Panic ya Rais Samia inasabaishwa na nini?

Panic ya Rais Samia inasabaishwa na nini?

Hakuna palmed move Hapo,watu kumpa mtu salam za kwaheri nako ni kosa kama sio kipanic na hasira ni Nini?
Hajapanic master, wahusika wamevunja protocol, you simply dont do walicho kifanya
Na wanajua taratib zikoje
 
Hali ngumu ya maisha ya wananchi wake, huku washauri wake wakizidi kumpoteza juu ya usimamiaji wa rasilimali za taifa ambazo zingeweza kupunguza ukali wa maisha kwa mtanzania mmojammoja.
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
 
🙄🙄 kumbe mpo mnaommiss mzilikande!? 😂 😆,mtaishia kutuita majina mabaya kama vyeti feki na mafisadi 😂😂,he was used to be a real saddist but now he is no more,fungueni ukurasa mpya
Simple. Viatu VINAPWAYA!
Hata atandaze mikeka milioni!
Hawezi wasimamia hao wateule. RIP MAGU...
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
4
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
She is a Woman.
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Nani anataka kulipa bill za maji, umeme, usafi, nauli, kodi kwenye mshahara? muulize Ndugai, ukitaka kujua rangi ya maza wewe tamka neno kiti cha Rais, ukiwa Rais kwa nchi ya kijinga kama hii unakuwa ni zaidi ya Mungu, unasifiwa mpk na nzi brother
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!


Nani kakwambia Mh. Rais kapanic? Kwanini unatoa matusi mepesi mepesi kwa kiongozi Mkuu wa nchi?
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Ngoja Mama awanyooshe
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Hajapanic
 
Hakuna palmed move Hapo,watu kumpa mtu salam za kwaheri nako ni kosa kama sio kipanic na hasira ni Nini?
Na Wizara ya Ardhi wakamkaribisha Ndejembi kabla ya kuapishwa

Ukweli haya mambo mawili ni kuyachunguza kwa ukaribu

Kuna kitu kipo chini chini
 
Back
Top Bottom