Panya Magawa mahiri kwa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini amekufa nchini Cambodia

Kwa nini baada ya kustaafu hakurudishwa nyumbani? Cambodia watoe maelezo na warudishe maiti na mafao yake TANZANIA akazikwe kwao SUA
 
Panya Magawa ni panya ambae alizaliwa mkoani Morogoro Nchini Tanzania Mnamo 5 November 2014 akiwa na uzani wa kilogramu 1.2 urefu sentimita 70.
Kwa kabila Panya Magawa ni halfcast wa Kiluguru na Kipogoro

Panya Magawa alifariki mnamo akiwa na umri wa Miaka 8 na kuzikwa Nchini Cambondia, pia Magawa alistaafu kazi ya uteguaji mabomu na kugundua silaha mnamo mwaka jana yaani Mwaka 2021.
Magawa mnamo mwaka 2020 alitunukiwa nishani ya dhahabu nchini Cambondia.

Pia Magawa Alisoma shule ya awali mpaka chuo kwa miezi 10.
Aligundua zaidi ya mabomu 100 yaliyo tegwa.
Ameishi akiwa bachela.

Jina Magawa alipewa na mkufunzi wake Pendo Msegu ambae ni mkufunzi wa panya wengi katika chuo cha Sokoine university of Agriculture (SUA)
 
Duu, urefu wa 70cm , karibia mita 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…