Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
baada ya kujiona wote waoga unamlaum askari kama ninyi kundi mnakimbia yeye mmoja na efd mashine atafanya nini mnatia aibu sana..utadhani panya road ndio wanaume wengine woote wanawake acheni upuuzi huo..,