Pantsir-SM | Mfumo mpya wa ulinzi wa anga kuzinduliwa nchini Urusi

Pantsir-SM | Mfumo mpya wa ulinzi wa anga kuzinduliwa nchini Urusi

Matayarisho yangali yakiendelea kuelekea sikukuu ya kitaifa ya Siku ya Ushindi.

Maadhimisho haya yalikuwa yafanyike tarehe yake mahususi Mei 9 lakini kutokana na janga la virusi vya corona yakasogezwa mbele hadi Juni 24.

Maambukizi ya virusi vya corona bado ni changamoto kubwa hasa kuelekea sikukuu hii ya kitaifa.

Mitaa mbalimbali ya jiji la Moscow imekuwa ikisheheni foleni za hapa na pale hususani kuelekea Red Square ambapo zana mbalimbali vikiwemo vifaru na magari ya kijeshi yamekuwa yakikatika barabarani.

View attachment 1484221
View attachment 1484224
View attachment 1484225
Russia nitaenda one day
 
...kwani China inaogozwa kwa itikadi gani za siasa, imekuwaje tena itikadi mnazo zichukulia ni za kishenzi zimewezeshaje China kushika nafasi ya pili kiuchumi Duniani na soon itaipuku USA?
Mkuu hii China ya Sasa sio ile ya kina Mao Tsetung ya 'early 60's na 7o's'.

Hii China ilifanya mageuzi makubwa ya kiuchumi mwanzoni mwa miaka ya 80 kupitia kiongozi wao maarufu Deng Xionping ambapo baadhi ya nadharia za kiuchumi za kiliberali ziliruhusiwa ili kuinua uchumi wa nchi na wananchi.

Kumbuka ule usemi maarufu wa Deng "siangalii sura ya paka muhimu paka aweze kukamata panya" alimaanisha hajali kuhusu ubaya wa ubepari muhimu atanufaika nao.

Hata huko China kwa sasa makampuni mengi yaliyowekeza huko ni kutoka Marekani, Japan, Ujerumani na nchi zingine za Ulaya kwa sababu ya kuwepo kwa soko lao kubwa na nguvu kazi kubwa yenye gharamu nafuu japo ina ujuzi mkubwa (highly skilled labor but cheap).

Hayo mambo ya kikomunisti yamebaki kwenye siasa tu za ndani ila uchumi unaendeshwa kibepari ndio maana kuna matajiri wengi sana China ikiwemo baadhi ya viongozi wa kikomunisti (kumbuka utajiri ni haramu kwenye ukomunisti).
 
Hivi wewe alokuambia warusi wanasota Ni Nani?
Hivi unajua kua Marekani hua inaomba lifti kwa Urusi kwenda Anga za juu?
Hivi unajua kuwa wanaanga wa Marekani ndio wanaoongoza kupanda Sayuz kwenda kutafiti kwenye ISS.hivi unajua wamarekani wangekua na uwezo huo wa kuwapeleka Warusi Kwenye ISS warusi wasingepewa lifti hiyo?
Hivi unajua Marekani hua inazilazimisha na kuzishinikiza na kuzitisha nchi za Ulaya ili ziiwekee vikwazo Urusi ingawa huwa hazipendi shinikizo Hilo?
Kutumia Rocket Engines za Russia ni swala dogo sana na miaka michache ijayo hawatazitumia tena.
 
Kutumia Rocket Engines za Russia ni swala dogo sana na miaka michache ijayo hawatazitumia tena.
Suala dogo ?!

Unajua space X wanavyohangaika kujikomboa katika huo utumwa mzee ?!

Acha utani basi ...
 
Mie napingana nao kwa kweli. Kama ni maadui mbona tunapeleka bakuli letu kuomba kwao mara kwa mara?
Viongozi wa Afrika wengi nahao wanaowaita Mabepari wanaunafiq wakutosha kiukweli.....
 
Suala dogo ?!

Unajua space X wanavyohangaika kujikomboa katika huo utumwa mzee ?!

Acha utani basi ...

Sio kweli. Mwisho 2022.

Muda ni msema kweli
Muda umesema. Tayari wameshaachana na rocket engines za Mrusi.

 
Back
Top Bottom