Tetesi: Pangua pangua serikalini yaja, JIANDAENI Kisaikolojia

Tetesi: Pangua pangua serikalini yaja, JIANDAENI Kisaikolojia

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mambo yanaenda hayaendi.

Wapo watu kasi imewashinda, tathimini imekamilika na kinachofuata ni kauli ya tupishe wenye kasi zaidi wakalie viti.

Tunategemea panguapangua siku si nyingi kutoka juu hadi chini, tukumbuke tatizo la Afrika ni watu na si rasilimali.

Najua wapo wazembe ila wengi Wana uzoefu, wapo wenye uwezo lakini nafsi zetu wateuaji haziwataki.....ajira post Ni chache. Tusubirie Tuone utumbuaji utapeleka Nani
 
Hakuna kasi yoyote ile zaidi ya ushahidi kila kona kwamba hii Serikali haramu imeshindwa kazi na hawana jipya zaidi ya uongo uongo tu na kujibaraguza. Ndiyo ni Serikali haramu kwa sababu Watanzania hatukuipa ridhaa zetu bali WALIPORA ushindi.
 
Hakuna kasi yoyote ile zaidi ya ushahidi kila kona kwamba hii Serikali haramu imeshindwa kazi na hawana jipya zaidi ya uongo uongo tu na kujibaraguza. Ndiyo ni Serikali haramu kwa sababu Watanzania hatukuipa ridhaa zetu bali WALIPORA ushindi.

Kabisa, hii serikali ilikuwa inaburuza (vuta) watu kwa namna isiyo sahihi kwenda kufeli kiuchumi,kijamii na kisiasa.

Kwao wanaLumumba hawaoni ubovu wa uongozi wa serikali ya CCM Mpya uliokwamisha nchi na sasa kuna kundi la watu wameamua kuipamba kuwa kuna watu walioshindwa kwenda na kasi ya gari hili bovu lilokwama ambalo halitembea.

CCM hii 2015 -2025 imeua uchumi, imeua shughuli za kisiasa siyo tu ktk upande wa vyama vingi tu, bali hata ndani ya CCM yenyewe imeshindwa kuikosoa serikali yake ili "ijisahihishe" na pia CCM Mpya imeua mshikamano wa waTanzania kijamii huku wananchi wote bila kujali vyama tukisubiri 2025 ifike CCM Mpya waondoke tuanze upya kujenga misingi sahihi iliyokuwepo ambayo imevunjwa na kundi hili linalojiita CCM Mpya.
 
Mambo yanaenda hayaendi.
Wapo watu kasi imewashinda, tathimini imekamilika na kinachofuata Ni kauli ya tupishe wenye kasi zaidi wakalie viti.

Tunategemea panguapangua siku si nyingi kutoka juu hadi chini, tukumbuke tatizo la Africa ni watu na si rasilimali.

Najua wapo wazembe ila wengi Wana uzoefu,wapo wenye uwezo lakini nafsi zetu wateuaji haziwataki.....ajira post Ni chache. Tusubirie Toene utumbuaji utapeleka Nani

Mithali 28:16​

Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana

SRUV: Swahili Revised Union Version
 
Kabisa Mkuu wakati uchumi unazidi kuanguka na maisha yakizidi kuwa magumu.

Hii serikali ya Jiwe ni sawa na baba mlevi anayetumia mshahara wake wote kulewa huku familia yake inakufa na njaa; juu ya hayo baada ya kufuja mshahara wake anakwenda kukopa hivyo kulimbikiza madeni!!! Wataalam wanamuita baba wa namna hiyo kuwa hana FINANCIAL ITERGRITY!!! Kama nchi vile vile Tanzania haina FINANCIAL INTERGRITY kama inavyoonekana katika mapato na matumizi ya serikali pamoja na ukuaji wa DENI LA TAIFA!!! Yote haya yanachangia mateso ya umasikini unaowakumba wananchi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Panguaneni tu sijui mnapangua nini yani kijani kwenda kijani sasa hapo mmepangua?
 
Uko sawa kabisa Mkuu na uchumi wa Nchi utazidi kutetereka zaidi sioni ahueni ndani ya miaka mitatu au minne ijayo. Maisha yatazidi kuwa magumu sana au watamlazimisha ajiuzulu au atajibaraguza kwamba anaunga mkono kuwepo kwa katiba mpya na tume huru hivyo kabla hajaondoka angalau ajitengenezee sifa ambazo hana.
Hii serikali ya Jiwe ni sawa na baba mlevi anayetumia mshahara wake wote kulewa huku familia yake inakufa na njaa; juu ya hayo baada ya kufuja mshahara wake anakwenda kukopa hivyo kulimbikiza madeni!!! Wataalam wanamuita baba wa namna hiyo kuwa hana FINANCIAL ITERGRITY!!! Kama nchi vile vile Tanzania haina FINANCIAL INTERGRITY kama inavyoonekana katika mapato na matumizi ya serikali na jinsi watu wake wanavyoteseka na umaskini!!!
 
Hii serikali ya Jiwe ni sawa na baba mlevi anayetumia mshahara wake wote kulewa huku familia yake inakufa na njaa; juu ya hayo baada ya kufuja mshahara wake anakwenda kukopa hivyo kulimbikiza madeni!!! Wataalam wanamuita baba wa namna hiyo kuwa hana FINANCIAL ITERGRITY!!! Kama nchi vile vile Tanzania haina FINANCIAL INTERGRITY kama inavyoonekana katika mapato na matumizi ya serikali pamoja na ukuaji wa DENI LA TAIFA!!! Yote haya yanachangia mateso ya umasikini unaowakumba wananchi.
Issue ya kununua ndege kwa cash, bila budget, bila open tender, bila ukaguzi wa mahesabu, watu watakuwa wamepigwa parefu hapo.
 
Mambo yanaenda hayaendi.
Wapo watu kasi imewashinda, tathimini imekamilika na kinachofuata Ni kauli ya tupishe wenye kasi zaidi wakalie viti.

Tunategemea panguapangua siku si nyingi kutoka juu hadi chini, tukumbuke tatizo la Africa ni watu na si rasilimali.

Najua wapo wazembe ila wengi Wana uzoefu,wapo wenye uwezo lakini nafsi zetu wateuaji haziwataki.....ajira post Ni chache. Tusubirie Toene utumbuaji utapeleka Nani
Nilisha tabiri kwenye yatakayo tokea 2021.
 
Back
Top Bottom