Pantsir-SM | Mfumo mpya wa ulinzi wa anga kuzinduliwa nchini Urusi

Pantsir-SM | Mfumo mpya wa ulinzi wa anga kuzinduliwa nchini Urusi

Hizo ni propaganda za walioshindwa. Marekani amemdhulumu nani, hakuwahi kuwa na makoloni kama ilivyokuwa kwa mataifa mengine ya Ulaya.

Marekani wametoka mbali sana kuja kufika walipo leo, ni mikakati bora, sera nzuri, kufanya kazi kwa bidii na kuacha fikra huru zitawale ndizo zimekuwa nguzo za taifa hilo kuibuka na kuwa kinara wa mambo mengi duniani.

Kwa kuwa wamedumisha hizo tunu wataendelea kuwa kinara kwa karne nyingi zijazo. Ni kawaida kwa watu waliofeli kimaisha kuwaona wenzao waliofaulu kama wezi au Freemasons.
Kama unahisi kua namakoloni ndio utajiri pole sana MKUU kwani RUSSIA alikua namakoloni wapi ?!

Au unataka kutuaminisha kwamba hao kina UK nashost zake wamefika hapo walipo kwaajili yaukoloni ?!

Wizi wa US upo wazi kabisa japokua hili sio lengo lamada kwahio tuliache lipite ila wameiba sana wameiba Mafuta IRAQ wameiba LIBYA nahawajaishia huko AFRIKA mpakaleo kunaibwa huko nyie shangaeni tu mtakuja kushangaa mnaibwa mpaka nyie wenyewe....
 
Kama unahisi kua namakoloni ndio utajiri pole sana MKUU kwani RUSSIA alikua namakoloni wapi ?!

Au unataka kutuaminisha kwamba hao kina UK nashost zake wamefika hapo walipo kwaajili yaukoloni ?!

Wizi wa US upo wazi kabisa japokua hili sio lengo lamada kwahio tuliache lipite ila wameiba sana wameiba Mafuta IRAQ wameiba LIBYA nahawajaishia huko AFRIKA mpakaleo kunaibwa huko nyie shangaeni tu mtakuja kushangaa mnaibwa mpaka nyie wenyewe....
Unaiongea Russia wakati Russia sio matajiri. Pili, tupe ushahidi wa jinsi Marekani walivyoiba mafuta kwenye hizo nchi.

Tatizo lenu ni kuwa na roho ya kichawi, watu hawawezi kulingana lazima watu watofautiane kiuwezo nk.

Nyie ndio mkiona mwingine anafaulu mnaanza kudai, ooh kaiba, mara ni freemason. Badala ya kupigana na nyie muwe kama yeye mnabakia umbeya tu na hichi ndicho kinachangia Afrika kuwa hivi.
 
Canada,USA na Australia mbona ni mabara kabisa lakini yanapitwa na vinchi mji kama Luxembourg, Singapore na nchi ndogo kama Switzerland?!!

Nijibu hapo kwanza tuendelee na mjadala
Wamepitwaje..!!
 
Uko sahihi mkuu, Urusi inatakiwa iwe inachuana na Marekani kwenye kila nyanja muhimu ikiwemo kiuchumi ili kuweka mizani sawa,asiwepo mwenye nguvu mmoja.

Ila cha ajabu wamepokonywa hiyo nafasi na China, ila kwenye kutumia rasilimali zao vizuri wamejitahidi sana maana wamezua sana gesi huko Ulaya magharibi na imewatajirisha sana.
Kaka sio natetea tu Urusi,Urusi ilikua Bora Sana kiuchumi enzi za USSR,ikavurugika ikavunjikavunjika,zikatoka nchi nyingine mpya kabisa na Zina uchumi wao,Estonia,Latvia,Georgia,Lithuania,Khazakistan,Tajikistan,Azebaija ,Moldova,Ukraine,Uzebakista n,Berarusi n.k.
Sasa fikiria zote hizo zilikua majimbo ndani ya USSR.
Baada ya kuvunjika Urusi imekaa miaka kumi tu ikijijenga upya.China na USA zikiinjoi mshikamano wa majimbo yao.
Hivyo happy ilipo Urusi Sasa hivi inastahili sifa.
Zingatia inavyobaguliwa na kuwekewa vikwazo na west.Ni lazima ichomoze taratibu.
Fikiria ulikua bingwa wa riadha za masafa marefu duniani,katikati ya mashindano ukaanguka chini ukavunjika mguu,ukainuka,ukakaa hospitality miaka miwili,ukapona,ukarudi mashindanoni,ukashika nafasi ya tatu nyuma ya mabingwa wawili wa wakati huu.
Kwa kifupi Mimi ntakuona wewe Ni shujaa. hayo ndio mapito ya Urusi ya Putin.
 
Kwenye hii mijadala umekuwepo kwa muda kiasi usichokifahamu ni kipi? Hufahamu kwa nini China imekuwa juu? Kweli? Au unachokoza mjadala? Hata kama kuchokoza mjadala kwako itakuwa haujawatendea watu haki, hatua uliyofikia ni ya kutoa darasa.
Hata Mimi nimekshangaa Mkuu Proved na nimejaribu kumkumbusha na kumweleza kiufupi.
 
Unaiongea Russia wakati Russia sio matajiri. Pili, tupe ushahidi wa jinsi Marekani walivyoiba mafuta kwenye hizo nchi.

Tatizo lenu ni kuwa na roho ya kichawi, watu hawawezi kulingana lazima watu watofautiane kiuwezo nk.

