Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
***Makonda yuko busy na clauzmedia...cjui ni muajiriwa kule...maana mi namuona ni mzee wa matukio ya kiki kila siku
Haya mambo yapo....kuna mtu namfahamu mwezi tena mwanamama mjeda kavamiwa na panya road wanamtaka atoe hela na hakuwa nazo zaidi ya 40000 tu...wakazichuka na redio na wakamchana na panga mkononi..walibananisha mtaa mzima..usiku si chini ya 20 vitoto vidogoNina waiwasi hii panya road sasa inatumika kisiasa.Watu wakitaka kutusahaulisha mambo basi mambo madogo yanakuzwa na kupewa promo kuubwa ili kuyazika mambo makubwa.
Vina siraha...Hapo stendi hapakuwepo na wanaume?
Hivyo vitoto vitavamiaje stendi na kuanza kupiga na kupora watu?
Watanzania wengine ni watu wa ajabu sana. Yaani watu mpo stendi mnaachia vitoto viwapore na kuwapiga?
Wahshi kabisa!!
Vina siraha...
Visu....kimoja unakuta kina visu zaidi ya vitano...ukifanikiwa kukinyang'anya kimoja kinachomoa kingineVina silaha gani? Visu?
Watanzania ni watu waoga mno.
Dah! Yaan stend nzima inasambaratishwa na panya road kweli DSM hakuna wanaume
Kuna siku vilipanda daladala ya kigogo....vikamwamru dereva avipeleke chanika...akatii...abiria wote kimyaaaa na walishuka wote kituo kilichokuwa kinafuataDah! Yaan stend nzima inasambaratishwa na panya road kweli DSM hakuna wanaume
Chonde chonde wanaume wa Dar![emoji23] [emoji23] [emoji23]Tukio hili limetokea leo saa 3:usiku Mbagala mwisho na shuhuda wa tukio hilo nikiwa mimi mwenyewe, Nikiwa njiani narudi nyumbani kulitokea taharuki kubwa baada ya tetesi kusikika kuwa Vijana watukutu maarufu kama PANYA ROAD wamevamia stand ya mbagala wakifanya wakipora mali na kupiga watu hovyo ndipo wananchi walianza kukimbia huku na kule kuokoa maisha yao.
KILICHONISHANGAZA
Nikiwa kwenye foleni nimeshuhudia Trafiki waliokuwa zamu wakitimka mbio huku wakivua kofia na mashati yao meupe na kubaki na nguo za ndani maarufu kama sing'lendi.
Swali nalojiuliza hawa askari wetu wanashindwa hata kufanya upepelezi wa mwanzo kujua adui yuko upande gani,ana siraha gani na atakabiliana naye vipi.
Hapo stendi hapakuwepo na wanaume?
Hivyo vitoto vitavamiaje stendi na kuanza kupiga na kupora watu?
Watanzania wengine ni watu wa ajabu sana. Yaani watu mpo stendi mnaachia vitoto viwapore na kuwapiga?
Wahshi kabisa!!
Hawa jamaa wapo wangapi na wana silaha gani kiasi cha kukimbiza stendi nzima?
Isijekua watu wawili tu wanakimbiza wanaume 50, hata mawe watu mmeshindwa kuyakumbuka, hehehe! leo nimeamini kale kamsemo "wanaume wa dar"
Daa!!Tukio hili limetokea leo saa 3:usiku Mbagala mwisho na shuhuda wa tukio hilo nikiwa mimi mwenyewe, Nikiwa njiani narudi nyumbani kulitokea taharuki kubwa baada ya tetesi kusikika kuwa Vijana watukutu maarufu kama PANYA ROAD wamevamia stand ya mbagala wakifanya wakipora mali na kupiga watu hovyo ndipo wananchi walianza kukimbia huku na kule kuokoa maisha yao.
KILICHONISHANGAZA
Nikiwa kwenye foleni nimeshuhudia Trafiki waliokuwa zamu wakitimka mbio huku wakivua kofia na mashati yao meupe na kubaki na nguo za ndani maarufu kama sing'lendi.
Swali nalojiuliza hawa askari wetu wanashindwa hata kufanya upepelezi wa mwanzo kujua adui yuko upande gani,ana siraha gani na atakabiliana naye vipi.