Panya Road waibuka tena Buza, wajeruhi watu na kuchoma mtoto Bisbisi ya kichwa

umesahau bunduki za Kibiti wewe? Umesahau Panya Road walipambana na Makonda akiwa mkuu wa mkoa ?Umesahau yule kamanda aliyeleta msemo mtapigwa kama Mbwa koko alipambana na panya Road Temeke. ilikuwa zama gani?
Pambana na uhalifu acha siasa maji taka.
 
Hakuna kitu kibaya kama kushughulika na jambo linalolipuka lipuka linapunguza au kuondoa Amani kwa raia wema, "wakikamatwa wakathibishwa wasirudi uraiani wapelekwe magereza ya mbali wakalime huko kwa miaka 15,huku wakila wanacholima ili serekali isipate hasara"
 
Fanta moja ya kopo kwako mkuu.
 
Mzee wa kiraracha alikuwa waziri wa mambo ya Ndani enzi za mzee Ruksa na siyo Mkapa.
Enzi hizo Comando Yosso na Magenge mengine yalifyekelewa mbali
 
Nahisi kabisa kuna watu, wako nyuma ya kundi la hawa magaidi Lengo lao ni hii nchi isitawalike

mwenzenu naumia ninaposikia habari hizi.Sijajuwa hadi sasa nini hasa wanataka hawa mtoto jamani hawana imani hawa.
 
Polisi wanalewa wakiwa kazini!

Kwa staili hiyo msaada hakuna
 
Nahisi kabisa kuna watu, wako nyuma ya kundi la hawa magaidi Lengo lao ni hii nchi isitawalike

"walionyuma ya panya road ni upinzani". limesikika lifuasi limoja la sisiemu.
 
Ujangiri kuua tembo umerudi, upigaji kwenye miradi ya serikali, biashara ya madawa ya kulevya, panya road pia wamerudi, tutasikia mengi sana

Shisha nazo zimerudi kwa kasi tena wazi wazi haha
 
Kwenye taarifa ya habari walionesha wamekamatwa hao wametoka wapi tena[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…