muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,627
- 4,445
Unaleta link za BBC hapa[emoji23][emoji23][emoji23] watu ambao wanapingana hata na jeshi Lao lukiwaambia kwamba hile vita hawaiweziSomeni hiyo, kwa Uchache mtajua hao Raia ni watu wa Aina Gani...
![]()
Vita vya Afghanistan: Bonde 'lililoshindikana' lililoko umbali wa saa moja kutoka Kabul - BBC News Swahili
Sio mara ya kwanza kwa bonde hilo la kushangaza la Panjshir kuwa kielelezo cha misukosuko ya kihistoria nchini Afghanistan – ilikuwa ngome muhimu wakati wa vita dhidi ya vikosi vya Soviet forces katika miaka ya 1980, na Taliban katika miaka ya '90.www.bbc.com
Western media is [emoji706] si BBC, sky news, CNN, DW. Ukiangalia repoti zao zote ni biased. Wamekalia women's rights to kulia lia. .....[emoji23][emoji23][emoji23]