Nyie ndio mkiona mwingine anafaulu mnaanza kudai, ooh kaiba, mara ni freemason. Badala ya kupigana na nyie muwe kama yeye mnabakia umbeya tu na hichi ndicho kinachangia Afrika kuwa hivi.
wewe mwenyewe unaonekana ndio mchawi, kwanza unaonekana huelewa wako ni finyu katika siasa na mambo ya kiuchumi ya dunia ndio mahana unadhani maendeleo ya USA yamepatikana eti kisa wanajituma na kufanya kazi kwa bidii.

Kitu usichokijua ni kwamba marekani ni nchi ya kibepari uchumi wao kwa kiasi kikubwa umetokana na unyonyaji wa rasilimali za nchi nyingine, huku wakitumia silaha ya kuwawekea vikwazo mataifa yale wanayoisi uchumi wao unakua na yanaweza kua mshindani kwao, na hii ni mbinu anayoitumia ili yeye abaki kama super power.

Marekani ndio nchi hapa duniani inayohongoza kwa kutumia jeshi kujenga uchumi wake, na hii ndio sababu wanawekeza sana kwenye jeshi lao, walitumia propaganda kuhiaminisha dunia kua iraki wanamiliki silaha za nyukilia kisha kuivamia iraki bila idhini ya UN, kumbe lengo lao ilikua ni kuchukua mafuta, kwa ufupi tu inabidi ujifunze side B ya marekani na sio unakomaa na side A ambayo ndio wanataka kuwahaminisha watu kupitia propaganda zao
 
Angalia population ya nchi zote hizo.


Per capita inaathiriwa na population kiaje? US ana per capita kuliko Britain au Germany au France au Italy na US population unaunganisha hizo nchi zote combined na hapa unasemaje
 
Matayarisho yangali yakiendelea kuelekea sikukuu ya kitaifa ya Siku ya Ushindi.

Maadhimisho haya yalikuwa yafanyike tarehe yake mahususi Mei 9 lakini kutokana na janga la virusi vya corona yakasogezwa mbele hadi Juni 24.

Maambukizi ya virusi vya corona bado ni changamoto kubwa hasa kuelekea sikukuu hii ya kitaifa.

Mitaa mbalimbali ya jiji la Moscow imekuwa ikisheheni foleni za hapa na pale hususani kuelekea Red Square ambapo zana mbalimbali vikiwemo vifaru na magari ya kijeshi yamekuwa yakikatika barabarani.

View attachment 1484221
View attachment 1484224
View attachment 1484225
Duuhh ...wananchi wa urusi ni wazalendo sana
 
Unaiongea Russia wakati Russia sio matajiri. Pili, tupe ushahidi wa jinsi Marekani walivyoiba mafuta kwenye hizo nchi.

Tatizo lenu ni kuwa na roho ya kichawi, watu hawawezi kulingana lazima watu watofautiane kiuwezo nk.

Nyie ndio mkiona mwingine anafaulu mnaanza kudai, ooh kaiba, mara ni freemason. Badala ya kupigana na nyie muwe kama yeye mnabakia umbeya tu na hichi ndicho kinachangia Afrika kuwa hivi.
Naona unakula matapishi yako mwenyewe sasa
Kama unajua watu hawawezi kukingana kwanini uliihoji nafasi ya RUSSIA katika uga wakiuchumi ?!

Ukitaka kujua kama jamaa waizi katafte sababu ilopelekea Kuivamia IRAQ kama ilikua sababu kweli ama ulikua upuuzi tu nakutaka kitu katika lile shambulio lao

Mwisho kinachowapelekea kua hivyo mlivyo waafrika nikupelekeshwa kaka masanamu mkibadilika mkajitambua lazma lazma lazma muendelee......
 
Hizo ni propaganda za walioshindwa. Marekani amemdhulumu nani, hakuwahi kuwa na makoloni kama ilivyokuwa kwa mataifa mengine ya Ulaya.

Marekani wametoka mbali sana kuja kufika walipo leo, ni mikakati bora, sera nzuri, kufanya kazi kwa bidii na kuacha fikra huru zitawale ndizo zimekuwa nguzo za taifa hilo kuibuka na kuwa kinara wa mambo mengi duniani.

Kwa kuwa wamedumisha hizo tunu wataendelea kuwa kinara kwa karne nyingi zijazo. Ni kawaida kwa watu waliofeli kimaisha kuwaona wenzao waliofaulu kama wezi au Freemasons.
Kwani alipo kuwa USA Leo Russia haijawahi kufika ? Ulitaka Russia aendelee kubaki kuwa super power milele ?? Ina maana kama ulitaka iwe hivyo una maanisha kwamba duniani hakuna watu wengine wenye akili na wenye kiu ya kuwa na madaraka Kama waliyo kuwa nayo Russia hapo awali .... Una anza vipi kuidharau Russia wakati ni taifa ambalo limewahi kuitawala dunia ... Ni taifa ambalo limechangia kwa kiasi kikubwa kuifanya dunia iwe na haya maendeleo tulliyo nayo hii Leo

Je hivi nikweli haujui kwa nini Russia wako hivyo walivyo Leo ? Kuna taifa linalo pigwa vita na mataifa ya ulaya pamoja na USA kama Russia.. Mimi nilitegemea kuona kwamba una isifu Russia kutokana na hatua waliyo fikia hii Leo licha ya kufanyiwa vitimbi na fitna kibao na mataifa ya NATO na mshirika wao USA na kumuwekea vikwazo kibao lakini bado kwa macho yetu tunaishuhudia Russia ikisonga na imekuwa ni moja ya mataifa yenye nguvu kubwa ya kijeshi na kiushawishi duniani mbaya zaidi ni taifa linalo ogopeka ile mbaya USA na washirika wake wote ...wakisikia jina la Russia wana kuwa wadogo kama mbwa aliye muona chatu
 
Back
Top Bottom