OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
mzani unaegemea wapiHii equation haijabalance, umeilazimisha tu! Wala hakuna mlingano hata kidogo! Yote ni maovu lakini hayafanani hata kidogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzani unaegemea wapiHii equation haijabalance, umeilazimisha tu! Wala hakuna mlingano hata kidogo! Yote ni maovu lakini hayafanani hata kidogo!
Panya Road ni a.planned Substage dhidi ya Mama Samia, ionekane ame FailNdugu wanabodi, nipo town posts Dar es Salaam kuna binti amenipigia anasema panya road wamerudi tena maeneo ya mtongani mchana huu wanaendelea na uporaji.
Kwa maelezo yake anasema watu wamejifungia pale maeneo ya Mtongani .
Jambo la ajabu kituo cha polisi kipo karibu kama mita Mia tu na hakuna kinachofanyika pamoja kuna amri pia ya mkuu wa mkoa Ila hakuna polisi wanaoonekana kuchukua hatua zozote.
Nadhani tutachoka tutaamua kuingia na mapanga na kila aina ya silaha ili tukamate hao vijana maana kila mtu anaweza uhuni it's a matter of choice.
Polisi kama mmeshindwa kazi tunaomba mtuambie tuanze kupambana nao wenyewe maana uwezo tunao tatizo mnawalinda hao wahuni na tukiwaua mnakuja kutupatia kesi ya mauaji.
Badilisha hayo majina yako keng.Wasiojulikana = Panya road
Tena chini ya ikulu sasa
keng aliyekuzaaBadilisha hayo majina yako keng.
NAUNGA MKONO HOJA,AWE NA INTELEGENSIA YAKE NDANI YA INTELEGENSIA YA WASAIDIZI WAKE.Mama asisikilize maneno ya watu wa zamani. Changamoto zao sio za zama hizi.
Mama aamini sana katika ujasusi(ukusanyaji aa habari). Yaani Rais anatakiwa kuwa na wapasha habari kila mahali. Rais anatakiwa kujua kinachoendelea pale Ngaramtoni ya Juu ndani ya muda mfupi akihitaji.
Na ajue kabla ya wasaidizi wake kama RPC, RC, RAS.
Rais asiwape vichwa wasaidizi eti wao ndio wampashe habari.
mtongani vs mtoni mtongani, unachangaya madesaKuna jamaa yangu anaishi hapo mtongani, tena anafanyia biashara zake hapo barabarani na kurudi kwaje ndani kidogo, njmempigia anaxhangaz tu kusikia swala hilo kwani halipo tu. Labda km mna agenda yenu ktk uzushi huu!
NI MAJAMBAZI WAKUBWA NA HATARI KWELI KWA SIKU ZA USONI ENDAPO GOOD TREATMENTS HAIKUFANYWA KWA NYAKATI HIZI MAPEMA ASUBUHI./WATAKUJA KUSUMBUA SANA HAPO BAADAE KIDOGO!....!AU HATA KUTUMIKA NA MAADUI WA TAIFA LETU AMBAO MNAWAFAHAMU.Hili jambo tunaweza kulichukulia kimzaa lakini lina hatari kubwa mno
Ma great thinker tunasema Samia hawezi kuwa Magufuli na Magufuli hawezi kurudiWe bwege kweli!! Kwani nimekwambia hii ni awamu ya Magufuli?? Kama huna jibu si uwaache great thinkers wajibu??? Umelazimishwa kujibu?
Tatizo lazima litokee alafu ndiyo lifanyiwe ufumbuziUko sahihi Mkuu, hii awamu inaelekea inaubora wa kipekee. Maana imejawa na huruma kwa panya wetu.
We siyo great thinker bana tusidanganyane🤣! Kama hata kujibu maswali uliyoulizwa hujui unaropoka mambo usiyoulizwa unawezaje kujiita great thinker? Swali langu lilikuwa dogo sana lakini maelezo rundo unayotoa wala hayajibu swali hata kidogo!Ma great thinker tunasema Samia hawezi kuwa Magufuli na Magufuli hawezi kurudi
Kuwaza habari zake kwa matukio yanayotokea sasa ni kuishiwa mawazo
Iwe wameua au hawajaua ni wahalifu!!! Awamu ya Magufuli uhalifu ulipungua kwa kiwango kikubwa sana! Sasa hivi umerudi kwa kasi kubwa! Kuanzia matapeli kwenye simu mpaka majambazi!Tatizo lazima litokee alafu ndiyo lifanyiwe ufumbuzi
Kibiti ya Magufuli iliuwa watu wangapi
Mpaka walipokuja kuifix au hamkuwa mmezaliwa au mmejisahaulisha tu
Panya rodi wa samia sidhani kama wameuwa mtu zaidi ya kujeruhi watu na kutoka sasa hawawezi kuwa na matukio zaidi ya mawili kabla habari yao haijaisha
Sasa Magufuli anaingiaje hapo ndiyo swali