Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kama unavyofikilia hata sasa wamegoma mbona namiliki simuLakini wakigoma masaa mawili tu hutaimiliki hiyo cm unayoitumia kuwaponda.
Lakini ni kawaida ukiwa nacho huoni thamani yake
Wanaume wa Dar mumeanza tenaWana Jf Wasalaam,
Tukielekea katika kipindi hiki cha kufunga Mwaka pamoja na kusheherekea Christmas & Mwaka Mpya Tuchukue Tahadhari hasa kuhusiana na kundi la vijana wahalifu wanaotembea kwa Makundi (Panya Road)
Update;
-Jana wamefanya Ukabaji Maeneo ya Karakata Airport ,mmoja Kati ya panya road aliuliwa na Wananchi na kuchomwa moto
Hata hivyo Askari wetu walijitahidi kufanya Doria maeneo mbalimbali Amani ikarejea na Utulivu
-Leo Hadi hivi Sasa Vijana wapatao 15&26 Wanaendelea na Ukabaji wakiwa Ktk kikundi.Wananchi wanakimbizana Ovyo ,Eneo Ni Karakata Mtaa wa Majukumu..
Ukabaji Bado Unaendelea ..
Kaka wewe panya road au kiboko msheli penda uwasikie tu ukiwa huko kwenu Oysterbay. Sisi wa Kigogo na Mburahati tunaelewa mtu akisema panya road anasema niniEti vitoto vinakuja na vipisi na nondo na tunapanga saa moja jioni vinafunga mtaa vinapora. yafaa mtaa mzima mle fimbo kabisa acheni uzembe, police Wana Kazi nyingi Sana za kufanya.
Polisi wote wamegeuzwa kuwa traffic polisi ili wakajichukulie sijui nani atapambana na hawa Mbwa MwituWana Jf Wasalaam,
Tukielekea katika kipindi hiki cha kufunga Mwaka pamoja na kusheherekea Christmas & Mwaka Mpya Tuchukue Tahadhari hasa kuhusiana na kundi la vijana wahalifu wanaotembea kwa Makundi (Panya Road)
Update;
-Jana wamefanya Ukabaji Maeneo ya Karakata Airport ,mmoja Kati ya panya road aliuliwa na Wananchi na kuchomwa moto
Hata hivyo Askari wetu walijitahidi kufanya Doria maeneo mbalimbali Amani ikarejea na Utulivu
-Leo Hadi hivi Sasa Vijana wapatao 15&26 Wanaendelea na Ukabaji wakiwa Ktk kikundi.Wananchi wanakimbizana Ovyo ,Eneo Ni Karakata Mtaa wa Majukumu..
Ukabaji Bado Unaendelea ..
Tutawasemea Kwa Mama ila mama yupo pekeyakeWana Jf Wasalaam,
Tukielekea katika kipindi hiki cha kufunga Mwaka pamoja na kusheherekea Christmas & Mwaka Mpya Tuchukue Tahadhari hasa kuhusiana na kundi la vijana wahalifu wanaotembea kwa Makundi (Panya Road)
Update;
-Jana wamefanya Ukabaji Maeneo ya Karakata Airport ,mmoja Kati ya panya road aliuliwa na Wananchi na kuchomwa moto
Hata hivyo Askari wetu walijitahidi kufanya Doria maeneo mbalimbali Amani ikarejea na Utulivu
-Leo Hadi hivi Sasa Vijana wapatao 15&26 Wanaendelea na Ukabaji wakiwa Ktk kikundi.Wananchi wanakimbizana Ovyo ,Eneo Ni Karakata Mtaa wa Majukumu..
Ukabaji Bado Unaendelea ..
Utawachinjaje watu 40&50 wanaotembea kwa pamoja ?Wauweni tena kwa kuwachinja!
Wekeni ulinzi wa kimtaa, mkiwakamata ng'oa meno na kuwakata madole gumba ili hata mkiwaacha wazima wasiweze kusumbua.
Wanaume mnasumbuliwa na wavulana? Nyie washenzi tu! Aghhggghhh[emoji51][emoji51]
Mbona taarifa umetoa kama maeneo unayo taja tunayafahamu.
Kwani siku hizi Kibondo ina mtaa wa karakata?
Wapo Sungusungu,Isipokua Idadi ya Sungusungu haiendani na Idadi ya Panya Road..Anzisheni sungusungu
Nadhani ni huko nchi za watuHuko kirakata ni wapi (Mkoa , Nchin) ?
Ni kweli mkuu hawa polisi wetu tutawalaumu bure maana wana kazi nyingi za kuiharibu chadema sasa leo hii mnataka waje kidhibiti paka roadEti vitoto vinakuja na vipisi na nondo na tunapanga saa moja jioni vinafunga mtaa vinapora. yafaa mtaa mzima mle fimbo kabisa acheni uzembe, police Wana Kazi nyingi Sana za kufanya.
Unfortunately,wanavamia kwetu Uswahilini,access ya silaha Ndio wengi wamehifadhi marungu,sime na panga ,jinsi Panya Road wanavyoshambulia hawavunji nyumba Ni Yeyote Barbarani watakayekutana naye ,kazi anayo ..pia Unafiki wetu Watanzania au kukosekana kwa Ushirikiano baina yetu Ktk jamii yweza kua moja ya kikwazo kushindwa kushambuliana nao.Mliambiwa muwe na silaha nyumbani
Huu ndio wakati wa kuzitumia
Ilala Dar es SalaamHii itakua Arusha.