msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 683
- 551
Habari wadau,
Ni siku yapili Leo Taliban wanajaribu kuingia kwenye eneo ambalo ndio jumbo pekee ambali hawajafanikiwa kulimiliki hili ila wanakutana na kipondo toka kwa hawa jamaa wenye asili ya Tajikistan.
Miaka yote wamekuwa wakipata taabu sana eneo hili, hawa wa panjshri wanawasubiri wakikaribia Taliban wanapigwa Ambush tokea milimani.
Ni siku yapili Leo Taliban wanajaribu kuingia kwenye eneo ambalo ndio jumbo pekee ambali hawajafanikiwa kulimiliki hili ila wanakutana na kipondo toka kwa hawa jamaa wenye asili ya Tajikistan.
Miaka yote wamekuwa wakipata taabu sana eneo hili, hawa wa panjshri wanawasubiri wakikaribia Taliban wanapigwa Ambush tokea milimani.