Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Nikiwa kama kaka mkubwa wa magawa naomba kuuliza
Je amelipwa stahiki zake na mafao? Yako wapi?
Maana aliacha mke na michepuko wawili kabla hajaenda huko kambodia, na watoto sita.
Serikali naomba ishughulikie hiki
Je amelipwa stahiki zake na mafao? Yako wapi?
Maana aliacha mke na michepuko wawili kabla hajaenda huko kambodia, na watoto sita.
Serikali naomba ishughulikie hiki