Panya Road wamerudi, tuchukue tahadhari, Polisi Dar wafanya msako wawanasa waliowapiga watu mapanga

Panya Road wamerudi, tuchukue tahadhari, Polisi Dar wafanya msako wawanasa waliowapiga watu mapanga

Mtaa mzima mnakimbizwa na vitoto vya miaka 15 na 16 mnashindwa vipi vidhibiti.
Nawapa mbinu.
Nunue speaker zile za betri
Nunueni mishale yenye sumu
Nunueni asidi
Wakija tena hao mende wapigieni yowe kutumia speaker KILA mmoja aandae mshale wake achague mtu wake hakikisheni wote wamelala chini ni kumkosea Mungu kuwaacha hao mende hai.
Ina maana karakata nzima Hakuna hata mwenye bastola wakija unavaa soksi ya ninja unahakikisha mizoga kama 20 ipo chini,waliopona wakawasimulie wenzao na awatorudi tena mbona huku kitunda ujinga huo haupo acheni uzembe karakata mnafunga maduka mtaa mzima Ina maana hata kuwapiga na chupa zenye bia amuwezi? Nyie ndo mnafanya wanaume wa dar tunadharaulika.
Nashangaa sana wanaume wa dar wanaogopa watoto
 
Unfortunately,wanavamia kwetu Uswahilini,access ya silaha Ndio wengi wamehifadhi marungu,sime na panga ,jinsi Panya Road wanavyoshambulia hawavunji nyumba Ni Yeyote Barbarani watakayekutana naye ,kazi anayo ..pia Unafiki wetu Watanzania au kukosekana kwa Ushirikiano baina yetu Ktk jamii yweza kua moja ya kikwazo kushindwa kushambuliana nao.

Ni woga na ubinafsi naona
Kama watu watakuwa na neighbourhood watch na wakafanya patrol usiku wakiwa hata 20 kwa kila mda natumaini wangeisha hao vibaka

Ila ushirikiano ni sifuri
 
Wana Jf Wasalaam,
Tukielekea katika kipindi hiki cha kufunga Mwaka pamoja na kusheherekea Christmas & Mwaka Mpya Tuchukue Tahadhari hasa kuhusiana na kundi la vijana wahalifu wanaotembea kwa Makundi (Panya Road)

Update;
-Jana wamefanya Ukabaji Maeneo ya Karakata Airport ,mmoja Kati ya panya road aliuliwa na Wananchi na kuchomwa moto
Hata hivyo Askari wetu walijitahidi kufanya Doria maeneo mbalimbali Amani ikarejea na Utulivu

-Leo Hadi hivi Sasa Vijana wapatao 15&26 Wanaendelea na Ukabaji wakiwa Ktk kikundi.Wananchi wanakimbizana Ovyo ,Eneo Ni Karakata Mtaa wa Majukumu..

Ukabaji Bado Unaendelea ..
Hiyo idadi uneijuaje mkuu labda tuanzie hapo.
 
Hiyo idadi uneijuaje mkuu labda tuanzie hapo.
Kuna njia mbalimbali Ktk kukadiria Idadi.
-Kukutana nao Ana kwa Ana
-Kuwachungulia kupitia Sehemu uliopo
-Kuhadithiwa kulingana na Hali ya tukio..
 
mkiua wote au nusu yao kesho hawawezi kurudi tena na mtalala milango wazi maisha yenu yote kwenye huo mtaa....
Inawezekana theoritically ,Ktk Hali halisi bado sijaona wa kupambana nao Ana kwa Ana ..
 
Wana Jf Wasalaam,
Tukielekea katika kipindi hiki cha kufunga Mwaka pamoja na kusheherekea Christmas & Mwaka Mpya Tuchukue Tahadhari hasa kuhusiana na kundi la vijana wahalifu wanaotembea kwa Makundi (Panya Road)

Update;
-Jana wamefanya Ukabaji Maeneo ya Karakata Airport ,mmoja Kati ya panya road aliuliwa na Wananchi na kuchomwa moto
Hata hivyo Askari wetu walijitahidi kufanya Doria maeneo mbalimbali Amani ikarejea na Utulivu

-Leo Hadi hivi Sasa Vijana wapatao 15&26 Wanaendelea na Ukabaji wakiwa Ktk kikundi.Wananchi wanakimbizana Ovyo ,Eneo Ni Karakata Mtaa wa Majukumu..

Ukabaji Bado Unaendelea ..
Wakati wa JPM hizi habari tulizisahau kabisa,ila alisema MTANIKUMBUKA...
 
Hawa panya road huwa hawana wazazi? Hawa panya road huwa wanatokea mtaani hapo au huwa wanatokea mikoani? Ninauhakika panya road huwa wanaiba mitaa wanayoishi sasa mnashindwa vipi kudeal nao hao vijana ambao mnawafahamu na wazazi wao pia mnawafahamu? Mnasema eti wanatembea 30,40,50 kwahiyo ninyi mtaa mzima wanaume mpo 20?

