KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
umesahau bunduki za Kibiti wewe? Umesahau Panya Road walipambana na Makonda akiwa mkuu wa mkoa ?Umesahau yule kamanda aliyeleta msemo mtapigwa kama Mbwa koko alipambana na panya Road Temeke. ilikuwa zama gani?Ni lazima tujiulize maswali mengi, kwa nini kipindi cha JPM hakukuwa na hao panya road na kwa nini sasa?
Wameanza kwa mapanga na mwishowe mtasikia wanatumia bunduki, kwa sabb hao hawako peke yao, ni mkono mrefu huo,
Maana haiwezekani I we tuu ghafula baada ya utawala wa JPM kuisha, je, walikwenda wapi panya hao?
Polisi na panya road wanajuana, na huwenda ni maswahiba
Pambana na uhalifu acha siasa maji taka.