Panjishri Valley, eneo linalowatoa jasho Taliban

Panjishri Valley, eneo linalowatoa jasho Taliban

#BREAKING : Over 600 Talibani Terrorists including 107 Pakistani national k¡lled in fresh clashes with NorthernAllianceForces in the last 12 hours. 1 Pakistani drone searching for safe way for terrorists also shot down by the #NorthernAllianceForces .
IMG_20210905_181028.jpeg
IMG_20210905_181022.jpeg
IMG_20210905_180812.jpeg
IMG_20210905_180805.jpeg
 
Duh!!! Hao jamaa ni balaaa kumbe watalebani wamepata kibano kikali huko

Taleban wameshazingira hilo bonde lote na hata hao hao panjshir wamekiri kuwa kuna maeneo kuwa Taleban walishayakamata ila wanayarudisha which means Taleban walifanikiwa kuingia kwenye hilo Bonde
 
Hapa chini ni picha ya Taliban wakiwa makao makuu ya moja kati ya wilaya saba za hilo bonde la Panjshir ,Makao makuu ya wilaya ya Shatar
IMG_20210905_220211.jpg
 
Mtakaa sana hapa to porojo zenu. ..eti ohh wanapigwa. ....eti sijui nini. ....mamarekani mwenyewe kafumuliwa. Sembuse hao waoga wachache. ....yani hata 1000 hawafiki. Wanataka visa za ulaya tu


Ona wanavyokufa sasa. ( tumieni Google translate kielewa post )

 
Mtakaa sana hapa to porojo zenu. ..eti ohh wanapigwa. ....eti sijui nini. ....mamarekani mwenyewe kafumuliwa. Sembuse hao waoga wachache. ....yani hata 1000 hawafiki. Wanataka visa za ulaya tu


Ona wanavyokufa sasa. ( tumieni Google translate kielewa post )

Skia mrusi mwenyewe alichemka hao ndo future ya afganistan
 
Back
Top Bottom