Acheni ujinga, kamata hivyo vitoto tia tindikali vyote kisha viachieni vikauguze majeraha na wazazi wao.
 
Kaka wewe panya road au kiboko msheli penda uwasikie tu ukiwa huko kwenu Oysterbay. Sisi wa Kigogo na Mburahati tunaelewa mtu akisema panya road anasema nini
Acheni kulia kulia mji organize, mpambane nao
 
Hawa panya road huwa hawana wazazi? Hawa panya road huwa wanatokea mtaani hapo au huwa wanatokea mikoani? Ninauhakika panya road huwa wanaiba mitaa wanayoishi sasa mnashindwa vipi kudeal nao hao vijana ambao mnawafahamu na wazazi wao pia mnawafahamu? Mnasema eti wanatembea 30,40,50 kwahiyo ninyi mtaa mzima wanaume mpo 20?

Acheni ujinga, kamata hivyo vitoto tia tindikali vyote kisha viachieni vikauguze majeraha na wazazi wao.
Ubinafsi ndo unawaponza kuona tatizo la mwezio siyo lako. Nakumbuka mwaka 2014 nilikuwa nakaa maeneo ya ubungo Kibo. Kuna panya road walienda kuvamia mahali wakaua, mmoja wakaja kumzika maeneo hayo. Baada ya mazishi wakajiorganize nakuanza kuvamia wapita njia na maduka. Watu wa kaona isiwe taabu tukajipanga kudeal nao. Amini usiamini wanne tuliwavisha matairi.
 
Acheni kulia kulia mji organize, mpambane nao
Kabla hamja ji organize Wana kua na taarifa zote.
Huku Kigogo Ni kwamba kila nyumba Ina mtoto wa kike Malaya, Ina mtoto panya road, Ina mtoto Teja, Ina mmachinga, Ina mtoto kibaka. Kila nyumba Ina mmama mbea ambae hakai na Siri nusu saa.
Kila nyumba Ina mbaba mlevi.
Sasa mnajioganaiz vipi bila hizi taarifa kuvuja.
Kwa taarifa yako huku nyumba moja Ina familia sita.
 
mkiua wote au nusu yao kesho hawawezi kurudi tena na mtalala milango wazi maisha yenu yote kwenye huo mtaa....
Kitunda kwa wakurya vibaka awasogoei kule unakamatwa wanashika kichwa unatikiswa dakika 5 unaambiwa tumekusamehe nenda kwa amani
 
Hawa panya road huwa hawana wazazi? Hawa panya road huwa wanatokea mtaani hapo au huwa wanatokea mikoani? Ninauhakika panya road huwa wanaiba mitaa wanayoishi sasa mnashindwa vipi kudeal nao hao vijana ambao mnawafahamu na wazazi wao pia mnawafahamu? Mnasema eti wanatembea 30,40,50 kwahiyo ninyi mtaa mzima wanaume mpo 20?

Acheni ujinga, kamata hivyo vitoto tia tindikali vyote kisha viachieni vikauguze majeraha na wazazi wao.
Panya road upatikana mitaa ya wazawa yaani wenyeji wazaliwa wa pale na sio kwa wageni.Uswahilini wanaishi kwa unafiki sababu wanajuana mtoto wa nani ni mwizi wanaogopana kurogana.
Ni watoto wanaokaa vijiweni kinachotakiwa ni kuwapeleka killing squard watu wasiojulikana wakikutwa vijiweni ni mwendo wa bullets ukiweza wadondosha KILA siku hata watatu Kazi ya kufukia ni ya wazazi wao ndani ya mwezi tu mtaa unakuwa safi hauna mende ndo walichofanya Rwanda.
 
Panya road upatikana mitaa ya wazawa yaani wenyeji wazaliwa wa pale na sio kwa wageni.Uswahilini wanaishi kwa unafiki sababu wanajuana mtoto wa nani ni mwizi wanaogopana kurogana.
Ni watoto wanaokaa vijiweni kinachotakiwa ni kuwapeleka killing squard watu wasiojulikana wakikutwa vijiweni ni mwendo wa bullets ukiweza wadondosha KILA siku hata watatu Kazi ya kufukia ni ya wazazi wao ndani ya mwezi tu mtaa unakuwa safi hauna mende ndo walichofanya Rwanda.
Ni kweli jamii zetu wengi ni wanafiki sana. Wanajua kabisa hawa panya road ni watoto wa nani. Suluhisho ni kuwauwa wite kisha wazazi wazike mizoga ya watoto wao itakuwa fundisho kwa wazazi kuwakemea watoto wao wanapokuwa na tabia hatarishi katika jamii
 
Sheria ya maadili mtu yeyeto aliyekinyume na maadili ya jamii dawa yake ni kumteketeza kabisa kwa kumtenga na jamii
 
Back
Top Bottom