Panya road warudi Tena mchana huu

Panya road warudi Tena mchana huu

Kuna jamaa yangu anaishi hapo mtongani, tena anafanyia biashara zake hapo barabarani na kurudi kwaje ndani kidogo, njmempigia anaxhangaz tu kusikia swala hilo kwani halipo tu. Labda km mna agenda yenu ktk uzushi huu!
Naish mtongani So panya Road wapo kuna seem inaitwa mashimoni maarufu kwa Dodo ndio seem wanayofanyia matukio so usiseme hawapo ikiwa unaskia habar tuuu jana chupuchupu nivaane nao
 
Kuna jamaa yangu anaishi hapo mtongani, tena anafanyia biashara zake hapo barabarani na kurudi kwaje ndani kidogo, njmempigia anaxhangaz tu kusikia swala hilo kwani halipo tu. Labda km mna agenda yenu ktk uzushi huu!

Sawa ... ! sasa hata Kiswahili lugha yetu , unashindwa kuandika kwa ufasaha.
 
Huu upumbavu ulipotea kabisa kipindi cha Magufuli hawa viongozi wetu wa sasa sijui wamekula maharage ya wapi mpaka wanashindwa kutumia Task force ambayo tunayo , kipindi cha Magufuli huu ujinga ulikufa maana price ya kumess na the system ilikuwa ni maisha yako , sasa hv Oya Oya nyingi plus maisha kupanda ,machinga kuvunjiwa vibanda vyao naona vijana wamerudia zama zao
Hata kipind cha maguful walikuwepo usiwe muongoooo
 
Huenda hizi ndio kamba zao....

Ila naomba kujua, wanakuja wamevaa mask, wanakuja kwa makundi wanakuja kwa kujificha au wanakuja kama wanajeshi (wakiwa wengi) ?

Sababu nashindwa kuelewa kuna ugumu gani kupambana na kundi la watu wasio na silaha kali tena sio kwamba wanajificha (nadhani huku ni kuchekeana na nyani ambako tunaelekea kuvuna mabua)
 
Huyu jamaa yako achunguzwe aisee. Atakuwa mmoja wao au ni mfadhiri. Yaani nimeona maduka yamefungwa mpaka mashimoni kuelekea Kwa ndevu halafu yeye anakwambia Hamna kitu? Sio bure
Mpuuze huyo,vijana wa Lumumba hao,majuzi hata huyo RC Makala si alisema zile clip sio panya road wa bongo bali ni Mombasa na Dar ni shwari kabisaa!!!
 
Ndugu wanabodi, nipo town posts Dar es salaam Kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji.

Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya mtongani .

Jambo la ajabu kituo Cha polisi kipo karibu Kama mita Mia tu na hakuna kinachofanyika pamoja Kuna amri pia ya mkuu wa mkoa Ila hakuna polisi wanaoonekana kuchukua hatua zozote.

Nadhani tutachoka tutaamua kuingia na mapanga na kila aina ya silaha ili tukamate hao vijana maana kila mtu anaweza uhuni it's a matter of choice.

Polisi Kama mmeshindwa kazi tunaomba mtuambie tuanze kupambana nao wenyewe maana uwezo tunao tatizo mnawalinda hao wahuni na tukiwaua mnakuja kutupatia kesi ya mauaji.
Dawa ni kuwaua hao watoto maana wakiendelea kulelewa ndio wataanzisha makundi kama ya mexico
 
Ndugu wanabodi, nipo town posts Dar es salaam Kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji.

Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya mtongani .

Jambo la ajabu kituo Cha polisi kipo karibu Kama mita Mia tu na hakuna kinachofanyika pamoja Kuna amri pia ya mkuu wa mkoa Ila hakuna polisi wanaoonekana kuchukua hatua zozote.

Nadhani tutachoka tutaamua kuingia na mapanga na kila aina ya silaha ili tukamate hao vijana maana kila mtu anaweza uhuni it's a matter of choice.

Polisi Kama mmeshindwa kazi tunaomba mtuambie tuanze kupambana nao wenyewe maana uwezo tunao tatizo mnawalinda hao wahuni na tukiwaua mnakuja kutupatia kesi ya mauaji.
Toka leo natembea na mdogo wangu wa kiunoni.
 
Ndugu wanabodi, nipo town posts Dar es salaam Kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji.

Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya mtongani .

Jambo la ajabu kituo Cha polisi kipo karibu Kama mita Mia tu na hakuna kinachofanyika pamoja Kuna amri pia ya mkuu wa mkoa Ila hakuna polisi wanaoonekana kuchukua hatua zozote.

Nadhani tutachoka tutaamua kuingia na mapanga na kila aina ya silaha ili tukamate hao vijana maana kila mtu anaweza uhuni it's a matter of choice.

Polisi Kama mmeshindwa kazi tunaomba mtuambie tuanze kupambana nao wenyewe maana uwezo tunao tatizo mnawalinda hao wahuni na tukiwaua mnakuja kutupatia kesi ya mauaji.
Halafu mbele pale tu kuna kambi ya jeshi
 
Kwani hii ni awamu ya Magufuli?
Ndiyo maana zito alisema mkalale nae pale
Mambo hayawezi kufanana na hamuwezi kulazimisha hilo
Kama akili zako hazitoshi kutambua hilo basi una matatizo ya akili
Kila mtu ana ubora wake
Jamaa kauliza swali jepesi umetoka povu jekundu sehemu ya haja kubwa.... dah!
 
Hivi awamu ya Hayati Magufuli hii kitu ilikuwepo?
Magufuli yeyealiajiri majambazi mfano mzuri ni makonda na yule wa dar mnamsifia bure tuuuu !!! Na kwa taarifa yako sabaya kafungwa kwa ujambazi miaka 30!!! Alikua chini ya magufuli au mmesahua!??
 
Kwani hii ni awamu ya Magufuli?
Ndiyo maana zito alisema mkalale nae pale
Mambo hayawezi kufanana na hamuwezi kulazimisha hilo
Kama akili zako hazitoshi kutambua hilo basi una matatizo ya akili
Kila mtu ana ubora wake
We bwege kweli!! Kwani nimekwambia hii ni awamu ya Magufuli?? Kama huna jibu si uwaache great thinkers wajibu??? Umelazimishwa kujibu?
 
Magufuli yeyealiajiri majambazi mfano mzuri ni makonda na yule wa dar mnamsifia bure tuuuu !!! Na kwa taarifa yako sabaya kafungwa kwa ujambazi miaka 30!!! Alikua chini ya magufuli au mmesahua!??
Kwahiyo una maana kwamba serikali iliyopo madarakani ambayo ni sehemu ya Ile ya Hayati Magufuli ni majambazi??? Kwenye serikali ya Mh Samia wapo waliokuwepo kwenye serikali ya Hayati Magufuli, je? Ni majambazi? Kwahiyo unataka kumaanisha kwamba tunapigwa?
 
Back
Top Bottom