Panga la wachezaji Simba linanukia mwishoni mwa msimu huu, kuna majina makubwa

Panga la wachezaji Simba linanukia mwishoni mwa msimu huu, kuna majina makubwa

Wachezaji wakuachwa kwa mtazamo wangu ni
1:chriss Mugalu
2😛ascal wawa
3:Onyango
5:Bwalha
Hao ni wachezaji wa kigeni,wachezaji wa ndani wakuachwa ni
1:Erasto Nyoni
2:Muhilu
3:Gadiel
Kagere nadhani atapewa mkataba wa msimu mmoja tu unatosha na tumuage kwa upendo kabisa maana yeye ndio mshambuliaji wa kigeni mwenye goli nyingi hadi sasa kuliko mshambuliaji yeyote aliyewahi kucheza kwenye ligi yetu,mnyonge mnyongeni ila haki yake tumpe,kibu bado ni mapema sana kusema ameshindwa kudeliver kile ambacho tunatarajia wanasimba,bado umri unaruhusu chochote kinaweza kutokea,Israel mwenda kashindwa kabisa kuvaa viatu vya kapombe bado ataendelea kuwepo simba ila tutamtoa kwa mkopo timu yeyote kasoro Utopolo fc itayokuwa inamuhitaji,John bocco bado ataendelea kubaki simba maana kilichomkuta bocco ni sawa na kilichomkuta Dube nina imani mambo yatakuwa sawa [emoji1488]
Hapo kwa Israel Mwenda, wamrudishe DUCHU anayekipiga Geita Gold FC kwa mkopo tafadhali!
 
Hapo kwa Israel Mwenda, wamrudishe DUCHU anayekipiga Geita Gold FC kwa mkopo tafadhali!
Kuna mada niliandika kwamba sioni kama Israel Patrick anamzidi chochote David Kameta Duchu..!

Duchu ana uwezo mkubwa kuliko Israel.
 
Watu wanaosema Bwalya aachwe nashindwa kuwaelewa kabisa, sijaona kiungo kama Bwalya kwenye ligi yetu sema anacheza na wachezaji wabovu ila jamaa ni mkali
Mkuu Bwalya amaeshatwaliwa mda.
So wanaweka mazingira ya kusema walikuwa hawamtaki
 
Back
Top Bottom