Panya road warudi Tena mchana huu

Panya road warudi Tena mchana huu

Bondpost

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2011
Posts
7,019
Reaction score
10,455
Ndugu wanabodi, nipo town posts Dar es Salaam kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji.

Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya Mtongani .

Jambo la ajabu kituo cha polisi kipo karibu kama mita Mia tu na hakuna kinachofanyika pamoja kuna amri pia ya mkuu wa mkoa Ila hakuna polisi wanaoonekana kuchukua hatua zozote.

Nadhani tutachoka tutaamua kuingia na mapanga na kila aina ya silaha ili tukamate hao vijana maana kila mtu anaweza uhuni it's a matter of choice.

Polisi kama mmeshindwa kazi tunaomba mtuambie tuanze kupambana nao wenyewe maana uwezo tunao tatizo mnawalinda hao wahuni na tukiwaua mnakuja kutupatia kesi ya mauaji.
 
Ndugu wanabodi, nipo town posts Dar es salaam Kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji.

Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya mtongani .

Jambo la ajabu kituo Cha polisi kipo karibu Kama mita Mia tu na hakuna kinachofanyika pamoja Kuna amri pia ya mkuu wa mkoa Ila hakuna polisi wanaoonekana kuchukua hatua zozote.

Nadhani tutachoka tutaamua kuingia na mapanga na kila aina ya silaha ili tukamate hao vijana maana kila mtu anaweza uhuni it's a matter of choice.

Polisi Kama mmeshindwa kazi tunaomba mtuambie tuanze kupambana nao wenyewe maana uwezo tunao tatizo mnawalinda hao wahuni na tukiwaua mnakuja kutupatia kesi ya mauaji.
Ugumu wa maisha uliyoletwa na kijani sasa watu wameanza kuamka..ni suala la muda tu..mana wamelinajisi sanduku la kura.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wanabodi, nipo town posts Dar es salaam Kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji.

Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya mtongani .

Jambo la ajabu kituo Cha polisi kipo karibu Kama mita Mia tu na hakuna kinachofanyika pamoja Kuna amri pia ya mkuu wa mkoa Ila hakuna polisi wanaoonekana kuchukua hatua zozote.

Nadhani tutachoka tutaamua kuingia na mapanga na kila aina ya silaha ili tukamate hao vijana maana kila mtu anaweza uhuni it's a matter of choice.

Polisi Kama mmeshindwa kazi tunaomba mtuambie tuanze kupambana nao wenyewe maana uwezo tunao tatizo mnawalinda hao wahuni na tukiwaua mnakuja kutupatia kesi ya mauaji.
Wakateni viganja vya mikono
 
Kuna jamaa yangu anaishi hapo mtongani, tena anafanyia biashara zake hapo barabarani na kurudi kwaje ndani kidogo, njmempigia anaxhangaz tu kusikia swala hilo kwani halipo tu. Labda km mna agenda yenu ktk uzushi huu!
Huyu jamaa yako achunguzwe aisee. Atakuwa mmoja wao au ni mfadhiri. Yaani nimeona maduka yamefungwa mpaka mashimoni kuelekea Kwa ndevu halafu yeye anakwambia Hamna kitu? Sio bure
 
Ndugu wanabodi, nipo town posts Dar es salaam Kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji.

Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya mtongani .

Jambo la ajabu kituo Cha polisi kipo karibu Kama mita Mia tu na hakuna kinachofanyika pamoja Kuna amri pia ya mkuu wa mkoa Ila hakuna polisi wanaoonekana kuchukua hatua zozote.

Nadhani tutachoka tutaamua kuingia na mapanga na kila aina ya silaha ili tukamate hao vijana maana kila mtu anaweza uhuni it's a matter of choice.

Polisi Kama mmeshindwa kazi tunaomba mtuambie tuanze kupambana nao wenyewe maana uwezo tunao tatizo mnawalinda hao wahuni na tukiwaua mnakuja kutupatia kesi ya mauaji.

Ndugu mleta Uzi, mm ni polisi nipo karibu hapo, ila kwa Varangati la hao "panya" siwezi peleka pua yangu, kwanza nmetoka kuoa Juzi na mke wangu ana mimba changa.
 
Kwani hii ni awamu ya Magufuli?
Ndiyo maana zito alisema mkalale nae pale
Mambo hayawezi kufanana na hamuwezi kulazimisha hilo
Kama akili zako hazitoshi kutambua hilo basi una matatizo ya akili
Kila mtu ana ubora wake
Uko sahihi Mkuu, hii awamu inaelekea inaubora wa kipekee. Maana imejawa na huruma kwa panya wetu.
 
Huu upumbavu ulipotea kabisa kipindi cha Magufuli hawa viongozi wetu wa sasa sijui wamekula maharage ya wapi mpaka wanashindwa kutumia Task force ambayo tunayo , kipindi cha Magufuli huu ujinga ulikufa maana price ya kumess na the system ilikuwa ni maisha yako , sasa hv Oya Oya nyingi plus maisha kupanda ,machinga kuvunjiwa vibanda vyao naona vijana wamerudia zama zao
 
Back
Top Bottom