Halafu hawa wanaenda sehemu kwa watu maskini wanajuwa sehemu za matawi ya juu lazima watu wana camera na silaha za moto watakula shaba tu hakuna atayekubali nyumba ziko na security waende mitaa kama ya Masaki au Mikocheni wanajuwa watakutana na nini kuna watu watazipiga tu, Wanaenda mitaa ya watu maskini na kuwapora hicho kidgo walichonacho huu ni ushenzi wa kupitiliza naomba kusikia kama kumi wamechapwa risasi mbwa hawa.