusuru Zanzibar yao, maana Watanganyika walishamezeshwa kwamb Zanzibar sio nchi etiiii!!!
na kama hicho ndio kipimo cha uwezo wa utendaji wa Spika na chombo chake, basi nadhani Bunge la Jamhuri, ndio linaongoza kwa vilaza na mambulula, maana wao ndio kila siku hivunja MKATABA HALISI wa muungano wetu ambao umo ndani ya katiba ya Muungano, pale wanapotunga sheria na kuishurutisha Zanzibar hata kama sio jambo la Muungano, lakin pia kiini macho cha kuongeza mambo ya Muungano kutoka yale ya awali,
Je hapo Spika na wajumbe wake huwa hawajui kama wanavunja Katiba na kukiuka makubaliano ya mkataba wa Muungano?
 
nshakwambia akili yako ni fupi sana kama ya nguruwe.... sio kila mtu ni CDM au CCM. msukule wwewe
Uliza kwanza Matokeo ya Form six ya Mwenyekiti na Katibu wako ilikuaje wakashindwa kwenda Chuo Kikuu mpaka Katibu akapitia kwenye Certificate na Mwenyekiti mpaka leo yupo yupo hata ku reset kaogopa.
 
nshakwambia akili yako ni fupi sana kama ya nguruwe.... sio kila mtu ni CDM au CCM. msukule wwewe

Wapi nimetaja Chadema au CCM? kama huna uvumilivu wa kutokutumia matusi, acha kuchangia hili jukwaa, kama hutaki kukosolewa usichangie. Mie sijawhi kufanya utafiti kujua urefu wa akili za wanyama, ila inaonesha una uhaba wa ustaarabu.
 
 
you explain it well! always booksmart overcomfident thereself and cause underperformance,but the "house/parliament need enough wisdom and intelligence"

we still have some bastards who die hard for public schools and their mother----en certification, they dont know the power of gheto, streets and homeschooling.
 

Haya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…