Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hajapanic master, wahusika wamevunja protocol, you simply dont do walicho kifanyaHakuna palmed move Hapo,watu kumpa mtu salam za kwaheri nako ni kosa kama sio kipanic na hasira ni Nini?
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali
1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda
Au ni hayo yote!
Simple. Viatu VINAPWAYA!
Hata atandaze mikeka milioni!
Hawezi wasimamia hao wateule. RIP MAGU...
4Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali
1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda
Au ni hayo yote!
Makamba kakosea nini?Hajapanic master, wahusika wamevunja protocol, you simply dont do walicho kifanya
Na wanajua taratib zikoje
She is a Woman.Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali
1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda
Au ni hayo yote!
Good question but sito jibu ila i think hilo jibu liko humu jukwaani. You can look for thatMakamba kakosea nini?
Nani anataka kulipa bill za maji, umeme, usafi, nauli, kodi kwenye mshahara? muulize Ndugai, ukitaka kujua rangi ya maza wewe tamka neno kiti cha Rais, ukiwa Rais kwa nchi ya kijinga kama hii unakuwa ni zaidi ya Mungu, unasifiwa mpk na nzi brotherRais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali
1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda
Au ni hayo yote!
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali
1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda
Au ni hayo yote!
Simple. Viatu VINAPWAYA!
Hata atandaze mikeka milioni!
Hawezi wasimamia hao wateule. RIP MAGU...
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali
1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda
Au ni hayo yote!
Ngoja Mama awanyoosheRais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali
1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda
Au ni hayo yote!
HajapanicRais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali
1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda
Au ni hayo yote!
Na Wizara ya Ardhi wakamkaribisha Ndejembi kabla ya kuapishwaHakuna palmed move Hapo,watu kumpa mtu salam za kwaheri nako ni kosa kama sio kipanic na hasira ni Nini?