Russia nitaenda one dayMatayarisho yangali yakiendelea kuelekea sikukuu ya kitaifa ya Siku ya Ushindi.
Maadhimisho haya yalikuwa yafanyike tarehe yake mahususi Mei 9 lakini kutokana na janga la virusi vya corona yakasogezwa mbele hadi Juni 24.
Maambukizi ya virusi vya corona bado ni changamoto kubwa hasa kuelekea sikukuu hii ya kitaifa.
Mitaa mbalimbali ya jiji la Moscow imekuwa ikisheheni foleni za hapa na pale hususani kuelekea Red Square ambapo zana mbalimbali vikiwemo vifaru na magari ya kijeshi yamekuwa yakikatika barabarani.
View attachment 1484221
View attachment 1484224
View attachment 1484225
Mkuu hii China ya Sasa sio ile ya kina Mao Tsetung ya 'early 60's na 7o's'....kwani China inaogozwa kwa itikadi gani za siasa, imekuwaje tena itikadi mnazo zichukulia ni za kishenzi zimewezeshaje China kushika nafasi ya pili kiuchumi Duniani na soon itaipuku USA?
Kutumia Rocket Engines za Russia ni swala dogo sana na miaka michache ijayo hawatazitumia tena.Hivi wewe alokuambia warusi wanasota Ni Nani?
Hivi unajua kua Marekani hua inaomba lifti kwa Urusi kwenda Anga za juu?
Hivi unajua kuwa wanaanga wa Marekani ndio wanaoongoza kupanda Sayuz kwenda kutafiti kwenye ISS.hivi unajua wamarekani wangekua na uwezo huo wa kuwapeleka Warusi Kwenye ISS warusi wasingepewa lifti hiyo?
Hivi unajua Marekani hua inazilazimisha na kuzishinikiza na kuzitisha nchi za Ulaya ili ziiwekee vikwazo Urusi ingawa huwa hazipendi shinikizo Hilo?
Mpaka dunia inaisha bado wataendelea kutumiaKutumia Rocket Engines za Russia ni swala dogo sana na miaka michache ijayo hawatazitumia tena.
He?? Ebu jieleweshe kidogo kuhusu Space X, na inachofanya.Mpaka dunia inaisha bado wataendelea kutumia
Mie napingana nao kwa kweli. Kama ni maadui mbona tunapeleka bakuli letu kuomba kwao mara kwa mara?msimamo wa nchi ni kwamba mabeberu na ubepari ni maadui wakubwa hawatakiwi kusifiwa au kuusifu ubepari
Suala dogo ?!Kutumia Rocket Engines za Russia ni swala dogo sana na miaka michache ijayo hawatazitumia tena.
Viongozi wa Afrika wengi nahao wanaowaita Mabepari wanaunafiq wakutosha kiukweli.....Mie napingana nao kwa kweli. Kama ni maadui mbona tunapeleka bakuli letu kuomba kwao mara kwa mara?
TeheeHa ha haaa Hearly bana.
Sio kweli. Mwisho 2022.Mpaka dunia inaisha bado wataendelea kutumia
Muda ni msema kweliSio kweli. Mwisho 2022.
Suala dogo ?!
Unajua space X wanavyohangaika kujikomboa katika huo utumwa mzee ?!
Acha utani basi ...
Sio kweli. Mwisho 2022.
Muda umesema. Tayari wameshaachana na rocket engines za Mrusi.Muda ni msema kweli